Demokrasia ni adui wa maendeleo

Demokrasia ni adui wa maendeleo

Uzi wa kijinga sana huu.

Inaonekana mleta mada umezaliwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea.

Hivi hujui Tanzania kuanzia 1969 - 1992 tulikuwa hatufuati mfumo wa kidemokrasia kama tuliokuwa nao sasa?

Tuliendelea?

Tumeendelea zaidi baada ya kukumbatia zaidi demokrasia au tulivyokuwa kipindi hicho?

Huwezi kumkuta mtu ambaye amekimbia North Korea anakwambia mfumo wa kidikteta ni mzuri

Wewe unaleta hizi hoja zako hapa kwa sababu you are priviledged individual ambaye hujawahi kuishi kwenye udikteta.

Again huu uzi ni wa kipuuzi mno
Mleta uzi ana akili na uelewa mzuri kuliko wewe unaefikiri kwa kutumia mavi ya wazungu ulijaza kichwani mwako! Mleta mada ametoa mifano ya nchi kama china nk ambazo hazina demokrasia lakini zina maendeleo makubwa. Unataka tuwe na upumbavu kama walibya waliomuondoa madarakani dikteta Muamar Gadafi ili wapate demokrasia matokeo yake wamepoteza maendeleo na neema walizokuwa nazo chini ya utawala wa kidikteta.
Demokrasia siyo chakula ambacho mtu hula akashiba kwahiyo jambo la muhimu ni maendeleo kwakuwa demokrasia haina faida yoyote kwa raia wa kawaida ambaye hana tamaa ya uongozi.
 
Umasikini wa Tanzania hauna mahusiano ya udikteta wala demokrasia ni masikini kwa sababu imejaza watu wa wajinga wajinga kama tu ilivyo nchi nyingi za Afrika.
Umasikini wa wapi unahusiana au umesababishwa na demokrasia?
 
Umeletwa mada nzuri sana kama unaishi katika mawazo yangu.
Asante sana kwa hoja nzuri zenye nguvu na mifano halisi kiasi kwamba kila mwenye akili ameelewa matatizo ya hili balaa linaloitwa demokrasia tulilowekewa na mabeberu toka ulaya.
Shida ni namna gani tunaweza kubadili mfumo huu muovu ambao unazidi kuzoeleka pamoja na kwamba ni mgumu kutekelezeka na kurudi kwenye utawala wetu wa asili
(utawala wa watemi na machifu )!
Wanakuwa badala ya wabunge ??! Au. ?
🤣😂
 
Usichanganye kutawaliwa kifalme na kukosa demokrasia

Pia Ungeendelea kuzitaja mkuu hizo nchi, NK ndo nini?

Uko tayari na mimi nikutajie nchi ambazo zina democracy ya kutosha na zina maendeleo makubwa kuliko hizo nchi ulizozitaja?
Taja tuone, na katika hizo utakazozitaja weka na nchi za kiafrika ambazo zinayo demokrasia na zina maendeleo! Na tangu lini nchi ya kifalme ikawa na demokrasia ?!
 
Mleta uzi ana akili na uelewa mzuri kuliko wewe unaefikiri kwa kutumia mavi ya wazungu ulijaza kichwani mwako! Mleta mada ametoa mifano ya nchi kama china nk ambazo hazina demokrasia lakini zina maendeleo makubwa. Unataka tuwe na upumbavu kama walibya waliomuondoa madarakani dikteta Muamar Gadafi ili wapate demokrasia matokeo yake wamepoteza maendeleo na neema walizokuwa nazo chini ya utawala wa kidikteta.
Demokrasia siyo chakula ambacho mtu hula akashiba kwahiyo jambo la muhimu ni maendeleo kwakuwa demokrasia haina faida yoyote kwa raia wa kawaida ambaye hana tamaa ya uongozi.
Na huo ndio ukweli !
Demokrasia ina faida gani kwa Wananchi wa kawaida wasiojishughulisha na kutaka uongozi !!
Hakuna faida yeyote !!
 
Sijui ni ujinga gani unaotaka kuhararisha kuhusu Tanzania.

