Watanzania huwa mnatusema sana kuhusu madeni, nyie mnajisifia kufanya kila kitu kwa pesa zenu za ndani, sasa inakuaje Benki kuu inawasema na kuwatahadharisha.
Bora sisi tuna mikopo lakini tupo kwenye uchumi wa kati, lakini ujilimbikize mikopo na bado unatajwa kwenye mataifa maskini, ni hatari sana..
-------------------------
Licha ya Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo inayotarajia kuboresha masisha ya wananchi, Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali.
Licha ya Serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo inayotarajia kuboresha masisha ya wananchi, Benki ya Dunia imetahadharisha kuhusu ukopaji unaofanywa na Serikali.
www.mwananchi.co.tz