DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Your external debt is not $24.9B as you mentioned above. According to CBK it's KSh 2,721.60B which is roughly equal to $27B+.


CC:
Deni lenu ni $27bn....au mmpenunguza $3bn in months ?
View attachment 1164325






Mimi ndo nilitumia external debt ya 2018 manake hio ndo nilikua nakumbuka offhead manake nishawahi kuongelea hili jambo miezi kadhaa iliopita..
1564228449815.png



Wakati huo huo wa March, 2018, external Privat sector debt ilikua approximately $5.9B

Kumaanisha wakati huo, deni la nje la serekali lilikua 24.9 - 5.9 = $19B



Sasa vile umeonyesha kwamba Most recent CBK data ya 2019 inaonyesha imefika $27 hata tukibakisha hio Private sector debt hapokaribu na $6B ......
$27B - $6B = $21B


Tukichukua deni la serekali Tz ikiwa $16B vs $21B Kenya .... Bado hii tofaiti si kubwa ukilinganisha na tofauti ya GDP zetu, au tofauti ya internal revenue collections na vile Kenya inajulikana kwa kuchukua mikopo mingi..... Hio tofauti ya $5B tunaeza tukaiona kwa mkopo wa kujenga KM 600 za SGR kutoka Mombasa mpaka Naivasha... Lakini ukiangalia bado tuna mikopo mingi sana tumechukua e.g zaidi ya $500m kupanua bandari, $400m Kujenga mabarabara, $490m kujenga bomba jipya la mafuta ya petroli kutoka msa hadi Nrb... $2B Euroboand loan ya miradi tofauti tofauti... etc Sasa huko Tz miradi yenu kama 300km SGR na ma barabara na stima mnasema mnajenga na hela zenu, hii $16B deni la nje la serekali inaenda wapi ilhali kila mradi mkubwa mnajenga na hela zenu za ndani????
 
Mbona kila wakati tunaambiwa kwamba mapato ya taifa linaongezeka?, mbona zito akiongea haya anapingwa na kuonekana anafanya siasa? Je hawa wb ni chama gn hapa Tz ?' afu ni vzr hbr hz ziwe zinatoka live pale magogoni.
Hao ni mabeberu. Wanatumika na kina Lissu, Mbowe na Zitto
 
CC:







Mimi ndo nilitumia external debt ya 2018 manake hio ndo nilikua nakumbuka offhead manake nishawahi kuongelea hili jambo miezi kadhaa iliopita..
View attachment 1164503


Wakati huo huo wa March, 2018, external Privat sector debt ilikua approximately $5.9B

Kumaanisha wakati huo, deni la nje la serekali lilikua 24.9 - 5.9 = $19B



Sasa vile umeonyesha kwamba Most recent CBK data ya 2019 inaonyesha imefika $27 hata tukibakisha hio Private sector debt hapokaribu na $6B ......
$27B - $6B = $21B


Tukichukua deni la serekali Tz ikiwa $16B vs $21B Kenya .... Bado hii tofaiti si kubwa ukilinganisha na tofauti ya GDP zetu, au tofauti ya internal revenue collections na vile Kenya inajulikana kwa kuchukua mikopo mingi..... Hio tofauti ya $5B tunaeza tukaiona kwa mkopo wa kujenga KM 600 za SGR kutoka Mombasa mpaka Naivasha... Lakini ukiangalia bado tuna mikopo mingi sana tumechukua e.g zaidi ya $500m kupanua bandari, $400m Kujenga mabarabara, $490m kujenga bomba jipya la mafuta ya petroli kutoka msa hadi Nrb... $2B Euroboand loan ya miradi tofauti tofauti... etc Sasa huko Tz miradi yenu kama 300km SGR na ma barabara na stima mnasema mnajenga na hela zenu, hii $16B deni la nje la serekali inaenda wapi ilhali kila mradi mkubwa mnajenga na hela zenu za ndani????
Tatizo unaangalia kila media ya Tz na kuamin kilanunachoskia ..kwanza Deni letu halikuwa $16bn lilikuwa $19bn hyo 2017 mwishon...
DMDP 300mil usd loan
New Selender bridge 80% loan almost 120mil usd
Brt phase 2 loan 80% 160mil usd
Dar Port expansion 300mil usd loan
Ubungo Flyover 99mil usd loan
Hapo almost 1bil usd Loan zote hapo

Kuna project ni hela za ndani mfano phase 1 sgr Dar-Moro ni internal funds 1.2bn usd 100%

Kimara -Kibaha Highway ni internal funds
Buying new planes for ATC ni Goverment funds
New 67 district Hospitals ni goverment funds
Mtwara port expnasion 250mil usd ni govermnt funds

Moro-Singida 1.9bil usd 1.2bil usd ni loan ...700mil USD ni internal funds

Kwahzo project za juu hapo loans zinafika almost USD 2 bn ..hamna aliyebisha hatuchukui loans ..ila project nyingne nying ni funds za ndan..ushawai skia mtu anasema BRT au port expnasion ya Dar ni fedha za ndan?? ...
 
