Demu wako au mke wako analiwa Kwa style ile ile ambayo we unawala wake za watu au mademu za watu.

Demu wako au mke wako analiwa Kwa style ile ile ambayo we unawala wake za watu au mademu za watu.

utaumia zaidi..
Utakapogundua mwizi wako ana muhogo alafu wewe una kiba100
Hahahah..! Asante Mungu kwa kuninyima kibamia.
Ukiwa na Tango shida ukiwa na kiba100 shida yaani hatari tupu,kuna mke wa mtu alikuwa anachepuka na jamaa mwenye kiba100 akasema anakipenda kile kibamia Kwa vile hakiumizi kwenye kufanya kazi ya kinyume na maumbile.
 
mi nimefumua mke wa mtu na ana mimba ya miez 6 alikua dem wangu wa chuo Enzi izo 2013 SAUT saivi kaolewa jamaa alinipigia dem wangu kabla hajamuoa kwaivo na mimi narudisha fadhila na nawaza kuendelea kupiga mpaka hasira zangu ziishe
 
Me nna katabia ka kula marafiki wa bebi wangu!.. Ila wana wote wanajua nimeungua hawagusi makoloni yangu!. Huyo Karma anapatikana wapi!?. 😀
 
Sababu kuchepuka,
Tatizo ni kwamba ukioa mtu wa tabia kama zako tegemea kwamba anaweza kufanya yote ambayo wewe wafanya, yawe mazuri au mabaya. Mume na Mke huendana sana sanaaa, hivyo kama wewe ni mtu mwema basi mkeo naye anaweza kuwa mwema: Unavyoingia kwenye ndoa lazima akili yake itulie ili mwenzako akose visababu vya kwenda nje kuchepuka....Tuliza kichwa sanaaaaa
Nakubaliana nawe Malcom Lumumba kwa asilimia 100%.
 
Ukimtendea mwenzio na wewe utatendewa hivyo hivyo.
Kama wewe ni Bingwa wa kutembea na wanafunzi kaa ukijua katoto Kako ka kike katapata tabu sana.

Kuna Matukio kadhaa yanafanana ndo yamenifanya niandike Uzi huu huenda na Kwa wengine ikawa hivyo.
Nilikuwa natafuna Askari polisi mmoja mke wa Daktari,kumbe hata mke wangu naye alikuwa anatafunwa na Polisi mmoja. nikawa na kademu Fulani permanent kumbe na wife naye ana kidumu permanent japo Kwa Siri na home mambo yanaenda sawa.Na mambo mengine mengi Kila tukio nimefanya na Kwa wife naye kafanya.Toka tukiwa wapenzi hatujawa mume na mke.
Zilipofika Arobaini ndo nikagundua mbivu na mbichi nilijua mengi lkn matukio yote yalifanana na niliyofanya.Niliumia sana kuona kuwa mke wangu ni mchepukaji long time.
Ila nilijifunza kuwa Kwa jinsi unavochepuka ndiyo hivohivo na mwenza wako anachepuka Kwa karibu kiwango hicho hicho jaribuni kufuatilia.Muulize demu unayechepuka naye Mr Ake yupoje.
Zinaa ni deni mzee na dawa ya deni kulipa. Wewe kama unatafuna wake za watu wa kwako lazima atafunwe tu,au kama wewe unatafuna watoto wa watu,na wewe jiandae na wa kwako.

Ila dawa ni moja tu.
 
Back
Top Bottom