DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Siku Disney Park ya kwanza inafunguliwa the brain behind it Walter Disney kwa bahati mbaya alifariki siku chache kabla.

Kwenye sherehe ya uzinduzi kaka wa marehemu Roy aliulizwa na waandishi it’s a shame Walter is not here to witness this beautiful park. Jibu lake lilikuwa hapana mimi na nyie leo ndio tunaona uzuri wa hii park, lakini Walter huu uzuri alishauona kichwani kwake kabla hata ya tofali moja kujengwa ndio maana tuko hapa asingeona hilo hii theme park isingekuwepo hapa.

Infrastructure projects sijui unaanzia wapi unamalizia wapi to give you a perspective ni watu waliojenga railway ndio waliofanya US ipae kiuchumi, ni watu waliojenga canals ndio waliofanya industrialisation iwezekane Europe yaani infrastructure ndio backbone ya uchumi.

Huko mbeleni watu wakianza kutumia SGR
na kupata umeme wakiambiwa nani alifanya hayo ndio watamshukuru Magu, kwa ivyo ni bora kwasasa ajenge tu mi sioni sababu ya yeye kuelezea linapokuja swala ya miundombinu ni kujenga tu.
Hizo porojo za kujifariji tu kama kitu kinafaida miaka mingi ijayo leo cha nini?
Unatakiwa uangalie the best alternative ndio maana huwa nasema kila siku somo la uchumi linatakiwa kuwa basic subject kuanzia o level hadi university kwa kozi zote at least watu wapewe basics of economics otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali maana best alternative ingeleta tija zaidi kuliko mradi huo wa kuusubilia huku pesa ya maintanance na kujiendesha ikiwa ruzuku.
Kwangu mimi niliyesoma uchumi hapo hamna kitu cha maana kimefanyika na ningekuwa wazuri wa fedha ningejiuzulu endapo rais angekomalia anavyotaka na hafuati ushauri wa kitaalamu
 
Mabeberu hao …..kwi kwi kwiiiiii...chiiiiiiii
 
Try to hide your stupidity sometimes.
Tabu ya njaa ya familia moja usilinganishe na ukanda mzima.
Turkana nzima is known for hunger and famine while Tanzania some families are facing hunger.
Can you measure the difference over there??
And in Tanzania there is only hunger (in need of food) but no famine (extremely shortage of food ) while Kenya there is in need of food (hunger) and extremely shortage of food (famine ).
Can you see some difference over there??
Hahaha....Just read through what you havw written again halafu utingize kichwa,then pinch your ears
 
Hahaha....Just read through what you havw written again halafu utingize kichwa,then pinch your ears
HATA kuandika hujui kajifunze uandishi ndiyo urejee hapa.
Utingize=utingishe au utikise
havw=have
 
Watuambie na deni la marekani kwa uwiano ya idadi ya watu, ikikinganishwa na Tanzania ni ngapi, yaani Trillion 47 gawanya kwa watz miliini 55+ unapata ngapi, na kwa marekani nayo wapige hiyo hesabu ya deni gawanya kwa idadi ya watu, tuone kati ya mtz mmoja na mmarekani mmoja nani ana deni lisilohimilika. Mabeberu yanatesekana sana na Rufiji hydro power dam
 
Hizo porojo za kujifariji tu kama kitu kinafaida miaka mingi ijayo leo cha nini?
Unatakiwa uangalie the best alternative ndio maana huwa nasema kila siku somo la uchumi linatakiwa kuwa basic subject kuanzia o level hadi university kwa kozi zote at least watu wapewe basics of economics otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali maana best alternative ingeleta tija zaidi kuliko mradi huo wa kuusubilia huku pesa ya maintanance na kujiendesha ikiwa ruzuku.
Kwangu mimi niliyesoma uchumi hapo hamna kitu cha maana kimefanyika na ningekuwa wazuri wa fedha ningejiuzulu endapo rais angekomalia anavyotaka na hafuati ushauri wa kitaalamu
Ndugu hii sio conundrum ya kuku na yai ni kipi kimetangulia it’s straight forward uwezi kuvutia uwekezaji wa viwanda kama auna umeme, access ya primary resources za viwandani, easy network ya kusafirisha bidhaa in and out kufikia masoko ya ndani na nje, kuwekeza kwenye miundombinu kama reli yenye kuwawezesha wafanyabiashara kuokoa gharama through economies of scale na kufanya bidhaa zako kuwa na prices ambazo zinawapa competitive edge sokoni.

I can go and on kuhusu umuhimu wa infrastructure kwenye uchumi isitoshe achilia huko tu impact zake zingine muhimu zipo kwenye social geography na jinsi zinavyo badilisha dynamics za demography za sehemu mbali mbali kwa namna nyingi mno.

