Dena Amsi na Mr Rocky

Mr Rocky wakati mna maugomvi yenu kutwa kucha kunikosesha usingizi kwa mashtaka, leo mmepatana hata karibu ya soda hamna!! Msije tena siku nyingine lolNawatakia kila la kheri.... na mkome kusikiza maneno ya watu...................

MwanajamiiOne subiri kwanza tunakumbikia ya mua kidogo halafu tutawakaribisha soda ila siwezi kukusahau bana we ni wa muhimu sana
 
Last edited by a moderator:

Bishanga najua wewe ni sitaki nataka na bado unamtaka Mamndenyi sema tuu tumwambie arudi maana alikuwa nyota yako bila yeye hela hupati
Slave na Lady doctor nini kinaendelea na huyo manoah na vipi ndoa yako na Evelyn Salt ndo iko icu au
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

chagua mwenye hela kushinda wengine
ila hako kavuta bangi achana nako usijetolewa
meno ya subuleni bure,kucheka kwako iwe adhabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…