DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Mashamba yalinunuliwa hapa Bagamoyo...hio ni hasara.
SGR itakamilika mwaka Upi??[emoji23]
Hasara kivipi mbona unaropoka km umekalia moto???
Tarehe ya phase 1 A ni November mwaka huu we ngojea ikamilike ndio uongee.
 
Role model
ooooo.PNG
 
Halafu naongea na bwege asiyejua yeyote.
Unazijua records za greatest range rifles zilizofanyika miaka ya nyuma??
British Corporal Craig Harrison alifyatua mtu kichwa kwa umbali wa 2.7 kilometers we unaniambia kuhusu 1.5 kilometers fala ww.
Rifle zako uchwara za KDF unazifananisha na za Wengine????
Kasome kwanza ndio urudi.
Na sniper alovunja record ya huyo mbritish ni Canadian soldier akifyatua kwa range ya 3.5 kilometers.
We unaniambia kuhusu 1.5 kilometers ndio maximum range ya rifle.
So mwanajeshi wa Tz aliangushwa na risasi iliyopigwa umbali wa kilomita 10???

Wapi nimesema 1.5km?? Nimesema 1.6 miles ambayo ukifanya conversation inakuja 3.5 kilometers. Sasa Nani ndio bwege???
 
Unachekesha ww.
Nani aliyeongoza brigade ya Congo???
Kama unajiweza Mbona hukuwanyamazisha Alshababs wameingia mpk westgate???
Kuna majeshi ya Uganda huko Somalia pia usinigeuze mtoto.
Huko Comoros na Congo licha ya kuwepo majeshi mengine brigade iliongozwa na TPDF.
Kaa ulijue hilo.
TPDF Ndio walikua frontlinier.
Na uliza AFD wanavyofyekwa huko sasa hivi.
Ndio maana wakawataka TPDF maawanaelewa how strong we are.
Hata alkaeda, isis huingia miji kama ya London, New York Paris na kadhalika.
 
Hata Bagamoyo niliambiwa ningoje ikamilike.
Bagamoyo imesitishwa kwasababu.
Asa ww unalialia nn??
Si ndio ww uliyenena tukijenga hata centimetre 1 tukutag??
Tumeshajenga sasa zaid ya 50 kilometers .
We subir November ndio uongee.
Bagamoyo Nadhan ushaelezewa chanzo cha kusitishwa kwake.
 
Hata alkaeda, isis huingia miji kama ya London, New York Paris na kadhalika.
Hao Alqaeds,ISIS ni makundi ya USA hayo anayatumia for geopolitical reasons.
Na wapo had majasusi wa CIA wakitoa mafunzo usiwachukulie poa.
 
So mwanajeshi wa Tz aliangushwa na risasi iliyopigwa umbali wa kilomita 10???

Wapi nimesema 1.5km?? Nimesema 1.6 miles ambayo ukifanya conversation inakuja 3.5 kilometers. Sasa Nani ndio bwege???
Sawa hiyo 3.5 kilometers ishavunjwa records zao na Masniper wa Delta Force mzee.
Silaha daily zinakuwa advanced kuna rifle bro pengine hukuwahi kuziona.
Kwa mujibu wa report za jeshi hao wenyewe walipima lile tukio na kusema kuwa ile risas ilitoka range ya umbali huo.
Na siwez kuwakatalia ilhali kulikua na majeshi ya UN pia ya mataifa mengine.
Na alouliwa ni miongoni mwa mageneral wa jeshi letu.
Na wao ndio wamepima na kuleta conclusion hiyo.
Sijaropoka tu kwa matakwa yangu.
 
Bagamoyo imesitishwa kwasababu.
Asa ww unalialia nn??
Si ndio ww uliyenena tukijenga hata centimetre 1 tukutag??
Tumeshajenga sasa zaid ya 50 kilometers .
We subir November ndio uongee.
Bagamoyo Nadhan ushaelezewa chanzo cha kusitishwa kwake.
Lazima vijisababu dhidi ya BWAGAMOYO ila ukweli no kuwa fedha zilikosekana.
 
Hao Alqaeds,ISIS ni makundi ya USA hayo anayatumia for geopolitical reasons.
Na wapo had majasusi wa CIA wakitoa mafunzo usiwachukulie poa.
Vile vile alshababe.
Sawa hiyo 3.5 kilometers ishavunjwa records zao na Masniper wa Delta Force mzee.
Silaha daily zinakuwa advanced kuna rifle bro pengine hukuwahi kuziona.
Kwa mujibu wa report za jeshi hao wenyewe walipima lile tukio na kusema kuwa ile risas ilitoka range ya umbali huo.
Na siwez kuwakatalia ilhali kulikua na majeshi ya UN pia ya mataifa mengine.
Na alouliwa ni miongoni mwa mageneral wa jeshi letu.
Na wao ndio wamepima na kuleta conclusion hiyo.
Sijaropoka tu kwa matakwa yangu.
Sasa unataka maanisha wanamgambo wa DRC Wana weapons advanced Sana Hadi wakawaangusha majeshi kwa kutumia sniper rifles zenye uwezo wa km10?
 