Sasa wewe unataka serikari iwekeze kwenye cost centres kama jela ambazo asilimia kubwa ya wafungwa huko ni zao la watu waliokuwa idle mtaani.

Serikari itatoa wapi hela za kuendesha jela na kuwatunza wafungwa bila ya kuchochea njia za mapato au hata itapunguza vipi uhalifu bila kuweka mikakati yakukuza ajira na kupunguza idadi ya vijana wasio na shughuli mtaani?
 
Try to hide your stupidity sometimes.
Tabu ya njaa ya familia moja usilinganishe na ukanda mzima.
Turkana nzima is known for hunger and famine while Tanzania some families are facing hunger.
Can you measure the difference over there??
And in Tanzania there is only hunger (in need of food) but no famine (extremely shortage of food ) while Kenya there is in need of food (hunger) and extremely shortage of food (famine ).
Can you see some difference over there??
Turkana is a Desert unlike Bukoba. Thought you should know that.

I fail to understand how such a great place as Bukoba would experience such magnitude of hunger but it is totally understandable of Turkana and the likes since they grow no food and the place is extremely dry and arid. Haya SI mambo utayasikia Kisii, Mombasa, Taita, Muranga, Rift valley ya Kati bali ni huko pande za Kaskazini Kenya where man cannot change the Natural weather patterns so I still fail to understand how Tz faces hunger and malnutrition problems having a vast arable rain fed fertile land from North to South? Huoni si pande ya chakula peke yake mnakofeli bali hata pande ya madini, elimu,uchumi, Umasikini,afya na michezo Kama vile kuwatandika Taifa Stars Kama kawaida pia. Kitu kimoja mnatushinda ni mdomo tu.
 
Turkana is a Desert unlike Bukoba. Thought you should know that.

I fail to understand how such a great place as Bukoba would experience such magnitude of hunger but it is totally understandable of Turkana and the likes since they grow no food and the place is extremely dry and arid. Haya SI mambo utayasikia Kisii, Mombasa, Taita, Muranga, Rift valley ya Kati bali ni huko pande za Kaskazini Kenya where man cannot change the Natural weather patterns so I still fail to understand how Tz faces hunger and malnutrition problems having a vast arable rain fed fertile land from North to South? Huoni si pande ya chakula peke yake mnakofeli bali hata pande ya madini, elimu,uchumi, Umasikini,afya na michezo Kama vile kuwatandika Taifa Stars Kama kawaida pia. Kitu kimoja mnatushinda ni mdomo tu.
You are blabbering too much.
28 july we gonaa meet again Tanzania vs Harambee stars finding a ticket to chan tournaments.
Then there is no a nation which is 100% secure from hunger.
That's why in Tanzania just some people face hunger but no famine like Kenya.
If you are a greatest economy over East and Central Africa you could take measures of fighting against disasters.
Like establishing or implementing advanced agriculture on desert areas like the way Qatar and Egypt does.
But because you don't have the ability just stay silent.
Egypt is more than 70% total arid not like kenya semi-arid but no famine over there.
You will never see or hear someone died because of hunger in Tanzania.
But you might hear that some people experienced short term hunger.
Can you see some difference again??
Then nyie mchezo wa ngumi still bado hamtuwezi hata kijeshi pia.
So stay silent.
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi

====

Licha ya Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo inayotarajia kuboresha masisha ya wananchi, Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali.

Ingawa deni hilo bado ni himilivu, benki hiyo inasema umakini unahitajika kabla hali haijawa ngumu kwa Serikali kushindwa kutekeleza makubaliano.

Kwa sasa, taarifa ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha deni la nje linalohusisha lile la umma na sekta binafsi lilikuwa Dola 21.6 bilioni (takriban Sh49 trilioni) na la ndani ni Sh15.5 trilioni. Takwimu hizo ni mpaka Mei mwaka huu.

Hata hivyo, Benki ya Dunia inasema uwiano wa deni la Taifa na pato la taifa (GDP) kwa mwaka 2018 ulikuwa asilimia 40.1 zikiongezeka kutoka asilimia 37 za mwaka uliotangulia. Pamoja na ukweli huo, uwiano huo ni chini ya ukomo wa asilimia 70 unaopendekezwa kimataifa.

“Ingawa deni ni himilivu lakini ongezeko la mikopo ya kibiashara kutoka benki linapaswa kutazamwa kwa umakini,” inasomeka sehemu ya ripoti ya benki hiyo.

Hivi karibuni, Benki ya Dunia imeindua ripoti ya 12 ya hali ya uchumi Tanzania iliyoangazia umuhimu wa rasilimaliwatu katika kukuza utajiri ambayo pamoja na mambo mengine imetoa ushauri wa namna ya kuboresha ukuzaji uchumi na maisha ya wananchi.

