Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze


Heri anayekaa kwenye key board usiku kucha kuliko wewe kulala na baba mzazi na kupata mimba na kuzaa naye!!!!!!
Shame on you amKATRINA. ulaaniwe.
 
Wakati sisi tukiwa online muda wote wewe unakuaga wapi? Hayo uliyoyaandika yote uko sawa sawa kabisa kuhusu sisi, Una tatizo Na sisi kuwepo online muda wote?
Acha kufuatilia maisha ya watu wewe.
Hapo sasaa!!anaumwa na maisha yenu kuliko yake!!kwa nini mkwe hukunitonyaa...Jana kule chembaaa ningennua kesi ujuee..amegusaaaa watu wangu nnaowapenda!aaaaarhhhhgggghhhhh
 
Ila una kazi kuangalia nani na nani wapo online

Ebu mm nikuulize wewe inakuhusu nini kwa mfano simu zao mabundle yao

Jf pekee ndio kuna mambo ya kupangiana simu yako bundle lako na unapangiwa jinsi ya kuingia jf
Shunie shunie...umeniudhiiii..kwa nini hukunitonyaaaa!!!tumfurahushe huyuuuu
 
Walev Wa jf utawajua tu jinsi wanavyojitetea
 
Kabisaaaaaaa!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…