DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Tanzania haina deni kubwa sana, hiyo ni early warning tu. Deni la Tanzania liko chini ya 40% ya GDP, ambayo ni chini kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki. Angalia chart hii.
CountryDebt (%GDP)Population
Japan
234.182​
126860.301​
Greece
181.782​
10473.455​
Sudan
176.023​
0​
Venezuela
172.077​
28515.829​
Lebanon
160.567​
6855.713​
Italy
127.514​
60550.075​
Eritrea
127.338​
3497.117​
Barbados
127.313​
287.025​
Cape Verde
126.663​
549.935​
Portugal
117.544​
10226.187​
Mozambique
116.597​
30366.036​
United States
109.447​
329064.917​
Singapore
108.788​
5804.337​
Gambia
105.168​
2347.706​
Republic of the Congo
105.014​
5380.508​
Bahrain
102.01​
1641.172​
Belgium
99.075​
11539.328​
France
96.205​
65129.728​
Bhutan
96.051​
763.092​
Yemen
95.828​
29161.922​
Belize
95.526​
390.353​
Spain
95.118​
46736.776​
Jamaica
93.993​
2948.279​
Jordan
90.83​
10101.694​
Brazil
90.24​
211049.527​
Antigua and Barbuda
90.227​
97.118​
Cyprus
89.518​
1198.575​
Dominica
87.255​
71.808​
Egypt
87.077​
100388.073​
United Kingdom
85.924​
67530.172​
Canada
83.81​
37411.047​
Saint Vincent and the Grenadines
81.226​
110.589​
Ukraine
76.855​
43993.638​
Sri Lanka
75.186​
21323.733​
Saint Lucia
74.905​
182.79​
Tunisia
73.314​
11694.719​
Mauritania
73.169​
4525.696​
Maldives
72.824​
530.953​
Zimbabwe
72.638​
14645.468​
Croatia
72.576​
4130.304​
Sao Tome and Principe
72.158​
215.056​
Austria
71.966​
8955.102​
Angola
71.591​
31825.295​
Togo
70.573​
8082.366​
Slovenia
69.8​
2078.654​
Burundi
69.449​
11530.58​
Albania
68.501​
2880.917​
Zambia
68.041​
17861.03​
Suriname
67.729​
581.372​
Pakistan
67.444​
216565.318​
India
67.293​
1366417.754​
Laos
66.707​
7169.455​
Montenegro
66.504​
627.987​
Puerto Rico
66.024​
2933.408​
Ghana
65.9​
30417.856​
Hungary
65.869​
9684.679​
Uruguay
65.167​
3461.734​
Ireland
64.858​
4882.495​
Sierra Leone
63.992​
7813.215​
Morocco
62.444​
36471.769​
Nauru
61.689​
10.756​
Israel
61.383​
8519.377​
Finland
59.556​
5532.156​
Gabon
59.342​
2172.579​
Mauritius
59.11​
1269.668​
El Salvador
58.829​
6453.553​
Senegal
58.75​
16296.364​
Namibia
58.517​
2494.53​
Vietnam
58.13​
96462.106​
Malawi
57.586​
18628.747​
Saint Kitts and Nevis
57.547​
52.823​
Bahamas
56.952​
389.482​
Kenya
56.948​
52573.973​
Grenada
56.721​
112.003​
Ethiopia
56.7​
112078.73​
Azerbaijan
56.366​
10047.718​
Guyana
56.118​
782.766​
Costa Rica
55.918​
5047.561​
Germany
55.746​
83517.045​
South Africa
55.698​
58558.27​
Armenia
55.585​
2957.731​
Serbia
55.088​
8772.235​
Kyrgyzstan
55.079​
6415.85​
San Marino
54.606​
33.86​
China
54.442​
1433783.686​
Iraq
54.435​
39309.783​
Seychelles
53.679​
97.739​
Mexico
53.428​
127575.529​
Argentina
52.747​
44780.677​
Benin
52.643​
11801.151​
Malaysia
52.624​
