Demokrasia ni kwa mataifa yaliyoshibisha wananchi wake, kwa Afrika hazitufai.

Demokrasia ni kwa mataifa yaliyoshibisha wananchi wake, kwa Afrika hazitufai.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Kenya ni nchi lege lege, inayo practise jambo ambalo wakati wake bado haujafika, najaribu kujiuliza ilikuwaje taifa hilo likakubali muhimili wake muhimu sana kufanyiwa dhihaka na fedheha namna ile,
#A perfect democracy is not for Africa.
# wenzetu wachina waliona hili mapema sana wakaliepuka mapema sana,
#Demokrasia ndiyo mlango mkuu wa maadui wa taifa lolote lile,
#Nchi zetu za Afrika zilihitaji zaidi sheria kali na ngumu hasa katika kutunza na kudhibiti rasilimali za taifa kuliko demokrasia.
#Njaa husababisha mtu kuchukuwa maamuzi ya hovyo, lakini aliyeshiba hujitafakari vizuri, kwanza, sasa kwa kenya it's obviously "Njaa" ndiyo maana kwenye heading nikaweka kushibishwa!
 
Mleta uzi nakuunga mkono miaka milioni5 kwa aina ya viongozi tulionao africa uko sahihi tulipaswa kwanza kuwa wamoja na kuwa na sheria kali na ngumu pia kuwa na rais mmoja ili hawa mabeberu wasituweze pia tuwe na chama kimoja au viwili basi.
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri,sheria Kali unazozungumzia zipo isipo kuwa hazifuatwi na watawala kwa sababu zimewapa authority kubwa ya decision.Ndio maana tunahitaji constitution change
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri,sheria Kali unazozungumzia zipo isipo kuwa hazifuatwi na watawala kwa sababu zimewapa authority kubwa ya decision.Ndio maana tunahitaji constitution change
-Let adopt from China!, hujifunzi ya Kenya?, wanayo katiba nzuri sana, labda shida akili za kiafrika, Afrika utaweka mpango bora watu watapindisha, niliposema, sheria kali na ngumu hukunielewa!
 
Kataa democracy ni utapeli .
Mlango wa uovu kwa taifa, endapo serekali husika hazitakuwa makini kiintelegensia.
TANZANIA KAMA TAIFA TUJITAFAKARI SANA, SIYO KILA JAMBO NI LA KULIKIMBILIA, WAMETULAZIMISHIA DEMOKRASIA LAKINI TWENDE NAYO POLE POLE!
 
Kenya ni nchi lege lege, inayo practise jambo ambalo wakati wake bado haujafika, najaribu kujiuliza ilikuwaje taifa hilo likakubali muhimili wake muhimu sana kufanyiwa dhihaka na fedheha namna ile,
#A perfect democracy is not for Africa.
# wenzetu wachina waliona hili mapema sana wakaliepuka mapema sana,
#Demokrasia ndiyo mlango mkuu wa maadui wa taifa lolote lile,
#Nchi zetu za Afrika zilihitaji zaidi sheria kali na ngumu kuliko demokrasia.
Tatizo la Africa siyo raia wake, bali viongozi wake, ambao bado Wana act kama matarishi na siyo viongozi, kwahiyo Kuna tamaa ya kutawala zaidi badala ya kuongoza.

Huo mhimili unaousema ndiyo centre of corruption and abuse of power, ila kwakua tunapenda urahisi wa kutawala Ili tufaidike wachache ndiyo sababu hata wewe unaona Kenya wanatakiwa watawaliwe badala ya kuongozwa.

