BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Tatizo si mfumo tatizo ni watu ambao wakipata madaraka wanataka kuyang’ang’ania kwa gharama yoyote ile ikiwemo kufanya udikteta, dhuluma na udhalimu wa kusema uongo, ufisadi, wizi, ubadhirifu na hata mauaji na haya yanatokea sana Africa, South East Asia na South America.
Kama mfumo unaruhusu matatizo kwa karibu bara zima basi haufai kabisa. Au hautufai kabisa. Na si Africa tu, huko South Amerika na South East Asia shida tupu.