Mi wala sijali bora simu Ina chaji Na pombe zipo hata mnyanduane hapo mshipa haunichezi.Single utajiona mpweke au umetengwa,
Mana sisi tumezoeanaa,
Yan watu wanaweza nyonyana mate waziwazi,
Tuko km machizi,
Umeniitaa??Ndo maana sijachukia hata. Mi MTU akinikubali Kama huyu mama napenda. Ndo maana hajanikwaza japo kuna vingine kaviweka Kama hater vile.
Hapana booUmeniitaa??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Okay from tomorrow come back home I wll give you the job do at home..!Una wazimu wewe. Kwa wanaume gani wa kumtunza MTU na mtoto wake.? Kwa hela IPI kwanza? Usinikaushe uzazi tafadhali.
Hapana nimemkumbusha tu..!Kuna shida kwani[emoji4][emoji4]
naona umenitaja hapo hater mchuchu nikajua kuna chuguliiHapana boo
Akija Na ID yake majina yote mazuri anakuita akitumia ID ingine utajuta kuifahamu hiyo ID Kwa maneno unayopewa.
3 is the answer.Kuna hawa wadada Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat yaani kila nikitupa jicho humu Jf nawakuta wako Online.
Maswali yangu:
1. Hamna waume?
2. Mna stress?
3. Single mothers?
4. Widowers?
5. Mnaishi pamoja?
6. Mna bando za kuchezea?
7. Mnawekwa tu mjini (hamna majukumu)?
8. Mnataka kiki?
9. Jobless?
10. Mna share Jf?
11. Ni multiples I'D?
12. Mnajishaua tu tuwaone kuwa mko juu?
Yaani sijawahi ingia humu Jf nikakuta hakuna mada yoyote ambayo Demiss, Mzigua90 au Sky Eclat hawajatia maguu.
Nipeni nami mbinu mwanamke mwenzenu niweze damshi majukwaa yote.
Khaaa!!!!
Hahahahaaa. Umenifunga mdomo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Okay from tomorrow come back home I wll give you the job do at home..!
Hapana. Bahati mbaya tunaona umenitaja hapo hater mchuchu nikajua kuna chugulii
Raha kuwa na fan lakini. Au kujua MTU anakuogopa mpaka anatumia ID ingine kukuchanaGod I wish to meet these fools face to face one day.....
Anywho, huyo ni fan wako tu.
Acha payo3 is the answer.
Samahani, mbele ni wapi?huyu nayeView attachment 888960
Inakuaje upo single?Mi wala sijali bora simu Ina chaji Na pombe zipo hata mnyanduane hapo mshipa haunichezi.
Kimtazamo Mleta Mada inaonekana ni Mtu mwenye Akili.. Kanjanja flani kama USA ivi.. anawaletea Mkasa alafu anawakimbia!Ila mleta mada mchokozi sanaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],
Kaleta madaa afuu huyooo kapoteaa...
Wanasema tunawakimbia Single Mama, hawajui wapo single mama ambao watoto wao wapo chooni!Inakuaje upo single?
Au vurugu za kina mangi umezichokaaa???
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Mi wala sijali bora simu Ina chaji Na pombe zipo hata mnyanduane hapo mshipa haunichezi.
Hata Na Mimi sijui. Bahati mbaya watu hawaamini nikisema Niko single wanahisigi nazingua.Inakuaje upo single?
Au vurugu za kina mangi umezichokaaa???
nimeshindwa kuelewa mkuu, sasa nimegundua ni mamangu yuko above 55yrs nimefunga mjadala rasmiSamahani, mbele ni wapi?