Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Maamuzi ni kwamba tunaenda kuomba kazi ya umoderator vigezo tunavyo
Mmetakuwa mmekomeshaa maana ndio mtazidi kushinda na watakaokereka watakufwa kabla ya muda[emoji23][emoji23][emoji23] na ban juu mnawaongezea
 
Na ukiona MTU /WATU wanakufuatilia sana ujue wanakukubali na kukuogopa ,nakujifanya wanakujua Sana
Teeena. MTU anatukubali kimya kimya. Sisi hatuna shida kwanza aje tu atuombe urafiki na mbinu za kuwa online na nyotaa
 
Hapo sasaa!!anaumwa na maisha yenu kuliko yake!!kwa nini mkwe hukunitonyaa...Jana kule chembaaa ningennua kesi ujuee..amegusaaaa watu wangu nnaowapenda!aaaaarhhhhgggghhhhh
Apambane na yake kwanza yetu yako vizuri kabisa.
 
Kuna tofauti ya masaa kati yetu na wao...huku kukiwa mchana kwao ni usiku...halafu wote wanabebika sio singo mazas
 
Bora angetuweka Mi na Demiss kumuweka Sky sijapenda kabisa. Kwanza hanaga muda na MTU mwenyewe. Wivu tu unamsumbua kuona tunapendwa. Nani atamkubali MTU anaeweka Uzi amelala na babake mzazi. Unaweka Uzi wa kushusha heshima yako halafu unataka na wengine wawe dragged kwenye level yako.
Mtoa mada ajitafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…