Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Kishinda Online na kazi vinaingiliana vipi unaweza kushinda online masaa 24 na at the same time unafanya kazi masaa 24
1) muuza duka la nguo
2)mkulima
3)Tigo pesa
4)muuza juice bar

6)mwalimu
7)muuza duka rejareja
8)mlinzi
9)fundi nyumba hadi apate kibarua
10)muuza gazeti
11)forex trader
12)Online shopper
13)muuza genge mtaani
14)Investor
15)Youtuber
16)Musician

Izo zote mfano wa kazi ambazo mtu unaweza kuwa muda wote online nakazi zinaenda ifike kikomo cha fikra za kikoloni kwamba wote lazima watoke asubui warudi jioni, ukipigiwa simu nipo bize, anayefanya kazi bila kupata muda izo ni kunyonywa.
Umetaja kazi lkn huna unayoijua naamini! Usingekua na mawazo mafupi hvo
 
Hapo kuna wivu gani? Why insecurity?
Wivu wa kijinga sasa kuulizia mtu eti akikaa JF ni jobless, Hana mume sijui nini sikukosa tu akili huko maana hawajawahi enda omba msosi au bando kwao. Heeeh mie na allergy na wambeya tena wasio jiamini
 
Mimi nimefikiri kama another I'd ya mmoja wapo hapo akijitafutia kiki
 
Kuna hawa wadada Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat yaani kila nikitupa jicho humu Jf nawakuta wako Online.
Maswali yangu:
1. Hamna waume?
2. Mna stress?
3. Single mothers?
4. Widowers?
5. Mnaishi pamoja?
6. Mna bando za kuchezea?
7. Mnawekwa tu mjini (hamna majukumu)?
8. Mnataka kiki?
9. Jobless?
10. Mna share Jf?
11. Ni multiples I'D?
12. Mnajishaua tu tuwaone kuwa mko juu?

Yaani sijawahi ingia humu Jf nikakuta hakuna mada yoyote ambayo Demiss, Mzigua90 au Sky Eclat hawajatia maguu.
Nipeni nami mbinu mwanamke mwenzenu niweze damshi majukwaa yote.

Khaaa!!!!
Hivi yule kijana wa kumlea ulimpata kweli maana sijaona mrejesho wako [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Huyu kashindwa kuvumilia naona afungue Na Uzi. Sema nitamfundisha akitaka kukaa online muda wote. Maana asitake kuoga tembo kunya bure akamkera bosi wake sijui mumewe
Ukiwa unamfundisha niulizie Kama kashapata wa kumlea aisee nikafanye kazi ya kupata kipato
 
Hili nalo vibe Kama loteeeeeeeee!!!√√
Umenikumbusha kipindi cha mitihan ya chuo mda wote simu yngu ilionekana iko online kumbe mhuni nawatafta vichaa Wa kuangalia status za wengne mwisho wa siku wakatakwa supplementary exams.....jamaa anafeli Sana'a ila poa tu ndio msimu wa vibee
 
Hahahahaaa. Unataka ukawe ben10 wake?
Pesa hakuna sasa unafikili nitawezaje kulipia bill zangu unafikili plz nimeshikwa pochi empty kweli yaani hata beer sizipati nipigie pass maana huyo ni fan wako
 
Pesa hakuna sasa unafikili nitawezaje kulipia bill zangu unafikili plz nimeshikwa pochi empty kweli yaani hata beer sizipati nipigie pass maana huyo ni fan wako
Nitaongea nae usijali hawezi chomoa. Sema MTU mzima kweli. Anakaribia umri wa Bibi yangu kabisa
 
Kuna wale ukiwa online watsap wanauliza nakuona online tuuu😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom