Demu aliyeniambukiza gono kaja tena ghetto

Mpumbavu sana wewe. Umefanya ngono zembe bila kinga, umevagaa GONO na bado unakuja kuandika kwa maringo.

Sijawahi kuono mijitu yenye Low IQ kama kijana Kiranja Mkuu
 
Hili nalo ni tatizo la ubongo kuweka mambo binafsi public unnecessary
 
Sema tumekuwa na tabia ya kupimana kwa macho na kuleta mazoea yasiyo na tija katika afya zetu.tuwe makini sana na haya maswala ya kimahusiano maana kuna wanawake wengine wanakuwa na maroho machafu ukijamiana nao unaanza kuona mazigazi bado kuna swala la ukimwi Vijana tunajisahau sana sikuhizi utelezi umekuwa rahisi sana kama pipi dukani kwa mangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…