Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Mkuu hata wewe unaruhusiwa kupost mambo yako ya chumbani, acheni kumuonea mtoto wa watu, angekua anaposti vitu vyake akakosa wachangiaji ..angeacha, kuna watu wanapenda mada zake hivyo hivyo...sema una ishu nyingine binafsi, Kama kakudanga ...pole
Cha ajabu wao wanamlaumu D kuleta mambo yake personal humu ndani wakati wao wameleta mambo yao personal humu ndani, akili zao zina walakini.
 
Kuna mtu kapigwa pesa hapa sio bure.
Na nikijiachia sitaki kuona watu waliojivika kofia ya kurekebisha watu.. wakinipigia kelele! Na kama kumfundisha ungemPM kistaarabu... mwambie sipendi hiki na hiki,,,,sio kum bully mtoto wa watu huku mmejificha kwenye kofia ya maudhui ya mada zake ..,
 
Raha saaana ukiwa unatamani kuchat alafu unafikiria utaanzaje na uko online
 
location anapoenda kuliwa si ndio?? na si mara moja kuna nyuzi zake nyingi anajisifia anajiuza...

hawa ndio wanafanya wadada wadharaulike, hana soni ya umama kabisa...
Anapata wapi nguvu ya kufanya hivyo unadhani? Ni kwasababu kuna wapuuzi kama nyie mnaofika bei.
Biashara ili ifanyike basi iwe na wanunuzi, ikikosa wanunuzi hufa natural death. Anzeni nyie kubadilika kama kweli mnayachukia hayo mnayoyaongelea. Lasivyo wote mnaonekana wale wale.

Nyie ndio wale hadharani mnajifanya kuchukia ushoga kumbe ndio mashoga wenyewe au watafuna mashoga.
 
Kama nilivyokuambia angekuwa hapati followers..character yake humu ingeshakufa naturally...jifunze kuwa tolerant..humu kuna watu mbalimbali...usi espect wote tuimbe hallelujah humu...na kama genuinely unaona anakosea..ungemfata kistaarabu,
Kunywa soda emolo bili kwangu.
Washakuliana pesa zao huko hasira kaja kumalizia kwa D JF.
 
D huwa hamtukani mtu kama haujamuanza, unavyomuanza ndivyo anavyokumaliza.

Na kama ungekuwa unajielewa basi ungetumia njia nzuri kumkanya kama kweli unachukia anachofanya.
Mara nyingi huwa mnampapu na kujipendekeza wenyewe, leo mnajifanya kumpondea hapa. Bila nyie hayo mnayomlaumu kwayo angeyafanyaje? Acheni unafiki.
Keshaonywa tatizo ana mdomo mchafu sana...
Ila kwa kuwa huwa mnawasiliana ni vyema ukamkanya mdogo wako, vitu anavyofanya sio poa kabisa..
 
Wewe nae unajikuta ni mzazi wa binti fulani huko, pole sana kwa mwanao kupata mama dizani yako maana nyie ndio mnaendelea kuzalisha malaya wanaojiuza kutwa nzima...

Mtoto wa nyoka ni nyoka isitoshe hata mzazi wako mmoja wapo alikuwa anajiuza ukapatikana wewe na bado unaendeleza itikadi binti yako ataendelea kazi yako ya kujiuza...

Pole sana...
Mkuu naomba picha ya Demiss
 
And here we go.
Sasa kweli wewe ndio wa kumkanya demiss au any one of that kind kweli???
Hebu jitafakari.
You must be having mother issues kama sio father issues.
Wewe nae unajikuta ni mzazi wa binti fulani huko, pole sana kwa mwanao kupata mama dizani yako maana nyie ndio mnaendelea kuzalisha malaya wanaojiuza kutwa nzima...

Mtoto wa nyoka ni nyoka isitoshe hata mzazi wako mmoja wapo alikuwa anajiuza ukapatikana wewe na bado unaendeleza itikadi binti yako ataendelea kazi yako ya kujiuza...

Pole sana...
 
Mnajuana kwa vilemba ndio maana unashubaza shingo kumtetea hapa kwa upuuzi wake anaofanya humu ndani...

Siwezi kupoteza muda wangu kubishana na malaya, maana mko kama mmelaaniwa...

Take your time miss..
Huwezi kuhubiri A halafu wewe unafanya C. Anza wewe kubadilika, si mnamshobokea wenyewe kwani aliwashikia bunduki? Tena nyuzi zake huwa mnajazana kama nzi, vipi leo?
Chill boy, hizi hasira zinaonyesha kakupiga pakubwa sana ila mwanaume kifua unavumilia unasonga mbele.

Wewe umerekebishwa yamekutoka matusi kibao, halafu hapo hapo unamlaumu D ana mdomo mchafu???? You need help.
 
Suala letu limechukua sura mpya[emoji23][emoji23][emoji1635]
 
Hata majina yao yana aksi uongo. Tmu akijiita Miss jua ni bonge la mtu.
Kama Miss Natafuta
Demiss
Miss Chaga etc
 
Back
Top Bottom