China siyo model nzuri ya uongozi, na wao wanasheria Kali Kwa wezi na mafisadi, tofauti na Africa...Usilinganishe China na nchi zetu ambazo mafisadi wanatunga sheria za kukandamiza jamii Kisha wanataka kuwalipisha Kodi ambazo wao hawako tayari kuzi account for....Africa ni kituko duniani, na yote haya kwasababu viongozi wake wamekubali kuwa vibaraka, jambo ambalo hata wewe umeli demonstrate Kwa mawazo yako hayo ya kutaka hao wachache wa consolidate power and wealth in the pretext ya kulinda usalama...Usalama wa nani? Mafisadi? Maana hao raia hawapo salama kwakua hawana maisha zaidi ya mateso na manyanyaso
 
Kenya ni nchi lege lege, inayo practise jambo ambalo wakati wake bado haujafika, najaribu kujiuliza ilikuwaje taifa hilo likakubali muhimili wake muhimu sana kufanyiwa dhihaka na fedheha namna ile,
#A perfect democracy is not for Africa.
# wenzetu wachina waliona hili mapema sana wakaliepuka mapema sana,
#Demokrasia ndiyo mlango mkuu wa maadui wa taifa lolote lile,
#Nchi zetu za Afrika zilihitaji zaidi sheria kali na ngumu kuliko demokrasia.
Mbona nchi nyingi Afrika hazina perfect democracy na bado hazijaendelea. Nchi kama Cameroon, Gabon, na nchi kibao hazina perfect democracy na hazijaendelea. Nchi ambazo walau zinajitahidi zina vinasaba vya Warabu. Sisi haijalishi mfumo gani wa serikali tutakaokuwa nao hatuwezi kuendelea kwa sababu viongozi wanatokana nasi nasi ni wabinafsi. Yani mtu anaweza uza maliasili ya tilions of TZS kisa yeye na familia yake watapata bilioni 12 na nyumba marekani so wengine mtajisort.
 
Mbona nchi nyingi Afrika hazina perfect democracy na bado hazijaendelea. Nchi kama Cameroon, Gabon, na nchi kibao hazina perfect democracy na hazijaendelea. Nchi ambazo walau zinajitahidi zina vinasaba vya Warabu. Sisi haijalishi mfumo gani wa serikali tutakaokuwa nao hatuwezi kuendelea kwa sababu viongozi wanatokana nasi nasi ni wabinafsi. Yani mtu anaweza uza maliasili ya tilions of TZS kisa yeye na familia yake watapata bilioni 12 na nyumba marekani so wengine mtajisort.
FLAG DEMOCRACY!
Kumbuka demokrasia Afrika ni jambo tulilolazimishiwa ili tupate misaada kutoka ng'ambo, wakijua katika kila nchi kutakuwa na chama pinzani, ambacho endapo watahitaji lolote kutoka nchi tamani, wataingilia kwa mlango wa opposition's!
 
Kenya ni nchi lege lege, inayo practise jambo ambalo wakati wake bado haujafika, najaribu kujiuliza ilikuwaje taifa hilo likakubali muhimili wake muhimu sana kufanyiwa dhihaka na fedheha namna ile,
#A perfect democracy is not for Africa.
# wenzetu wachina waliona hili mapema sana wakaliepuka mapema sana,
#Demokrasia ndiyo mlango mkuu wa maadui wa taifa lolote lile,
#Nchi zetu za Afrika zilihitaji zaidi sheria kali na ngumu hasa katika kutunza na kudhibiti rasilimali za taifa kuliko demokrasia.
Sio, kweli bro, naenda, kasome mapinduzi, ya, ufaransa, watu wakawaida walichoka, wakampindua mfalme,
Maisha, mazuri,ya ulaya, na, America, hayakuja kirahisi, zipo nchi z ilikuwa, na, madikteta, balaa, mfsno Adolf Hitler.
Watu walimwaga damu, kinachoendelea, Kenya, ni, jambo sahihi! We unaona sawa,
Serikali, inasema, haina pesa, ya, posho, kwa, madokta,Ila, kuna pesa, ya kukarabati nyumba ya DP, pesa, ya, ofic ya first ladies,
?
 
Dictator ni wa kumwondoa, maana hana maana, mfano Mobutu, watu wa aina hii hawafai, kutofautishe aina za uongozi.
 
Back
Top Bottom