komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Ilo wapi hyo ranking, imetolewa na shirika gani wazee wa the star[emoji1787]Kwa hiyo hiyo ranking ya kidunia inayosema Tanzania 93, Kenya 95 na Uganda 99, unaipinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo wapi hyo ranking, imetolewa na shirika gani wazee wa the star[emoji1787]Kwa hiyo hiyo ranking ya kidunia inayosema Tanzania 93, Kenya 95 na Uganda 99, unaipinga?
List ya kwamba mpo no.93 iko wapi, nasubiria official source kibwengo..Punguza ujinga wenu wa kupinga kila kitu, ukweli ni kwamba Tanzania ipo namba 93 na Kenya 95, Tanzania is ahead of Kenya in democracy, sasa mumebaki na GDP pekee, kila kitu tunawazidi.
Mainstream media and other news organizations report their rankings and invite general public to discuss them. International organizations use their data as refernce.What made you come up with this conclusion?
Tulia sindano ikuiingie.. Kenya ipo level moja na somalia kwa democracy..Admit first then slow change your waysIf you believe that, you are dumber than your covid-denying president.
Ungejua kwanza ipo nafasi ya ngapi kwanza ndio uanze keleleSijui, lkn ni mbele ya kenya
Hawa watu hats neno democracy yenyewe hawajui maana yake AMD they are here lecturing usSonko hayuko ndani kwa kumsema vibaya Rais.
Ni kweli kwamba Sonko yuko ndani baada ya kumsema vibaya rais, lakini hio sio sababu.
Sonko ni mwizi na jangili kutoka kitambo ambaye ako na kesi karibu mia moja kortini.
Kisha ukileta hio ya polisi kuuwa watu juu ya Covid, sidhani kingereza chako kimefika point ya kuelewa maana ya democracy.
Hii ni democracy index. Inapima uwazi wa uchaguzi na enviroment ambayo uchaguzi na siasa zinachapwa.
Tanzania iko dictatorship chini ya Magufuli.
Official source muulize mume wako wa ndoaList ya kwamba mpo no.93 iko wapi, nasubiria official source kibwengo..
Mi the star kwangu sio source, waongo kila kuchao wanaumbuka..
Ila tweets za Lisu kwamba Magufuli ni mgonjwa unaziamini kama official sourcesList ya kwamba mpo no.93 iko wapi, nasubiria official source kibwengo..
Mi the star kwangu sio source, waongo kila kuchao wanaumbuka..
And 93rd in the world. Then you are here talking about Kenya at 95thTanzania ni nafasi ya kwanza ukanda huu wa EAC
Ass comment!From all those you have mentioned, only Msando's murder is even suspected to be political.
Jacob Jumwa - Not even a politician. Just a crooked and corrupt businessman eyeing government contracts with lots of enemies.
Makaburi and Rogo - Radical Muslims recruiting Mombasa youth into Al shabaab.
Those have nothing to do with democracy.
Trying to murder your main opponent, is attack on democracy.
Silencing the media is attack on democracy.
All Shithole Tanzania, LDC bongolala can do is sit down and hope to be like Kenya.
Mna bahati sana Supremo wenu mwendawazimu amemuaga. Otherwise mlikuwa mnaelekea pabaya.
Hahahaha, mumebaki na GDP pekeeJamaa analeta ripoti ambazo ripoti ambazo hata hazina kichwa wala mkia, The star huo upuuzi waliutoa wapi manake katika ripoti yao hakuna sehemu waliyosema km wali quote wapi[emoji1787][emoji1787]
Wala pia hakuna hata link ya kuonyesha ya chanzo cha hyo ripoti..
Kweli kuna watu wapo desperate
Umshindwa utokee wapi[emoji1787], hapa huwezank akili zangu sio za kilumumba ya kuparamia paramia vitu tu bila formular..Hahahaha, mumebaki na GDP pekee
Yupo india anajifukiza[emoji1787][emoji1787]Hivi baba wa demokrasia, jembe la kweli JPM, bado 'anachapa kazi' kwa siri akiwa mafichoni? Anataka kuvunja rekodi mpya au ndio kunaendaje? [emoji4]
Kwn we haoo wajua alipo?Ila tweets za Lisu kwamba Magufuli ni mgonjwa unaziamini kama official sources
Njoo na wewe nikupe mume akufukue hilo ndanda lako chafuOfficial source muulize mume wako wa ndoa
Ungejua kwanza ipo nafasi ya ngapi kwanza ndio uanze kelele
Umesikia kuna kazi imesimamaHivi baba wa demokrasia, jembe la kweli JPM, bado 'anachapa kazi' kwa siri akiwa mafichoni? Anataka kuvunja rekodi mpya au ndio kunaendaje? [emoji4]
Nakumbuka 2019 mkitafuta kenyatta alipokuwa amejifungia mwezi moja