Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.

Labda kaichukua afu kaenda kununulia vitafunwa
 
Mhh mjin mipango mkaka,hyo ndo ilikua hela ya kulipia chumba,kwani ungekodi guest ungelala buree!?
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.
Huyo sio demu wako bali ni changudoa wako. Na hakuiba bali alijilipa ujira wake baada ya wewe kumtumia usiku mzima bila hata malipo. Sasa unataka vya bure tu mpaka lini wewe kongoni wa madoa doa?
 
Mbali ya yote udokozi siyo tabia nzuri kwa msichana/mvulana mwanamke/mwanaume. Lakini kwa jinsia ya kike akiwa mdokozi kwa kweli nashindwa kuelewa, omba upewe ewe mtoto wa kike

Unajuaje kama aliomba akanyimwa?
 
Unashindwa kumuuliza huyo demu wako unakuja kutulalamikia senti mbili hapa,
 
huu uzi nimeupenda hauchoshi hata kusoma jinsi mtoa mada anavyo lalamika na buku tano yako, ila unamdhalilisha mpenzi wako, aibe buku tano kweli, pengine umepoteza au umesahau ulipoweka halafu unamsingizia mpenzi wako eti kakuibia
 
Back
Top Bottom