31949.777​
Bolivia
52.315​
11513.1​
Qatar
51.957​
2832.067​
Vanuatu
51.699​
299.882​
Netherlands
50.905​
17097.13​
Ecuador
50.053​
17373.662​
Belarus
49.929​
9452.411​
Tajikistan
49.878​
9321.018​
Poland
49.799​
37887.768​
Iran
49.206​
82913.906​
South Sudan
48.576​
11062.113​
Equatorial Guinea
48.406​
1355.986​
Oman
48.34​
4974.986​
Colombia
48.17​
50339.443​
Niger
47.533​
23310.715​
Ivory Coast
46.873​
25716.544​
Fiji
46.861​
889.953​
Slovakia
46.556​
5457.013​
Samoa
46.249​
197.097​
Malta
45.94​
440.372​
Chad
45.389​
15946.876​
Guinea
44.686​
12771.246​
Trinidad and Tobago
44.673​
1394.973​
Uganda
44.505​
44269.594​
Central African Republic
44.374​
4745.185​
Georgia
44.091​
3996.765​
Honduras
44.081​
9746.117​
Rwanda
43.117​
12626.95​
Macedonia
42.217​
2083.459​
Moldova
41.994​
4043.263​
Lesotho
41.739​
2125.268​
Thailand
41.575​
69625.582​
Burkina Faso
41.341​
20321.378​
Switzerland
41.098​
8591.365​
Australia
41.048​
25203.198​
Swaziland
40.967​
1148.13​
Tanzania
40.717​
58005.463​
Liberia
39.118​
4937.374​
Romania
38.963​
19364.557​
Algeria
38.425​
43053.054​
Bosnia and Herzegovina
38.377​
3301​
South Korea
38.265​
51225.308​
Madagascar
38.022​
26969.307​
Dominican Republic
37.87​
10738.958​
Guinea-Bissau
37.59​
1920.922​
Panama
36.965​
4246.439​
Norway
36.655​
5378.857​
Mali
36.584​
19658.031​
Philippines
36.285​
108116.615​
Cambodia
36.186​
16486.542​
Denmark
35.06​
5771.876​
Iceland
34.881​
339.031​
Myanmar
34.872​
54045.42​
Nicaragua
34.577​
6545.502​
Sweden
34.446​
10036.379​
Haiti
34.27​
11263.077​
Cameroon
34.057​
25876.38​
Turkmenistan
33.616​
5942.089​
Bangladesh
33.357​
163046.161​
Kiribati
32.881​
117.606​
Kuwait
32.417​
4207.083​
Latvia
31.916​
1906.743​
Taiwan
31.826​
23773.876​
Tuvalu
31.486​
11.646​
Lithuania
31.409​
2759.627​
Czech Republic
31.293​
10689.209​
Papua New Guinea
30.67​
8776.109​
Indonesia
30.251​
270625.568​
Djibouti
29.328​
973.56​
Nepal
28.829​
28608.71​
Comoros
28.475​
850.886​
Peru
28.012​
32510.453​
Turkey
27.855​
83429.615​
Nigeria
27.373​
200963.599​
Paraguay
26.056​
7044.636​
Guatemala
24.644​
17581.472​
Chile
24.617​
18952.038​
Saudi Arabia
23.826​
34268.528​
Marshall Islands
23.25​
58.791​
Kazakhstan
23.142​
18551.427​
Bulgaria
22.855​
7000.119​
Luxembourg
22.797​
615.729​
New Zealand
22.689​
4783.063​
Uzbekistan
20.649​
32981.716​
Micronesia
20.548​
113.815​
Russia
19.482​
145872.256​
United Arab Emirates
19.347​
9770.529​
Solomon Islands
16.414​
669.823​
DR Congo
13.315​
86790.567​
Botswana
12.837​
2303.697​
Estonia
8.115​
1325.648​
Afghanistan
6.316​
38041.754​
Brunei
2.457​
433.285​
Kuna baadhi ya nchi hazikopesheki au vipi maana DRC Congo licha ya kuwa na mali nyingi na ufichu wa miundombinu ya usafiri lakini wamekopa kiduchu sana,sasa hawa wataendeleaje
 
