Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
Hivi uhusiano wako na Ruttashobolwa bado una mashiko au nitupe ndoano?
Mimi mzima mkuu ila nimeamua kuanzia sasa sitotafuta tena mke, mpaka mke atakaponitafuta mwenyewe!!!
weeeee!!wala usijaribu
mimi na loya mpaka kifo kitutenganishe!!
Shemejiiiii !
Hee!
Wacha urongo madhee! Afu wewe...!
My wife Evelyn Salt ki ukweli nimepapenda hapa malaika beach ningeweza kulala hapa hapa ila nakuomba niende nikamalizie usiku kwa mwenzio Lady doctor plz acha ku six six(sita sita) kama vp saa ten and two (kumi na mbili) nitarudi.
niliongea kwa niaba yako
ili kabibi katishike coz ulipotea ghafla!!
Mmmghh mzee wa penda penda ulikuwa wapi aise sijakuona toka morning banaDuh nilikuwa wapi aisee
Hahahahaaa nilinwambia Mamndenyi ni HAWARA tu akabisha....sasa ona umeachika lol
Una bahati ila mbaya.
Dadadadeeeki rudi kwa Vin Diesel au Arushaone
Chocs mpenzi wangu unipitie asubuhi eeh leo nalala kwa Kipipi anahitaji pumziko langu.
Love you
Mamndenyi nafukuzia mimi nimemtuma manoah msela wangu akaniitie.Mmmghh mzee wa penda penda ulikuwa wapi aise sijakuona toka morning bana
Siredi imepaaa mpaka page ya kumi na moja hujaonekana
Duh nakuona mara Kipipi mara Chocs dah na Mamndenyi yuko hapa single unaweza kujitokeza kumpata
Vin Diesel kaishia wapi aise simuoni siku hizi
Arushaone huyo hapob@mamndenyi yuko single now unaweza kurudi kabla Bishanga hajaamka
halafu weee.......! Chagua moja....! Mbilimbili me sipendi ujue...... La sivyo nitajimuvuzisha fasta
Mmmghh mzee wa penda penda ulikuwa wapi aise sijakuona toka morning bana
Siredi imepaaa mpaka page ya kumi na moja hujaonekana
Duh nakuona mara Kipipi mara Chocs dah na Mamndenyi yuko hapa single unaweza kujitokeza kumpata
Vin Diesel kaishia wapi aise simuoni siku hizi
Arushaone huyo hapob@mamndenyi yuko single now unaweza kurudi kabla Bishanga hajaamka
Dah jana nilikuwa nimebanwa nikashindwa kulogin aisee nashangaa nimepitwa na uhondo wa talaka the Vin Diesel atakuwa kahamia jukwaa la Evelyn Salt kuleeeee
Hello my little one...daddy na mummy twakukumbuka pia mpendwa, waendeleaje lakini?Lovely dady..... Daughter missed you a lot