Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"


Nakaribia kutoa tamko thabiti juu ya mustakabali wa hiyo unayoiita ndoa yenu
 
Last edited by a moderator:
Aisifue mvua imemnyea Judgement! Hayo ya kamati za uchawi wayajua tangu lini mkuu??

Mkuu Arushaone kama unadhani ulipokua unatafuta Mayai ya Bundi kwa gharama yeyote ya kutumaliza mimi na my lav YNNAH ni siri, basi unajidanganya!
Habari zako zote tunazo.
Ukiwa kwa mtaalamu ukiomba eti "Mtungi wangu usiweze kupanda Jogoo!"
Umebainika wewe na Joseph Ludovick wako aliekusindikiza Handeni.
Na ukizidi ntaianika clip kwa Yu-tyupu, ukiwa unafukia vitu usiku nje ya nyumba yangu.
 
Last edited by a moderator:
Kweli umepinda ndugu umejimilikisha jumla jumla kiulaiini mwenyewe salama kaka???

Anacheza kweli yaani..., yeye akiona vyaelea anadhani ni mitumbwi....., itakula kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…