Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Mchumba unanijua lakini ninavyojua kuhandle watu na maujinga yao. Hili limeisha hapa nachit chat tu. Basi akipita hapa akisoma roho yake kwatuuuuuuu kamuwekea Uzi mzigua
[emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniMaamuzi ni kwamba tunaenda kuomba kazi ya umoderator vigezo tunavyo
Ban Nilipata Mara Moja ya Week nilipost Picha Moja Mara nne kwenye Thread Nne tofauti.Na hujawahi kupata ban hata siku mojaa
Mtu anayemcheka single mom ni mwehu hana akili aisee kwanza kwa nchi hii tuseme wanaume wengi hukwepa majukumu single mom wanajitoa kwa hali na Mali, ni huku tu JF jukwaa la great thinker huwazalilisha single mom kiukweli ni upuuzi, napenda wamama wanao struggle kulea watoto wao. Wabarikiwe sanaNikiwa Darasa la Saba, Mzee alianza ugomvi Nyumbani.. mara Kumpiga mama n.k, Kulikuwa na Guest House akauza.. maduka yalikuwepo mawili akauza.. akaoa na mke wa pili.. akahama na nyumbani.. tukabaki na Mama.. maisha yalikuwa Magumu sana kwa sababu hatukuzoea kuishi hivyo.. Mama alitusomesha kwa shida vivo hivyo Mpaka namaliza chuo Kikuu na Mdogo wangu wa Mwisho yupo Kidato cha Nne.. Hakukuwa na Msaada wa mzee.. Mom was single, Na hakutuacha.. Kila ninapokumbuka haya kamwe siwezi kuwadharau single moms.. maybe wana makosa yao ila katika case ya kulea familia zao kamwe siwezi kuwabeza!.. Kaza mama Yajayo yanafurahisha!!
Live to Love...Again, cyber bullying!
Huenda stress zinasumbua watu ndio maana hawaishi ku-attack wengine mitandaoni, huenda loneliness, depression nk. Mleta uzi huenda lolote katika hayo linakusumbua.
Live and let live...!
Tunajuana..Umejuaje itakuwa wote mnashinda humu.
Love me then..teh[emoji23][emoji23]Live to Love...
ungesemaHuyo mods nae atakua kiherehere basi. Na mwendo ndo huu huu. Online All Day Everyday.
Hata wewe unamjua sana. Ukitaka nawe kumjua nitafute kwa wakati wakoNaona unataka ban mzee?
Hahaaa!hyo picha ilikua ya matusi,mwanajf au vipiii!!!Ban Nilipata Mara Moja ya Week nilipost Picha Moja Mara nne kwenye Thread Nne tofauti.
Nakupenda ujue!!!basi tu!!Watoto ndo wanadharau single moms Na wengine mama zao ni single moms zile hasira za wazazi waake kutopatana anahamishia Kwa mama kuwa ni kosa lake. Wakikua wataachaNimeona mkuu. Na I'm not ashamed ndo maana nasemaga Mi single mom. Atakaenichukia akanywe simu afe maana Hana Mchango wowote kwenye maisha yangu
Hapana sio ya matusi wala nini,ilikuwa picha flan ya Mbibi mzee kavaa kimasai halafu kala Miwani,Mods wakaona kama nafanya SPAM.Hahaaa!hyo picha ilikua ya matusi,mwanajf au vipiii!!!
Bora kua single mama kuliko kurudi kwa ile tafrani hapana kwa kweli!!! Loohh!!Malezi ya kiafrika yametujenga kiukatili, ubinafsi na roho mbaya.
Mi niliachana na habari za "watu watanionaje"
Nafanya kile nahisi ni kizuri kwangu na hakiathiri maisha ya mwingine.
Ukiona mtu anamdharau single mom jua huyo ni mbinafsi na mchoyo.
(Ofcoz zaman nilikuwa hivyo, lkn kadri ninavyokutana na watu wenye exposure nimebadilika kifikra).
Anko ni nani huyu ,hebu nitonye kdg Mzee mwenzanguHata wewe unamjua sana. Ukitaka nawe kumjua nitafute kwa wakati wako
Aiseehh!kazi kweli kweli!!!Hapana sio ya matusi wala nini,ilikuwa picha flan ya Mbibi mzee kavaa kimasai halafu kala Miwani,Mods wakaona kama nafanya SPAM.
Hata mimi nakupenda sana sema hujui tuNakupenda ujue!!!basi tu!!
Tena we ushambebisha sana tu mbona...Anko ni nani huyu ,hebu nitonye kdg Mzee mwenzangu