CC:







Mimi ndo nilitumia external debt ya 2018 manake hio ndo nilikua nakumbuka offhead manake nishawahi kuongelea hili jambo miezi kadhaa iliopita..
View attachment 1164503


Wakati huo huo wa March, 2018, external Privat sector debt ilikua approximately $5.9B

Kumaanisha wakati huo, deni la nje la serekali lilikua 24.9 - 5.9 = $19B



Sasa vile umeonyesha kwamba Most recent CBK data ya 2019 inaonyesha imefika $27 hata tukibakisha hio Private sector debt hapokaribu na $6B ......
$27B - $6B = $21B


Tukichukua deni la serekali Tz ikiwa $16B vs $21B Kenya .... Bado hii tofaiti si kubwa ukilinganisha na tofauti ya GDP zetu, au tofauti ya internal revenue collections na vile Kenya inajulikana kwa kuchukua mikopo mingi..... Hio tofauti ya $5B tunaeza tukaiona kwa mkopo wa kujenga KM 600 za SGR kutoka Mombasa mpaka Naivasha... Lakini ukiangalia bado tuna mikopo mingi sana tumechukua e.g zaidi ya $500m kupanua bandari, $400m Kujenga mabarabara, $490m kujenga bomba jipya la mafuta ya petroli kutoka msa hadi Nrb... $2B Euroboand loan ya miradi tofauti tofauti... etc Sasa huko Tz miradi yenu kama 300km SGR na ma barabara na stima mnasema mnajenga na hela zenu, hii $16B deni la nje la serekali inaenda wapi ilhali kila mradi mkubwa mnajenga na hela zenu za ndani????

CC:







Mimi ndo nilitumia external debt ya 2018 manake hio ndo nilikua nakumbuka offhead manake nishawahi kuongelea hili jambo miezi kadhaa iliopita..
View attachment 1164503


Wakati huo huo wa March, 2018, external Privat sector debt ilikua approximately $5.9B

Kumaanisha wakati huo, deni la nje la serekali lilikua 24.9 - 5.9 = $19B



Sasa vile umeonyesha kwamba Most recent CBK data ya 2019 inaonyesha imefika $27 hata tukibakisha hio Private sector debt hapokaribu na $6B ......
$27B - $6B = $21B


Tukichukua deni la serekali Tz ikiwa $16B vs $21B Kenya .... Bado hii tofaiti si kubwa ukilinganisha na tofauti ya GDP zetu, au tofauti ya internal revenue collections na vile Kenya inajulikana kwa kuchukua mikopo mingi..... Hio tofauti ya $5B tunaeza tukaiona kwa mkopo wa kujenga KM 600 za SGR kutoka Mombasa mpaka Naivasha... Lakini ukiangalia bado tuna mikopo mingi sana tumechukua e.g zaidi ya $500m kupanua bandari, $400m Kujenga mabarabara, $490m kujenga bomba jipya la mafuta ya petroli kutoka msa hadi Nrb... $2B Euroboand loan ya miradi tofauti tofauti... etc Sasa huko Tz miradi yenu kama 300km SGR na ma barabara na stima mnasema mnajenga na hela zenu, hii $16B deni la nje la serekali inaenda wapi ilhali kila mradi mkubwa mnajenga na hela zenu za ndani????

Kuna miradi mingi mikubwa inayoendelea Tanzania ambayo huwa hatuleti humu mara kwa mara. Mfano ni Dar es Slaam Port expansion, New Selander Bridge, BRT Phase 2 and 3, Ubungo interchange, Kinyerezi 2 Power Plant, Dar es Salaam Metropolitan Development Project n.k









 
Watanzania huwa mnatusema sana kuhusu madeni, nyie mnajisifia kufanya kila kitu kwa pesa zenu za ndani, sasa inakuaje Benki kuu inawasema na kuwatahadharisha.
Bora sisi tuna mikopo lakini tupo kwenye uchumi wa kati, lakini ujilimbikize mikopo na bado unatajwa kwenye mataifa maskini, ni hatari sana..
-------------------------

Licha ya Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo inayotarajia kuboresha masisha ya wananchi, Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali.
Hahaha , pesa zetu za ndani sasa zimeshakuwa madeni ya trillioni na trillioni . Tanzania mjue kwamba the truth will always come out to bite you.At least Kenya hatujifanyi saa yote ati "ni pesa yetu ya ndani"
 
