Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Unaacha nafasi ya mpaka Lady doctor kubembelezwa na Arushaone aise onyesha matendo yako hapa
Dah na wewe jipigie debe jibu tuhuma na pambana hapa maana naona Arushaone anamuita chemba aise kaka mkubwa Vin Diesel
Mhhhhh huu mkutano una mambo mazuri kweli huu sio kumzunguka Vin Diesel kweli
Tena unaenda kukutana na Arushaone king mswati
machale ya nini tena huniamini?
Dah na wewe jipigie debe jibu tuhuma na pambana hapa maana naona Arushaone anamuita chemba aise kaka mkubwa Vin Diesel
Unaacha nafasi ya mpaka Lady doctor kubembelezwa na Arushaone aise onyesha matendo yako hapa
watu8 kupenda na kupendwa raha mbaya mkuu yaani wacha tuu hapa nimerudi nyumbani
tatizo lako wewe ni king mswati waweza niacha solemba
Mh umejuaje Mr Rocky na Vin Diesel ni napacha?
hivi ni mapacha kweli? Mi nilikuwa ninahisi tu bt sikuwa na uhakika
Arushaone kweli asili haachi asili yake
Nilijua mtaji wako ndo umeishia pale kumbe ilikuwa ni kasehem tuu ka mtaji wa biashara
Komaa bana urudishe mtaji uliopotea
Lady doctor usimsikilize huyu Arushaone king mswati wa chit chat atakupoteza anao wengi kama wale nyumbu wa serengeti akiacha leo kesho ana kifaa kipya mkubali tuu ndugu yangu Vin Diesel ambye yuko single na ametulia sana na ana mshiko wa haja
Jiwe Linaloishi hebu pitia piti humu utaona majibu ya Dena Amsi my wife wngu aise
Arushaone kwani nimemsema nini huyo mkeo mtarajiwa Mamndenyi maana unamtetea kama vile amekuteua kuwa msemaji wake
Mr Rocky ni ndugu yangu siwezi kumkana.......Mh umejuaje Mr Rocky na Vin Diesel ni napacha?
Haujiamini kumbe. Nilikusihi toa huu uzi lakini ukaamua kutimiza mapenzi ya upande mmoja. Usipoangalia utakukosti.