Countries: Argentina, Australia, Brazil, Canada, China, France, Germany, India, Indonesia, Italy, Japan, Mexico, Russia, Saudi Arabia, South Africa, South Korea, Turkey, the United Kingdom, and the United States

Nchi kariba zote hapa zina historia mbaya ya udikteta na impact yake katika maendeleo yao.
Nani walikuwa madikteta wa USA, Uingereza, Mexico, Italia, Brazil, Canada, Ufaransa na Australia na walileta impact gani kubwa ya maendeleo katika hizo nchi??
 
Nani walikuwa madikteta wa USA, Uingereza, Mexico, Italia, Brazil, Canada, Ufaransa na Australia na walileta impact gani kubwa ya maendeleo katika hizo nchi??
Hizo nchi kwa asilimia kubwa zimeneemeka na matokeo ya ukoloni na utumwa.

Tena marekani ni bora hata ungeiondoa nashangaa hata kwa nini unakuwa hata na ujasiri wa kuiweka hapa.
 
Taja tuone, na katika hizo utakazozitaja weka na nchi za kiafrika ambazo zinayo demokrasia na zina maendeleo! Na tangu lini nchi ya kifalme ikawa na demokrasia ?!
Dikiteta wa Uingereza, Australia na Canada ni nani??
 
Mleta uzi ana akili na uelewa mzuri kuliko wewe unaefikiri kwa kutumia mavi ya wazungu ulijaza kichwani mwako! Mleta mada ametoa mifano ya nchi kama china nk ambazo hazina demokrasia lakini zina maendeleo makubwa. Unataka tuwe na upumbavu kama walibya waliomuondoa madarakani dikteta Muamar Gadafi ili wapate demokrasia matokeo yake wamepoteza maendeleo na neema walizokuwa nazo chini ya utawala wa kidikteta.
Demokrasia siyo chakula ambacho mtu hula akashiba kwahiyo jambo la muhimu ni maendeleo kwakuwa demokrasia haina faida yoyote kwa raia wa kawaida ambaye hana tamaa ya uongozi.

Sasa umepaniki nini na wewe em relax. Ka jinga

Huu ni mjadala tu mkuu, tunabadilishana mawazo

Libya ni mfano mzuri sana. Wewe unahisi wale wa Libya walikuwa wajinga?

Yaani you think kwamba wewe ni smart sana kuliko wale Walibya ambao waliingia mtaani kumtoa Gadaffi mwenyewe na ku-risk maisha yao kupigwa na mabomu?

Unadhani hao Wa libya walikuwa hawaoni maendeleo aliyoleta huyo Gadaffi? Ila wewe mtanzania ambaye unaishi Nangurukuru huko ndo unajifanya unaelewa saaaaana?

Kuna mambo mengi hujui kuhusu watu na vitu wanavyovitaka kwenye maisha yao so kama hujui shut the helll up

Yaaani usomeshe watu hadi chuo bure alafu utake kuwatawala kama watoto wako?
 
Taja tuone, na katika hizo utakazozitaja weka na nchi za kiafrika ambazo zinayo demokrasia na zina maendeleo! Na tangu lini nchi ya kifalme ikawa na demokrasia ?!

Uingereza na Netherlands zina monarchie and still ni democracies.

Kusema kuwa Afrika hatujaendelea kwa sababu ya demokrasia ni uvivu wa kufikiri na kukosa akili.

Mobutu Seseseko na Iddi Amin waliongoza kwa mkono wa chuma lakini leo Uganda na Congo ni shitholes.

Reasons on why hatuendelei kama Waafrika zipo na mnazijua acheni kuhamisha magoli.
 
Umasikini wa wapi unahusiana au umesababishwa na demokrasia?
Watu wanaiba mali za Umma wanafanya kila aina ya Ubadhirifu lakini wakipelekwa Mahakamani eti kwa sababu ya Demokrasia na Utawala wa Sheria wanashinda kesi kwa kutumia mali hizo hizo walizozikwapua. !

Watu wanavurunda sehemu zao za Kazi kwa kufanya kila aina ya madudu lakini Kiongozi anashindwa kumuwajibisha kwa sababu atakuwa amefanya Udikiteta 🤣😳

Mwamba alijaribu jaribu kidogo tu na mambo yalishaanza kukaa kwenye msitari 😅🙌👍

Watu wanatumbuliwa juu kwa juu hata huko mikutanoni 😳
Hakuna mchezo !
Tena yeye alikuwa na afadhali lakini huko China Korea Japan Vietnam huko huwa wanakula kitanzi tu !
 
Back
Top Bottom