Mwaka 2010/11 ripoti hiyo inasema mikopo kutoka benki za biashara ilikuwa asilimia nne tu ya deni zima lakini imeongezeka mpaka asilimia 30 mwaka 2016/17 hivyo kuipa Serikali gharama kubwa za marejesho.

Kutokana na ongezeko hilo, ripoti inasema Tanzania inatumia asilimia 43 ya mapato yake ya ndani kulipa deni la Taifa ingawa ulipaji wa deni la ndani umekuwa mdogo.

“Mei 2018 Serikali ilianzisha uhakiki wa madeni ya wakanadarasi na wazabuni ili kuharakisha ulipaji na Sh1 trilioni zilitengwa kwa ajili hiyo kwenye bajeti ya mwaka 2018/19 lakini kwenye nusu ya kwanza ya mwaka huo ni Sh322 bilioni pekee zilikuwa zimelipwa,” inasema ripoti hiyo.

Uuzaji nje

Kutokana na bei ndogo iliyopendekezwa na wanunuzi, Serikali ilizuia uuzaji wa korosho kwa kampuni zilizojitokeza mwaka jana na ikaamua kuzinunua yenyewe. Jeshi la wananchi lilihusishwa kwenye mchakato huo.

Kiasi kikubwa cha zaidi ya tani 200,000 za korosho zilizonunuliwa na Serikali hakikuuzwa nje ya nchi hivyo kushusha mapato ya fedha za kigeni kwa asilimia 3.9 kutokana na mapato ya zao hilo kushuka kutoka Dola 529.6 milioni hadi Dola 196.5 milioni.

Wakati uuzaji nje ukipungua kwa kiasi hicho, ununuaji uliongezeka kwa asilimia 7.8 kutoka Dola 2.7 bilioni hadi Dola 3.2 bilioni kulikochangiwa na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam.

“Hata hiyo, mapato yatokanayo na huduma hasa utalii yalifika Dola 189 milioni yakilinganishwa na malipo yaliyofanywa nje, Dola 56 milioni. Mapato hayo yalichangiwa na ongezeko la watalii na usafirishaji wa bidha kwenye nchi jirani,’ inasema ripoti hiyo.

Kushuka kwa akiba ya fedha za kigeni kumechangiwa na kupungua kwa uuzaji wa mauzo nje ya nchi kulikosababishwa na kutouzwa kwa korosho (page 20).

Utajiri wa wananchi umeshuka kutoka Dola 20,900 mwaka 1995 hadi Dola 17,451 mwaka 2014. (page 43).

Changamoto ya kwanza inayoifanya Tanzania ishindwe kukabiliana na umasikini hivyo kuboresha maisha ya wananchi wake ni kasi kubwa ya kuzaliana. Ongezeko la watu nchini ni asilimia 3.1 kwa mwaka, kiwango cha juu ikilinganishwa na asilimia 2.7 kwa nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara.

Kupunguza idadi ya watoto kwa kila mwanamke, kuimarisha elimu kwa mabinti, kupunguza ndoa na mimba za utotoni na kuongeza ushiriki wa wanawake kwenye shughuli za uchumi ni miongoni mwa njia za kukabili changamoto hiyo.

Udumavu na umasikini

Ingawa utajiri wa Tanzania umeongezeka kwa zaidi ya asilimia 45 kwa miongo miwili iliyopita, kasi kubwa ya ongezeko la watu imeshusha utajiri wa kila mwananchi kwa Dola 3,500.

Mwaka 2014 utajiri wa Tanzania unaojumuisha thamani ya rasilimali zote ilizonazoukitoa madeni ulikuwa Dola 904.33 bilioni ukilinganishwa na Dola 624.99 bilioni mwaka 1995. Lakini, utajiri wa kila raia ulipungua kutoka Dola 20,900 mwaka 1995 hadi Dola 17,451 mwaka 2014.

Licha ya kupungua kwa utajiri wa kila mwananchi, idadi ya masikini imeongezeka pia kutoka milioni 12.3 waliokuwepo mwaka 2012 hadi milioni 13.3 mwaka 2016. Ndani ya miaka minne, masikini milioni moja wameongezeka.

Mtafiti na mchumi mwandamizi, Profesa Samwel Wangwe anasema hiyo inaweza kuwa imechangiwa na ukuaji mkubwa wa sekta zisizoajiri watu wengi zaidi.

“Watanzania wengi ni wakulima au wafanyabiashara wadogo. Tunahitaji mipango itakayowainua waliopo kwenye maeneo hayo ili kuufanya uchumi wetu uwe jumuishi,” anasema Profesa Wangwe.

Kuhusu ongezeko kubwa la watu, naibu waziri wa afya, Dk Fustine Ndugulile anasema kunachangiwa na mambo mengi ikiwamo jitihada za Serikali kuboresha huduma za afya hasa chanjo kwa watoto.