Hapa siku za awali ambapo Rais John Pombe Joseph Magufuli alipotembelea benki kuu na kuulizia kuhusu deni la taifa
 
Kwa taarifa yako, serikali ya Marekani haikopeshi nchi yoyote duniani; hutoa misaada tu. Kupata hela ya mkopo kutoka Marekani ziombe IMF na World Bank.

Kuhusu deni lao hiyo ni juu yao, wanaweza kulipunguza sana kwa kupunguza thamani za bonds zao tu.

Kwa hiyo wewe hujui kuwa mtaji wote wa WB na IMF ni fedha zilizotolewa na Serikali ya Marekani na zinasimamiwa na Serikali hiyo?
 
Hii miradi ni ya infrastructure ni ya lazima na hapo Magu anatakiwa apongezwe.
Utampongeza wewe hakuna ulazima wowote wa kujenga sgr dreamliner na hata stiglaz kwa sasa
Why bcoz hakuna mzigo wowote kanda hiyo Wala growth rate ya cargo sio kubwa kuhitaji sgr
Pili ukuaji wa sekta ya umeme yaani consumption rate ya umeme sio kubwa kiasi kuhitaji megawati 2100 za trions of money,ushahidi ni Kenya yenye uchumi mkubwa twice ours na connectivity kubwa tena ya viwanda lakini consumption iko chini ya megawati 2000 likewise Ethiopia so stiglaz ya nn wakati huu tu uliopo una surplus.Kwa nini tusiwe tunawekeza mid sized Hydro zilizoko Njombe? Ili baadae sana uchumi ulivuka gdp ya 100 USD ndio tufikirie kuwekeza huko?
Tatu sikuona sababu za msingi kufufua shirika la atcl kwa cash money na kwa haraka ikizingatiwa kwamba watu wa Tzn ni maskini hakuna wapanda ndege tungesubiri tufikie uchumi wa kati ndio tufanye hayo hata hasara na kutoa ruzuku kwa hayo mashirika ingekuwa kidogo kuliko sasa
Mwisho hayo mapesa yangewekezwa kuimarisha barabara kila kona ya nchi na kuifungua plus biashara, viwanda,kilimo,utalii,uvuvi,ufugaji,strategic airports na bandari yangeleta tija zaidi kwenye uchumi kuliko ambavyo yamevuruga uchumi na yatakuwa white elephants kwa miaka mingi ijayo coz lazima pesa zitafutwe upya kuwezesha hizo sekta ili hiyo miradi iweze kuwa na tija.Imagine mtu anajenga daraja la bln 700 la show off tutafika kweli?
 
Licha ya kupungua kwa utajiri wa kila mwananchi, idadi ya masikini imeongezeka pia kutoka milioni 12.3 waliokuwepo mwaka 2012 hadi milioni 13.3 mwaka 2016. Ndani ya miaka minne, masikini milioni moja wameongezeka.
Kaaaazi kweli kweli ..najaribu kuproject tu..ndani ya miaka 10 ijayo maskini millioni 2.5 watakuwa wameongezeka...na hawa ni wale watakao kuwa wanaishi chini ya dola moja kwa siku! kwa sasa tunaweza sema wanaishi chini ya Tshs 2200 kwa siku!
 
trilion 50,ligawanye kwa watu milion 54 ni 925,925 kila mtanzania kwa sasa amelibeba ninachochukia tunakopa tunatengeneza barabara badala ya kujenga viwanda HOPELESS tangu uhuru tunajenga tu mabarabara.
1564125296027.png
 
Wasitutishe hao mabeberu hizo takwimu ni zao,sisi tunasubiri za ndani ya nchi. Mabeberu watulie.
 
Back
Top Bottom