Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du DA nina mashaka kama umefanya utaiti juu ya hayo unayoongea.Most of the time tunapenda ku- generalize Binafsi kuna watu ninaowafaham na ni watu wangu wa karibu saana Both males and females ambao hawaku do mpaka harusi.Inategemea na malezi pia na Uwezo wa mtu kuwa detetermined.I still believe wapo wema na watiifu wa sheria za Mungu hapahapa duniani!!Hayapo kabisa siku hizi
Wana JF,
Kwanza niseme mimi ni new member. Nashukuru kwa kunipokea. Naomba mnipe maoni yenu kuhusu hili.
Miezi michache iliyopita (kama 10) alinitongoza demu fulani mdogo kunizidi lkn mzuri sana tu. Kusema kweli sikuwa na mpango wa kumtongoza yeye na alipogundua hilo akafanya kweli. Ninaishi Arusha na yeye anaishi Moshi kwa sasa. Mimi ninafanya kazi Arusha na yeye yuko mwaka wa mwisho chuoni pale MUCCOBS. Tatizo ni kuwa sasa nialmost mwaka lkn hatujawahi kufanya mapenzi. Kila nikianzisha mada hiyo anadai tusubiri hadi turuhusiwe kimaadili. Sasa sijui anafikiri mimi naishije mwaka mzima? Yuko so firm na moral kiasi kwamba sina ubavu wa kumforce-kwani kweli nampenda na nawish tutaoana siku moja. Cha kushangaza amekuwa muwazi kuwa alishawahi kufanya mapenzi na mwanaume hapo kabla. Sasa sijui kwa nini mimi ninayetarajia honestly kuwa mchumbake na mume hanikubalii. Nichakachue nje au? Manake bado hatuna mpango wa kuoana sasa-labda miaka 2 ijayo. Does it mean nisubiri tu? Nahisi ni mtego/kikwazo mkali sana kwangu.
Subiri kijana.....kama kweli umependa!!! kuhusu ishu ya kuwa alishafanya mapenzi kabla,haimpi yeye ulazima wa kufanya na wewe....kuna jambo lake amejifunza au anamuogopa Mungu wake na ameshaamua kutofanya mapenzi hadi baada ya kiapo......usichakachue nje,waweza haribu,na navyoona unampenda kweli huyu binti!!!:washing:
Du DA nina mashaka kama umefanya utaiti juu ya hayo unayoongea.Most of the time tunapenda ku- generalize Binafsi kuna watu ninaowafaham na ni watu wangu wa karibu saana Both males and females ambao hawaku do mpaka harusi.Inategemea na malezi pia na Uwezo wa mtu kuwa detetermined.I still believe wapo wema na watiifu wa sheria za Mungu hapahapa duniani!!
Hakuna mtu asiyemtii na kumuheshimu Mungu. Kusema ni rahisi kuliko kutenda ndugu endelea kuwa na imani uyashinde majaribu yote ya duniani
Huyu jamaa hana uhakika kama watakuwa wachumba na mwishoe wanandoa, na pia inaonyesha hana uvumilivu!Ana akili sana huyo... Vumilia kama una UHAKIKA mtakuwa wachumba na mwishoni, wanandoa..... USICHAKACHUE nje, utapata MAGONJWA bure na mwishowe ni kifo..
unajua umenikumbusha movies mojaa inaitwa NAKED MILES..ilikuwa kama mapenzi yenu jamaa akitaka mzigo anaambiwa subiri mdaa,demu alivyo onaa jamaa anakazania...akampa nafasi akafurai na rafiki zake kwenye "naked miles party" weekends na kumwambia, ''i give u free glity pass go and do watever u do even....then after loss u self come back to me"baada ya jamaa kwenda nyuma demu akaaza kujutia uwamuzi wake,BUT MWISHO CSE JAMAA ALIKUWA ANA MPENDA DEMU WAKE AKUFANYAA CHOCHOTE.NAMWISHO WA SIKU DEMU AKALENGEZA MSIMAMO JAMAA AKAPIGAAA MZIGO.
