Dena Amsi na Mr Rocky

Last edited by a moderator:

sweetlady maaamuzi mazuri sana hayo
Nawatakia mazungumzo mema na nia yenu ikapate kufanikiwa
Hapo unashahili hongera sana maana ulikoenda kwa Nicas Mtei sharobaeo yule hakuna la maana bora urudi tuu nyumbani kwa nitonye
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
unaona eeeh


Nimeona dear..... Ndio ujue kuwa mume wa mtu ni sumu lol.... Mimi pia nawachora tu wanaomkodolea mijicho nitonye......siku wakisikia tumerudiana sijui wataweka wapi nyuso zao..... Wamesahau kuwa mke na mume huwa hawaachani teh
 
Last edited by a moderator:
kwani watake kule na huku pia?
Nimeona dear..... Ndio ujue kuwa mume wa mtu ni sumu lol.... Mimi pia nawachora tu wanaomkodolea mijicho nitonye......siku wakisikia tumerudiana sijui wataweka wapi nyuso zao..... Wamesahau kuwa mke na mume huwa hawaachani teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…