Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

itakua vipi na Samia akajibu mapigo na akatumi wembe aliyo tumia Magufuli? Nani atakayeumia?
 
Watu wengi sana wakiwemo wanaCHADEMA mwenzangu wamemkosoa mdude hasa kwenye hii kauli "Wembe nilioutumia kumnyoa mtangulizi wake ndio huo huo nitakaotumia kumnyoa yeye akileta jeuri". Niwe mkweli, binafsi sioni utata wala matusi yoyote kwenye hiyo kauli zaidi ya ujasiri.

Ni WAJIBU wa wanaomshambulia Mdude kumuelezea matusi yako wapi, au kutueleza wao wameelewa nini maana naona kuna Shida Kubwa ya Uelewa hasa wa FASIHI ndani ya Jamii.
 
Katiba na sheria ndivyo vinapaswa kuongoza nchi, watu wakikosea wahukumiwe kwa haki kupitia uchunguzi na mahakama huru.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Yaani kila mtu atumie alichonacho mkononi, si ndio Mkuu
 
Katiba na sheria ndivyo vinapaswa kuongoza nchi, watu wakikosea wahukumiwe kwa haki kupitia uchunguzi na mahakama huru.

Upo sahihi Mkuu, lakini kwa watu aina ya mdude unafikiri Katiba na sheria zinaweza kuwazuia?

Upumbavu huzuiwa kwa upumbavu
 

Wanamkosoa kwa sababu wembe alioutumia kipindi cha Jpm unafahamika, vinginevyo hata mimi nisingeandika Mkuu.

Kama ataongea bila kufuata sheria itakuwa ni ajabu ikiwa anafikiri atajibiwa kwa kufuata sheria.
Hizo kanuni alikuwa anazitumia JPM yaani dawa ya moto ni moto.

Jambo ambalo kimsingi sio zuri na linaweza kumuumiza mmoja wapo vibaya
 
Mkuu usije cheza na mwenye dola ata siku moja,kauli anazotumia mdude ni chafu na hazifai.mwenye kuona na aone na mwenye kusikia pia asikie
 
Mdude kakumbuka mabwana zake wa jela anataka kurudi tena
 
Umekurupuka kuandika hii, unasahau hiyo demokrasia ikikosekana watu huitafuta, na uwepo wa watu wa aina ya Mdude ni madhara ya uminywaji haki za raia, na sheria za nchi.

Punguzeni mihemko mtafakari kwa kina, Mdude kudai haki hana kosa, kama unaliona niambie kwenye ile kauli yake kosa liko wapi?
 

Demokrasia ni nzuri Kwa watu wenye akili, hekima na pesa.

Demokrasia haifai watu wapumbavu, na masikini
 
Kwa Chadema lugha anayotumia huyo kijana ndio lugha tukufu katika chama chao! Anapongezwa sana kwa kuharisha kwa kutumia kinywa
 
Kama anaakili atafanya mabadiliko, Kama ni mpumbavu asubiri matokeo ya upumbavu
Kuna kauli inayosema mtu ispomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake! Hii ina mantiki kubwa sana kwa watu ambao wanahisi wako salama katika kufanya vitendo vya kipuuzi kwenye jamii ili waonekane mashujaa!!!
 
Mdude ni Malema wa tz, alichokiongea, sio tusi na siona Kama ni shida na wenda SSH rais amechukulia kawaida maana anakijua kiswahili haswa, that's alipotoa neno kudemka, Kwa fikra za kawaida ungesema ni kadhalilisha watu, ila sivyo,ila Sasa nyie wapambe ndo mmekomaa Sana

Mdude kasema, MWAMBIEN MAMA YENU, WEMBE NILIOTUMIA MNYOLEA MTANGULIZI WAKE NITATUMIA MNYOLEA YEYE KAMA KAMA HATATENDA HAKI, ivyo ieleweke Mdude alimnyoa mwendazake KWA kumkosoa hadhalani na ndo maana akawa anatekwa

Sasa kosa la Mdude kwenye maneno yake yako WAPI? au CCM Kindakindaki, maslahi, limbukeni, mmeamua kulivalia njuga ili mpote upepo wa KATIBA

NAWAOMBA RAFIKI ZANGU WANACCM HURU, waje watwambie Kama kweli Kuna shida hapa, Maana ninaona Hawa ndio wanajitambua NDANI ya CCM na wakipewa nafasi NDANI ya Chama chenu, wenda wakakirudisha Chama Katika mstari, nami napenda ccm iliyoimara ili tukakutane kwenye majukwaa, hoja KWA hoja
 
Na ndio aina ya watu wengi waliopo chadema, hiki chama lazima utolewe nati kichwani ndio unaweza kukielewa, upuuzi mtupu

Ukitaka kujua siasa ni mchezo wa ajabu, usishangae huyo Mdude kuchukuliwa na ccm kwakuwa ni maarufu, kisha kupewa madaraka na akaagizwa awe anawatukana hao cdm. Nakumbuka siku moja kwenye mkutano wa kampeni huko Geita kampeni za 2015, mbunge msukuma alikuwa anawauliza wahudhuriaji kuwa "Lowassa kafanyaje", wakawa wanajibu "kajinyea". Wakati huo Magufuli alikuwa anatabasamu kauli hizo. Leo hii aliyekuwa anatoa lugha zile chafu ni mbunge wa ccm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…