LGE2024 Demokrasia imekomaa sana nchini, kata yangu ina wagombea uongozi wa kijiji wa CCM pekee

LGE2024 Demokrasia imekomaa sana nchini, kata yangu ina wagombea uongozi wa kijiji wa CCM pekee

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi.
Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM.

Ni kitongoji kimoja pekee ndio kina mgombea dhaifu sana kutoka upinzani, hata hivyo nampongeza kwa ujasiri aliokuanao licha ya kutokukubalika kwake kitongojini kwake.

Infact,
Hakuna mgombea yeyote atakaepita bila kupingwa, ispokua kutakua na kura ya kipekee sana ya ndiyo au hapana kwa kila mgombea asie na mpinzani.

Well done ndungu wanainchi kwa Imani yenu kubwa kwa CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Taifa comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi.
Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM.

Ni kitongoji kimoja pekee ndio kina mgombea dhaifu sana kutoka upinzani, hata hivyo nampongeza kwa ujasiri aliokuanao licha ya kutokukubalika kwake kitongojini kwake.

Infact,
Hakuna mgombea yeyote atakaepita bila kupingwa, ispokua kutakua na kura ya kipekee sana ya ndiyo au hapana kwa kila mgombea asie na mpinzani.

Well done ndungu wanainchi kwa Imani yenu kubwa kwa CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Taifa comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hakuna kitu kisichokua na upinzani ktk dunia hii
 
Chadema tupo wengi ila tunawaogopa CCM wasitujue ni hataree kwa maisha na fursa ukijulikana wewe ni chadema Tanzania demokrasia ni 0% kenya 77%%
 
Sasa kuna ukomavu gani hapo na wagombea wanatokea chama kimoja pekee?

Kwa maana nyingine ni kama hakuna uchaguzi kwa kuwa hakuna watu wa kuchaguliwa...
 
Sasa kuna ukomavu gani hapo na wagombea wanatokea chama kimoja pekee?

Kwa maana nyingine ni kama hakuna uchaguzi kwa kuwa hakuna watu wa kuchaguliwa...
Mwambie ukweli huyu pimbi na chawa mkubwa sana! Rubbish kabisa!
 
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi.
Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM.

Ni kitongoji kimoja pekee ndio kina mgombea dhaifu sana kutoka upinzani, hata hivyo nampongeza kwa ujasiri aliokuanao licha ya kutokukubalika kwake kitongojini kwake.

Infact,
Hakuna mgombea yeyote atakaepita bila kupingwa, ispokua kutakua na kura ya kipekee sana ya ndiyo au hapana kwa kila mgombea asie na mpinzani.

Well done ndungu wanainchi kwa Imani yenu kubwa kwa CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Taifa comrade Dr Samia Suluhu Hassan [emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
[emoji706][emoji706][emoji706]
IMG-20241004-WA0009.jpg
 
Hakuna kitu kisichokua na upinzani ktk dunia hii
ni kata ambazo zitaipa CCM ushindi wa kishindo wa mapema zaidi lakini wa uhakika zaidi kwa 100% bila mbambamba yoyote.

hongera sana wananchi kwa uamuzi huru na huru zaidi wa kutokubabaishwa na wapinga maendeleo katika maeneo yenu 🐒
 
Kwa hali ilivyo,hata tukipata vitongoji 10 nchi nzima CDM tutafurahi.Manake makada wa ccm DED ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi.walimu na watumishi wa ccm wamepewa maelekezo maalumu.
 
ni kata ambazo zitaipa CCM ushindi wa kishindo wa mapema zaidi lakini wa uhakika zaidi kwa 100% bila mbambamba yoyote.

hongera sana wananchi kwa uamuzi huru na huru zaidi wa kutokubabaishwa na wapinga maendeleo katika maeneo yenu 🐒
Tume si yenu??polisi si yenu?mahakama je??jeshi??nk nk nk nk
 
Tume si yenu??polisi si yenu?mahakama je??jeshi??nk nk nk nk
kwamfano hao wanainchi wenzangu kwenye vijiji vyote kwenye kata yangu tume inawahusu nini ladies and gentleman 🐒

kwamba tume iwaamulie au?
 
Kwa hali ilivyo,hata tukipata vitongoji 10 nchi nzima CDM tutafurahi.Manake makada wa ccm DED ndo msimamizi mkuu wa uchaguzi.walimu na watumishi wa ccm wamepewa maelekezo maalumu.
actually,
itakua ni matokeo ya kuzira, kusuasua na kususa kujiandikisha kupiga kura, movement ya hovyo kabisaa katika uwanda wa demokrasia.

maelekezo maalumu, mathalani ya maandamano ya Chadema hususwa hata na wanachama wao wenyewe.

hata maelekezo maalumu ya HQ waliopewa wale walioenda kusimamia uchaguzi wa Chadema kanda ya Nyasa, waliishia kulewa pombe tu 🐒
 
Inashangaza sana
na kwahakika inafirahisha sana hali hiyo ya kushamiri kwa demokrasia nchini hasa huko vijijini. Vyama vya kupinga maendeleo vinakataliwa wazi wazi kabisaa 🐒
 
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi.
Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM.

Ni kitongoji kimoja pekee ndio kina mgombea dhaifu sana kutoka upinzani, hata hivyo nampongeza kwa ujasiri aliokuanao licha ya kutokukubalika kwake kitongojini kwake.

Infact,
Hakuna mgombea yeyote atakaepita bila kupingwa, ispokua kutakua na kura ya kipekee sana ya ndiyo au hapana kwa kila mgombea asie na mpinzani.

Well done ndungu wanainchi kwa Imani yenu kubwa kwa CCM chini ya mwenyekiti wa CCM Taifa comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Chadema kikobusy na kesi ya tigo

Hata kujiandikisha aaanh
 
Back
Top Bottom