Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

Mi cdhani mpenzi wako kuchukua hiko ki 5000 kwamba ana njaa. Wacha mkono wa birika.
 
ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
hii kali,au ni wewe nini?unajua hicho chumba,kitanda,godoro nk kalipia nani?unajua shughuli ninazofanya na kipato changu?hiyn buku 5 kwangu ni milioni!inaniuma!c angeniomba?umeniboa,kama maisha yako yako juu pita huko
 
Hahhhhahhhhahhhahhha aiseee si uwe unampa pesa ya kutumiaaa hahhhhahha aiseee
 
Huyu sio demu ni malaaya maana ndio huwa wanatabia ya kusachi
 
Mkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.

Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...


tanzania-2011-500.jpg

TZ44.JPG
TZ41.JPG
TZ43.JPG
TZ42.JPG

hahahahaha jirani wanaume wenzio unawapa kiroho safiiiii ila sisi unatuita wachunaji
aiseeee
 
ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi

Yani nilikuwa nimenuna toka mchana, dah nimetabasamu bila kupenda...kuzaba kofi
 
Huyu sio demu ni malaaya maana ndio huwa wanatabia ya kusachi
mkuu imeniuma sana ukizingatia nilimkuta kwenye mazingira magumu na nimemfikisha hapa alipo!ishu zangu mwenyewe za kuungaunga najibana ili yeye ale halafu anafanya hivi?bora peke yangu
 
No, mnaomponda huyu kijana mnakosea. Mwizi ni mwizi tu, hamuwezi jua makibaliano yao, hela ya mwanaume ni ya mwanaume na vivyo hivyo the other side.

Akija muulize vizuri akirudishie hela yako, haiwezekani aibe hivi hivi hata ingekuwa 500 si yako
 
Back
Top Bottom