Vile vile alshababe.

Sasa unataka maanisha wanamgambo wa DRC Wana weapons advanced Sana Hadi wakawaangusha majeshi kwa kutumia sniper rifles zenye uwezo wa km10?
Bro hilo swali ungewauliza wanajeshi wa UN waloenda kuungana na JWTZ kutoa msaada Congo.
Maana sio huyo tu alouliwa na rifle wapo wengine ila shooting range ni tofauti.
Mkuu hao Alshabab wavaa ndala wana nn???!!!
Kama sio nyie kutokuwa makini???
 
Lazima vijisababu dhidi ya BWAGAMOYO ila ukweli no kuwa fedha zilikosekana.
Duuuh huu uongo unautoa wapi??
China ilitaka ku finance mkopo wa ule mradi
Lakin mkopo ulikua nyonyez wakitaka waendeshe bandari miaka kadhaa ndio waikabidhi kwetu.
Hiko kitu mjomba Magu kakikataa.
 
Bro hilo swali ungewauliza wanajeshi wa UN waloenda kuungana na JWTZ kutoa msaada Congo.
Maana sio huyo tu alouliwa na rifle wapo wengine ila shooting range ni tofauti.
Mkuu hao Alshabab wavaa ndala wana nn???!!!
Kama sio nyie kutokuwa makini???
Ingekuwa alshababe wapo Tz wangekuwa washa overrun Nchi nzima.
 
Duuuh huu uongo unautoa wapi??
China ilitaka ku finance mkopo wa ule mradi
Lakin mkopo ulikua nyonyez wakitaka waendeshe bandari miaka kadhaa ndio waikabidhi kwetu.
Hiko kitu mjomba Magu kakikataa.
Propaganda za walioshindwa kuyafikia matunda tunawajua, wanasema kuwa ni mabichi.
 
Propaganda za walioshindwa kuyafikia matunda tunawajua, wanasema kuwa ni mabichi.
Aya bro nadhan Umeona kinachowatokea Wakenya mradi wenu kuendeshwa na China kwa muda wa miaka 10.
Yani namaliza masomo yangu ya kuwa specialist of orthopedic ndio nyie mnarudishiwa mrad wenu wa sgr na China.
 
Aya bro nadhan Umeona kinachowatokea Wakenya mradi wenu kuendeshwa na China kwa muda wa miaka 10.
Yani namaliza masomo yangu ya kuwa specialist of orthopedic ndio nyie mnarudishiwa mrad wenu wa sgr na China.
Just imagine! Halafu ukiangalia faida yake ni miji ya Nairobi na Mombasa kukuua kiuchumi Tena kwa haraka na bila kusahau towns zilizokuwa hivi hivi kubadilika na kuwa kubwa bila kusahau ajira ya uchuuzi, usafiri na mengine mengi yatokanayo na SGR.
 
Tatizo unaangalia kila media ya Tz na kuamin kilanunachoskia ..kwanza Deni letu halikuwa $16bn lilikuwa $19bn hyo 2017 mwishon...
DMDP 300mil usd loan
New Selender bridge 80% loan almost 120mil usd
Brt phase 2 loan 80% 160mil usd
Dar Port expansion 300mil usd loan
Ubungo Flyover 99mil usd loan
Hapo almost 1bil usd Loan zote hapo

Kuna project ni hela za ndani mfano phase 1 sgr Dar-Moro ni internal funds 1.2bn usd 100%

Kimara -Kibaha Highway ni internal funds
Buying new planes for ATC ni Goverment funds
New 67 district Hospitals ni goverment funds
Mtwara port expnasion 250mil usd ni govermnt funds

Moro-Singida 1.9bil usd 1.2bil usd ni loan ...700mil USD ni internal funds

Kwahzo project za juu hapo loans zinafika almost USD 2 bn ..hamna aliyebisha hatuchukui loans ..ila project nyingne nying ni funds za ndan..ushawai skia mtu anasema BRT au port expnasion ya Dar ni fedha za ndan?? ...
January 2017 (if I rem correctly) Tanzania ilipokea loan ya $67m, alafu mda kidogo mkapokea ndege mn
bili za Q400 ambazo Bei yake hua ni $32m per plane....
Ni nini kinanizulia kusema kwamba hio loan ilikua ni hela za kununua ndege?mbali na maneno ya JPM kwama no 'hela zenu' hakuna ushahidi wowote !!!!
Baadhi ya hizo project umetaja ni PPP project na wala sio loan kwahivyo haziwezi kuhesabiwa na serekali kama loan, kampuni iliojenga ndo itadaiwa na si serekali.
 
Back
Top Bottom