Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Demiss baada ya kupokea Salary ya August 2019!

Hii mada kipande hii inamhusu huyo bibie?
Kumbe ni mdangaji?
Demiss??
Aiseee
Screenshot_2019-08-24-19-54-04-79.jpeg
 
Haahahha mbona unamuulizia hivyo mbebez wa watu shauri yako sitakugombelezea mimi

Huh!!!

Mi mbebez wa nani tena?

Isije kuwa mtu kaniota kwenye ndoto zake huko halafu akanifanya niwe mbebez wake kichwani mwake!

Au isije kuwa nime-Like bandiko la mtu halafu huyo mtu akadhani mi ndo bebi wake.

Hebu fanya kunijulisha....leo nani anasema mi ni mbebez wake [ukiondoa Mother Confessor]?
 
Back
Top Bottom