Demu aliyeniambukiza gono kaja tena ghetto

Oya nipe huyo demu mie hao wa gono na vvu ndio nawataka
 
Aaah kweli kungonoka kwa msaada wa watu wa marekani kuleta dawa na condoms ili kukabiliana na madhara ya ngono za rejareja hakunaga
 
Umetuangusha kaka.
Gono kwa mwanamke anaweza kukaa nalo hata mwaka bila kujua hivyo ulipopata wewe ilitakiwa umchukue muende kupata tiba pamoja
Kwanza hospital nyingi ukionekana una gono wanahitaji ukamlete na mwenzako sababu wanaujua huu ugonjwa

Kwa mwanaume gono unaanza kulisikia ndani ya siku moja ila kwa mwanamke ni ngumu sababu anajisikia kawaida tu hivyo ulichokitangaza hapa sio sahihi, au ulitakiwa utujuze mkiwa mmeshapata tiba wote.... Huyo demu hata akipata tiba nashauri akae mbali na wewe
 
Sio kweli kwa asilimia hizo mkuu. Ukweli ni kwamba mwanamke akiwa na Gono akisex na mtu mwenye HIV nilazima apate maambukizi .

Ukweli mwingine mwanamke anaweza kuishi na Gono kwa miaka mingi
ukiugua gono a.k.a U.T.I una 95 pasee ume acquire
 
Watz Wengi hatupendinl kuelezwa ukweli tunapenda uongo ulikosea jinsi ya uwasilishaji kwake au sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…