I concur with You!Du DA nina mashaka kama umefanya utaiti juu ya hayo unayoongea.Most of the time tunapenda ku- generalize Binafsi kuna watu ninaowafaham na ni watu wangu wa karibu saana Both males and females ambao hawaku do mpaka harusi.Inategemea na malezi pia na Uwezo wa mtu kuwa detetermined.I still believe wapo wema na watiifu wa sheria za Mungu hapahapa duniani!!
Wana JF,
Kwanza niseme mimi ni new member. Nashukuru kwa kunipokea. Naomba mnipe maoni yenu kuhusu hili.
Miezi michache iliyopita (kama 10) alinitongoza demu fulani mdogo kunizidi lkn mzuri sana tu. Kusema kweli sikuwa na mpango wa kumtongoza yeye na alipogundua hilo akafanya kweli. Ninaishi Arusha na yeye anaishi Moshi kwa sasa. Mimi ninafanya kazi Arusha na yeye yuko mwaka wa mwisho chuoni pale MUCCOBS. Tatizo ni kuwa sasa nialmost mwaka lkn hatujawahi kufanya mapenzi. Kila nikianzisha mada hiyo anadai tusubiri hadi turuhusiwe kimaadili. Sasa sijui anafikiri mimi naishije mwaka mzima? Yuko so firm na moral kiasi kwamba sina ubavu wa kumforce-kwani kweli nampenda na nawish tutaoana siku moja. Cha kushangaza amekuwa muwazi kuwa alishawahi kufanya mapenzi na mwanaume hapo kabla. Sasa sijui kwa nini mimi ninayetarajia honestly kuwa mchumbake na mume hanikubalii. Nichakachue nje au? Manake bado hatuna mpango wa kuoana sasa-labda miaka 2 ijayo. Does it mean nisubiri tu? Nahisi ni mtego/kikwazo mkali sana kwangu.
Tamaa mbaya zilimponza mzee fisi,wewe kama unampenda na unahitaji kuwa wote anza process za ndoa kama vp mfunge ndoa uanze kudo. Mi nafikiri kama huyo dada alikufuata mwenyewe ina maana ameshaona hao wengine wote wazushi na kesha jifunza madhara ya kufanya mapenzi. Subiri uoe ndo uchakachue sa hivi we muote tu ndo ruksa. Mi mwenyewe Nisingependa kuoa mwanamke tuliechakachuana maana kuna heshima ya pekee kwa watu wanoweza kujitunza kabla ya ndoa. Hie mihemko yako ni kwa sababu unaendekeza mawazo ya ngono na ujue an idle mind is a devel house so keep uarself busy,Kama huwezi kuwa busy kwa kazi anza kufanya extra curricular activities kama Charity works ama Mambo mengine ya maana na hutaamini hiyo miaka itapita na hutajuta!!
Wana JF,
Kwanza niseme mimi ni new member. Nashukuru kwa kunipokea. Naomba mnipe maoni yenu kuhusu hili.
Miezi michache iliyopita (kama 10) alinitongoza demu fulani mdogo kunizidi lkn mzuri sana tu. Kusema kweli sikuwa na mpango wa kumtongoza yeye na alipogundua hilo akafanya kweli. Ninaishi Arusha na yeye anaishi Moshi kwa sasa. Mimi ninafanya kazi Arusha na yeye yuko mwaka wa mwisho chuoni pale MUCCOBS. Tatizo ni kuwa sasa nialmost mwaka lkn hatujawahi kufanya mapenzi. Kila nikianzisha mada hiyo anadai tusubiri hadi turuhusiwe kimaadili. Sasa sijui anafikiri mimi naishije mwaka mzima? Yuko so firm na moral kiasi kwamba sina ubavu wa kumforce-kwani kweli nampenda na nawish tutaoana siku moja. Cha kushangaza amekuwa muwazi kuwa alishawahi kufanya mapenzi na mwanaume hapo kabla. Sasa sijui kwa nini mimi ninayetarajia honestly kuwa mchumbake na mume hanikubalii. Nichakachue nje au? Manake bado hatuna mpango wa kuoana sasa-labda miaka 2 ijayo. Does it mean nisubiri tu? Nahisi ni mtego/kikwazo mkali sana kwangu.