Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Tushamaliza kila kitu
Kwa hiyo mkuu harusi tyr na kitu ushavuta ndani ?
Tupe siri ya mafanikio yako maana mi nilipata demu mmoja kiukweli nimedumu nae kwa siku moja tu : nikaona haeleweki sometym yupo kimya mpk upitishe kombola!! Nimejitaidi kumconvice lkn mpk sasa sionj mwelekeo lkn akijisikia hunijibu cmc zangu or akiamua tunaweza chat kwa muda mrefu si chini ya masaa 6 . Mfano jana masaa zaidi ya nane lkn leo hii naona maruerue ,
 
Naomba nimuone picha ya huyo mke wako
Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine.... Nilikuwa na mpenzi hapa na sikuruka ruka kama wengine leo hapa kesho pale .. Msipeleke mawazo yenu kwa Asprin mzee wa kukagua 😳 😳 😳
Baadae my heart bit (she knows how much I loved n respected her) akaenda mbali nami.. It was something unpreventable..... Nikawasiliane naye.. Because she cares akanipa kibali... Na kibali hicho akatunukiwa chamdeko .. The rest is very known to everybody... Demiss chamdeko sio malaika kumchafua haitopunguza Makhabati yangu kwake.... NAMPENDA... SANA... HALAFU SANA..!!!
 
Nikipata wakunitunuku mambo yetu yataishia hukohuko pm.wachawi wengi kipande hiki.
 
Back
Top Bottom