Demu wangu kakutwa na chats zangu na mumewe, ndiyo nikajua kaolewa!

Wakuu kwema?

Hapa job, Kuna mwanamke ninatoka nae kimapenzi, lakini alisema yupo single wakati namfata, na alikana Kama kuwa Hana Mume,nimetembea nae Sana tu, sasa leo, mumewe kakamata simu yake....
Wake za watu ni ving'ang'anizi mimi alibeba mpk mimba yngu na akasema nisitetereke nikushauri we endelea kumkamia vidole juu😂😂
 
Mkuu pale Cuba ulimaliza kozi gan
 
Tubia dhambi hii ya kutembea na mke wa mtu, umeharibu hiyo ndoa
 
Umepigiwa cm tu, na huna ujasiri wa kuchomoa msala? Wanaume wa Dar mna changamoto lukuki..
Kuna dada maskini ya watu nlimtongoza akakataa tena alisema ana mume .tatizo likaanza kila nikijipost ananisifi sifia nkasema cha kufia nn .nkaanza mwita pisi kali na stor tamu tamu.du mmewe akaipata chat.jamaa kunipigia asee nilimpangua mbaya mpaka akawa ananiita shemeji .kama baada ya wiki demu kaniuliza kwa namba ngeni ukwap nkasema mtaan .akasema njoo hotel x asee yule dada nusu anivunjie uume alinipa hadi kunipa tena midenda ka tumepina tena kavu kavu.
Tuliingia saa 8 tukamaliza saa mbili usiku .nkaenda baa zangu za wahuni sinza kijiweni saa 7 demu kalewa simu hii niaje kanambia tuma location .nkatuma kuibuka kanambia jamaa ake kaenda moshi tukalale .asee hapo nimekula nyag kubwa nkapiga hadi asubuhi .
Kesho yake akantumia sms kuwa alipenda sana nlivomtetea skuile akakosa zawadi .
Ila hiyo imeenda hatonipa tena anampenda sana jamaa ila jaman wadada wa tanga ayaaa
 
Mke wa mtu ni sumu...
 
Labda kweli sio mke wa mtu sababu wanaishi kinyumba na jamaa yake uyo yupo sahihi kuna kuishi kinyumba na ndoa so uyo yupo kinyumba zaidi wanaishi tu na usikute mwana anayeishi naye ajatoa hata mahali una uwezo wa kumpora ila kama kweli ni mume wako na wamefunga ndoa kihalali kama una hekima its best umpotezee huyo mwanamke
 
mlipe fidia a.k.a kifuta machozi kwa kumla mke wake
 
Ushauri gani tena? Anza kutafuta vilainishi mumewe anakusoma hapa
 
Huyo Dem kakuchoka mkuu....
Amekuchezeshea ili muachane.

Hanna mume.
 
Sasa unataka nini? Jamaa ameshakwambia kistaarabu kuwa amegundua unatembea na mke wake, nawe kuwa mstaarabu na mjulishe ukweli kuwa hukuwa ukilijua hilo na hapo iwe ndio mwisho wa mahusianao na huyo mwanamke. Ushaona kuwa huyo mwanamke ni muongo, so kwa nini unataka kuwa na mahusiano na mtu muongo? Huoni kuwa hapo umesalimika? laiti jamaa angelikuwa ni wale wenye fuse mbovu si angeliweza kukutafuta na kukujeruhi bure?
 
Dogo muda wowote unaingizwa kwenye Toyota wish kwenda kunyonya mboro na mikundu za washikaji
 

...Man ulianza kumuita pisi kali na stor tamu tamu.. navyoelewa hapo ni mlianza kunyegeshana na bla bla zote.. halafu jamaa akaipata chat yenu..na ukampangua mbaya pamoja na chati zenu zote mlizokuw mnanyegeshana.. Mpaka huyo jamaa akawa anakuita shemeji.. ?? Mamakeee huyo jamaa ndo yule wanamuitaga Zoba pro max mkuu? Au ni kazi ya mganga wako?
 
KY haiuzwi ghali sana, nnakushauri tembea nayo kwa lolote ujiteteee
 
Hapana kuna namna za kupangua kali sana maana unaweza muulia ndoa et.
 
Sikuzote ukweli humuweka mtu huru! Mkome kukurupuka na kuvamia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…