Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Halafu kumbe lipo jina la demu ya mganga hapo, hakya Mungu we kesho asubuhi utajikuta umelala juu ya bati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaHalafu kumbe lipo jina la demu ya mganga hapo, hakya Mungu we kesho asubuhi utajikuta umelala juu ya bati
Halafu kumbe lipo jina la demu ya mganga hapo, hakya Mungu we kesho asubuhi utajikuta umelala juu ya bati
uko sahihi, kuna aina ya kazi inahitaji uwepo wako na mikono haishiriki ni kitendo cha kupanga kazi nawe unabaki msimamizi kwa kutupia jicho na ushauri unalazimika, hii inakupa nafasi kufanya mambo mengine ni pamoja na kuperuzi jfInategemeana na kazi walizonazo. Kama hazina msongamano wa utoaji huduma wanapata muda mzuri.
Ngoja waje wajibu wenyewe.
Naona Mkuu unajisogeza karibukuperuzi jf
@Mzigua90
kabisa mkuu fursa hiziNaona Mkuu unajisogeza karibu
Safi sana, Wahenga Walisema Vita vya Kunguru Furaha ya Panzi.. Mapanzi tunafurahia!kabisa mkuu fursa hizi
Mleta mada wewe ni mshakunaku huko mtaani utakuwa unasutwa
Kufatiliana ni ujinga aisee hafu mwanaume kuwa mbeya haipendezirafiki umesema kweli
hujawahi kusuluhisha ugomvi?Safi sana, Wahenga Walisema Vita vya Kunguru Furaha ya Panzi.. Mapanzi tunafurahia!
huyo ni keKufatiliana ni ujinga aisee hafu mwanaume kuwa mbeya haipendezi