Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Ni katiba gani unasema aisome? Je katiba ya CCM inasema Rais awe mwenyekiti? Nakushauri wewe badala ya kumwambia asome katiba basi wewe ndiye isome vizuri na endapo utakipata hicho kipengele kinachosema hivyo basi Mimi nitakubali kumfuata magufuli huko aliko.
Akijibu hili nistueUnataka Mwenyekiti Wa chama amfokee [emoji51]Rais wa Nchi.
Hawa wanajichanganya sana, kama Rais wa nchi ndiye automatically anakuwa mwenyekiti wa chama chao kwa nini waitane tena kumchagua mwenyekiti? Si wapeane taarifa kuwa kuanzia alipoapishwa Samia ndiye amekuwa mwenyekiti na hivyo vikao vinavyoendelea sasa vya kumtafuta Makamu wa Rais angeendesha Samia.
Na kwa nini walikimbia CCM kwenda Chadema labda tuanzie hapo?.
Shida ni kuwa bado hajasimikwa rasmi, ndiyo sababu vikao vinavyoendelea vinaendeshwa na Mangula
Ndio kama ilivo ANC pale south afrika zuma na tabo mbeki hawakutoboa miaka yao kazini ,chama kinakuondoa hufai hufai...kofia mbili nimbinu yakuzuia mapinduzi yakiungozi ccm ,basi hakuna jingine lamana ,miaka 70 bado hawaaminiani ila madongo kwambowe anayepigiwa kura hilo nilazima
CCM wanatumia dola kuikalia Tanzania kimabavu..
Marehemu wetu huyu kama kweli Mungu yupo na zile amri 10 alizompa Mussa bado zinafanya kazi zotee...aisee kama si kuni muda muda huu basi ni sufuria.
Chama ni taasisi inayojitegemea ikiwa na wanachama wake na uraisi pia ni taasisi inayojitegemea pia ikiongoza taifa kwa ujumla wake kupitia chama Fulani its better mwenyekiti wa chama awe mwngne tofauti na Raisi.
Maana nzima ya ccm kufanya rais ndo awe mwenyekiti wa chama kwanza ni hulka yao ya kutaka kutumia resources za nchi vibaya au kwa manufaa ya chama Chao na pili kurahisisha wizi wa kura kupitia vyonbo vya serikali na tatu chama kutotambua wajibu wake kwa serikali basi
Hiki ni kitu kipya kwa Tanzania Rais aliye madarakani kufariki dunia na kuacha ombwe la uongozi kwa muda mfupi. Lakini pia ni wakati muafaka kuwakumbusha CCM kuangalia namna bora ya kuboresha demokrasia ndani ya chama chao na kuwapa nafasi na uhuru wanachama wao kushiriki katika kupata kiongozi wao mkuu.
Kwa vyo vyote vile lazima mwenyekiti achukuliwe hatua za kisheria na kwa hili halitaathiri utendaji kazi wa Rais.Itakapotokea chama cha Rais aliyepo mamlakani kwenda kinyume kabisa na Katiba na Sheria za nchi kwa mujibu wa mwenyekiti, inakuaje Chief?
Niktu kpana sana muda nishidaTufaidishe kiduchu na historia ya ANC na South Africa kwa ujumla Chief!
Wametoka wapi? Wapo wapi? Wanaenda wapi? Wanatamani kwenda wapi???
...
yes hakika umenena...umegusia mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu wa CHADEMA lakini anapigiwa kura,ila hujataka kugusia wale wanaojitokeza kugombea kiti chake hicho huwa wanakutwa na nini,mengine nakubaliana na weweKiti cha mwenyekiti wa CCM Taifa kiko wazi baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kinachofuata hivi sasa ni kumsimika Mama Samia Suluhu kuwa mwenyekiti mpya baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Hii si sawa kabisa na wala hakuna demokrasia hapo!
Kwanini kusifanyike uchaguzi ili wanachama wenye sifa washindanishwe kwa kupigiwa kura? Iko wapi demokrasia ambayo CCM inajitapa nayo? Makundi ndani ya CCM yanazaliwa kwa sababu hii. Kwani CCM isingeshinda kiti cha Urais utaratibu upi ungefuatwa kumpata mwenyekiti mpya?
Mbowe pamoja na kuwa mwenyekiti wa muda mrefu CHADEMA lakini anapigiwa kura. Hii ndiyo demokrasia.
Kitu cha ajabu kuna viongozi ndani ya CCM wakiongozwa na Polepole wameanza kujipendekeza na kujibebisha kwa Mama Samia ili waendeleze ulaji wao. Pity!
Umewauliza CCM juu ya katiba yao? Unajua nani anatakiwa kupiga kura?Kinachojalisha ni kufanyika kwa uchaguzi huru na haki na siyo usimikaji kama wa kichifu!
Kwa vyo vyote vile lazima mwenyekiti achukuliwe hatua za kisheria na kwa hili halitaathiri utendaji kazi wa Rais.
Huyu Jamaa inaelekea hajui, muelimishe pamoja na wengine kwa kumuwekea vifungu hapa ili wasiipotoshe jamiiSoma Katiba Kiongozi.... Soma. Ni muhimu sana.. kabla hujaungumza juu ya kitu uwe unakijua atleast mara tatu zaidi ya Mtu wa kawaida..
Na tusiwe watu wa kulalamika tuuu..kila wakati.. its unhealthy.. ukiona shida sema utatuzi..sio wakutoa hewani.. soma uone uvunjifu wa taratibu kwa Mujibu wa sheria zinazoongoza swala hilo.. tupe alternative... Unatoka umefaidika kwa kujua na sisi tunasoma bandiko lako tunakuwa tumejua kupitia kwako.
Tusome au tuulize ..tusije kuandika tu for the sake of writing.
Kama tutatengeneza katiba isiyoegemea maslahi ya watu fulani tunaweza kuwa na taasisi zisizoyumbishwa na serikali ikabaki imara.Lazima litaathiri utendaji kazi wa Rais kwa maana wakubwa zake chamani wakilipeleka chama chake mrama yeye atabakije Imara?
Atajitoa Chamani?
Ataendelea kuwa Rais bila kuwa ndani ya chama?
Sheria zetu/Katiba yetu inaruhusu mgombea/Rais binafsi asiye na chama?
Uko sahihi sana, lakini tubaki kwenye mjadala wa mada yako.Kama tutatengeneza katiba isiyoegemea maslahi ya watu fulani tunaweza kuwa na taasisi zisizoyumbishwa na serikali ikabaki imara.
Sumaye aliambiwa "sumu haionjwi" ni baada ya kutaka uwenyekiti. Sitazungumzia ya Zitto, Wangwe na wengineo. Siasa ni biashara mkuuJe,katiba ya chadema imekiukwa katika hilo?Mbowe amekuwa akihonga au kuwatishia wajumbe ili wamchague?