Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Mimi peke yangu ndo mpaka sasa ndo naijua main id ya mleta mada ila hao wote uliowataja ni wapole, wastaarabu hawajui kuchamba hawana maneno hata ila ungewataja wakina fudenge na ninavyokujua mleta mada mngechambana balaa ingekuwa bonge moja la movie.
Ila hao hata ukiwatia kidole cha jicho wananyanyuka wanaendelea na yao.

Mpaka hapa ni sawa na na umeshaitaja hiyo ID, kukicha tutakuja PM.

Hii vita si ya kuacha iende hivi hivi.
 
Nishauelewa huu mwandiko ni wa nani...

Mloanzaga na Mshana jr, mkamshindwa mmeamua kuponda wengjne
 
Haaah ngoja waje utawaona japo mengine umesema kweli kama kuna huyo mmoja hata kama hana cha kuandika ataandika tu hata ujinga alimradi aonekane yupo,shit!!

Huo ujinga aliouandika,!!
Ni yupi sasa Mjinga wewe uliousoma huo ujinga au mwandikaji wa huo ujinga[emoji1321]‍♂️
 
JF inawaondolea stress na mawazo hasa pale unapokuwa huna cha kufanyaa!!

Sijui km mitandao ya kijamii isingekuwepo, vijana wasio na ajira wangefanya nn!!
Tungekuwa tunaosha vyomba vyumbani mkuu kuwapunguzia dada zetu kazi.
 
Back
Top Bottom