Ahahhahhaahhaah aseee.
Hata Iran yupo ranked wa 11 among elite forces lakin kawazidi mabeberu kwa uwezo wa kivita.
China ranked no.3 lakini ana vinu vya ballistic ambavyo vingine vya siri US hajui na haviwez.
Uwezo wa kijeshi ni kwa action sio statistics tu.
India imekuwa ranked ya nne ila kijeshi inaburutwa na Pakistan ya 20 huko.
Kipimo cha jeshi ni uwezo wa kivita na ushindaji wa. Vita sio statistics tu za kipuuzi.
JWTZ kuna list moja ya most elite forces top 30 JWTZ Iliwekwa ya 25 na sikuona jeshi la taifa lingine la Africa isipokuwa JWTZ tu.
Na waliweka kipimo cha uwezo wa ushindaji vita.
Kdf mmeshinda mission ipi km sio kuiba mikate tu Westgate ??
Hebu weka hio list ya elite forces top 30 nikucheke.
 
Kuna miradi mingi mikubwa inayoendelea Tanzania ambayo huwa hatuleti humu mara kwa mara. Mfano ni Dar es Slaam Port expansion, New Selander Bridge, BRT Phase 2 and 3, Ubungo interchange, Kinyerezi 2 Power Plant, Dar es Salaam Metropolitan Development Project n.k










Hizo zote zimeletwa hapa Ila nyingi ni very slow work in progress, propaganda, renders na white elephants.
 
Hizo zote zimeletwa hapa Ila nyingi ni very slow work in progress, propaganda, renders na white elephants.
Leta ushahidi kuwa ni white elephants km sgr yenu.
Au unaongea tu kiuhemko ??
 
Hivi jumuia ya Africa Mashariki haiwezi kutengeneza vicoba/kisacos chao af wakawa nanakopeshana wenyewe kwa wenyewe, af wanajilipa marejesho?
 
Hebu weka hio list ya elite forces top 30 nikucheke.
These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.
1. US Navy SEAL
2. British SAS
3. Huntsmen Corps : Danish Special Forces
4. French Special Forces
5. Shayetet 13 (Israeli Special Forces)
6. Irish army rangers
7. Australian SASR
8. MARSOC
9. Canadian counter terrorist group JTF2
10. Russian Special Forces: Spetsnaz
11. Dutch Special Forces
12. SBS
13. Delta Force
14. Belgian Special Forces Group
15. Norwegion MJK
16. Canadian Joint Incident Response Unit (Nuclear, biological and chemical warfare defence)
17. Marinejegerkommandoen – Norwegian Navy Special Forces
18. French Commando Marine
19. Norwegian Armed Forces’ Special Command
20. New Zealand Special Forces
21. US Army Special Forces Sniper with Remington Modular Sniper Rifle
22. Polish GROM
23. U.S. Special Forces
24. Indonesian Special Forces.
25. Romanian Special Forces
26. Serbian Gendarmerie
27. Tanzanian Special Forces In Congo.
28. German KSK (Army / Special Forces)
29. German Army Special Forces the KSK
30. ROC (Taiwan) Special Forces
 
These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.
1. US Navy SEAL
2. British SAS
3. Huntsmen Corps : Danish Special Forces
4. French Special Forces
5. Shayetet 13 (Israeli Special Forces)
6. Irish army rangers
7. Australian SASR
8. MARSOC
9. Canadian counter terrorist group JTF2
10. Russian Special Forces: Spetsnaz
11. Dutch Special Forces
12. SBS
13. Delta Force
14. Belgian Special Forces Group
15. Norwegion MJK
16. Canadian Joint Incident Response Unit (Nuclear, biological and chemical warfare defence)
17. Marinejegerkommandoen – Norwegian Navy Special Forces
18. French Commando Marine
19. Norwegian Armed Forces’ Special Command
20. New Zealand Special Forces
21. US Army Special Forces Sniper with Remington Modular Sniper Rifle
22. Polish GROM
23. U.S. Special Forces
24. Indonesian Special Forces.
25. Romanian Special Forces
26. Serbian Gendarmerie
27. Tanzanian Special Forces In Congo.
28. German KSK (Army / Special Forces)
29. German Army Special Forces the KSK
30. ROC (Taiwan) Special Forces
The same ones that were annihilated by machete wielding child soldiers?
 
Inategemea unakopa kufanya nini?
Kama ni kujenga reli,mabwawa ya umeme,vituo vya afya etc haina mbaya na kuwa na matumizi sahihi fine
 
Back
Top Bottom