LGE2024 Demokrasia imekomaa sana nchini, kata yangu ina wagombea uongozi wa kijiji wa CCM pekee

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Madam, mimi nakupuuza sana.
sina haja na upuuzi au mbambamba ya awaye yeyote kwenye ukweli hususani kwenye masuala ya uhuru, haki na usawa wa wananchi katika kuamua hatma na mustakabali wa wa maendeleo katika maeneo yao kwa njia ya kiDemokrasia nchini gentleman πŸ’
 
sina haja na upuuzi au mbambamba ya awaye yeyote kwenye ukweli hususani kwenye masuala ya uhuru, haki na usawa wa wananchi katika kuamua hatma na mustakabali wa wa maendeleo katika maeneo yao kwa njia ya kiDemokrasia nchini gentleman πŸ’
Madam,
Nakupuuza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…