Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
UONGO,Baada ya kushtukia hilo, Gadaffi alisema mafuta ni madini, yatauzwa kwa wateja wao, hususan Marekani kwa kubadilishana na madini kama dhahabu. Baada ya beberu kuu kuona hilo, akaona kiama chake kimefika. Akaona bora amuwaishe huyo mwamba Gadaffi.
Hakuna nchi inaweza kukubali kurudi kwenye barter trade karne hii.