Demokrasia Marekani kubwa sababu wanasiasa wana shughuli za kuwaingizia vipato vya kutosha nje ya siasa tofauti na Tanzania
Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa
Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi
Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa
Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi
Kwa Tanzania ukianzia upinzani hadi Chama tawala wengi waganga njaa tu hawana shughuli za maana za kuwaingizia kipato cha kutosha zaidi ya kuwinda tu fursa za kisiasa wawe Chadema au CCM nk ndio maana hata chaguzi tu ndani ya vyama ni mshike mshike watu wasio na vipato vya kuelekwa nje ya siasa wakiwinda pesa kwenye siasa
Marekani wao huangalia kwanza mtu ana nini ? Ana mali au kipato gani cha kutosha nje ya siasa ndio humpa nafasi
Tanzania nadhani tunapenda wapiga mayowe tu ndio maana nchi haiendelei na vyama hasa vya upinzani havifanyi vizuri sana kwenye chaguzi ziwe za ndani au chaguzi za kitaifa .Wanajaza zaidi wapiga mayowe wasio na kipato cha kutosha hakikika nje ya siasa
Watu wa aina hiyo kuifikisha nchi au chama cha siasa mbali ni changamoto sio rahisi