“Hata hivyo, udhaifu wa sheria na ukosefu wa elimu ni chanzo cha ndoa na mimba nyingi za utotoni,’ anasema Dk Ndugulile.

Mkurugenzi mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bella Bird anasema wananchi wanahitaji kuelimishwa ili kukabiliana na changamoto zilizopo. Elimu, anasema itawasaidia kuboresha maisha, kukuza kipato na kuwa na uzazi unaohimilika.

“Elimu ya mama ni muhimu kwa maendeleo ya baadaye ya mtoto kielimu na kiuchumi. Watoto milioni tatu chini ya miaka mitano nchini wana udumavu. Msichana mmoja katika kila watatu anaolewa akiwa na chini ya miaka 18 na mmoja katika kila wanne anazaa akiwa chini ya umri huo,” anasema Bella.
watutolee ushuzi wao
 
Musiba njoo huku benki ya dunia wamekuja!!!. Akina Kinana, Nape na Membe wanaitumia benki ya dunia kuichafua serikali tukufu ya rais wa wanyonge. Benki ya dunia iache mara moja tabia za kuichonganisha serikali na wananchi.
Mkuu,
Sasa uangalie tusijepata dukuzi zako, maongezi n.k
Uthubutu huo lazima utoke juu manake au sehemu zisizojulikana ww!
Wana chama cha "mapinduzi", naamekua mstari wa mbele kuleta hayo "mapinduzi" na "uhuru" na mpaka "Ukombozi" kutoka kwa mabeberu, kwa hakika hayo hayawezwi kupingwa na Mwafrika yeyote yule anayejua siasa za Tanzania na Chama kinacho-tawala.

Sasa siasa za kejeli, haswa, kejeli na ubabe-egoism. Tanazania na watu wake, wengi wakiwa wamepigwa butwaa na mlolongo wa "...sintofahamu..." kwa yote yanayoendelea ... mambo ya " Ukombozi" yanawapiga chenga bado... manake mnyonyoro wa uchumi mpini wanao hao WB
Mwanahakati huyo hana uthubutu au jeuri ya kufanya hivyo, ni "mnyonge" "miguu imejaa matope" na hawezi kufanya hivyo kwani yeye sio CCM au Sirikali yake.

Hizi taarifa, aidha iwe ni kwaajili ya kwao, au ya kuchonganisha kadamnasi, lolote lile Ukweli Uwongo kuna ukweli na kila Mtanzania alichukue hili kwa tahadhari na kulitafakari sana.
 
You are blabbering too much.
28 july we gonaa meet again Tanzania vs Harambee stars finding a ticket to chan tournaments.
Then there is no a nation which is 100% secure from hunger.
That's why in Tanzania just some people face hunger but no famine like Kenya.
If you are a greatest economy over East and Central Africa you could take measures of fighting against disasters.
Like establishing or implementing advanced agriculture on desert areas like the way Qatar and Egypt does.
But because you don't have the ability just stay silent.
Egypt is more than 70% total arid not like kenya semi-arid but no famine over there.
You will never see or hear someone died because of hunger in Tanzania.
But you might hear that some people experienced short term hunger.
Can you see some difference again??
Then nyie mchezo wa ngumi still bado hamtuwezi hata kijeshi pia.
So stay silent.
Kama nilivyo sema hapo juu, Tz haifai kukumbwa na njaa wala utapiamlo unlike Arid Turkana. So hio tayari inaonyesha udhaifu na umaskini wenu.

Huwezi ukalinganisha Egypt na Kenya. All Cities and human habitation have been along the mighty Nile for thousands of Centuries. Northern Kenya has seosonal or non existent rivers.

Mchezo wa dondi tushanyakua dhahabu je nyinyi?

Kijeshi pia tuko ranked juu yenu Kama kawaida so bisha na stats afu tuko Somalia nyie hampo kwa uoga.

Mchezo mnaitushinda ni wa mdomo tu. Nionyeshe Jambo moja mnalotushinda hata moja using statistics sio mdomo tafadhali. Povu ruksa.
 
Mbona kila wakati tunaambiwa kwamba mapato ya taifa linaongezeka?, mbona zito akiongea haya anapingwa na kuonekana anafanya siasa? Je hawa wb ni chama gn hapa Tz ?' afu ni vzr hbr hz ziwe zinatoka live pale magogoni.
 
Yani deni la nje la Tz limefika $21B. Na jamaa bado wanatuambia kila siku eti wanatumia hela zao za ndani!!!

Kenya nchi ya madeni external debt yake ni $24.9B , hii ni baada ya kujenga projects kubwa kubwa kama SGR, Upanuzi wa bandari... kwa mikopo ya nje , inakuaje deni letu la nje ni sawia na deni la nje la Tz ilhali Tz hua inajenga project zake kubwa kubwa na "hela za ndani"
 
Back
Top Bottom