DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Kama nilivyo sema hapo juu, Tz haifai kukumbwa na njaa wala utapiamlo unlike Arid Turkana. So hio tayari inaonyesha udhaifu na umaskini wenu.

Huwezi ukalinganisha Egypt na Kenya. All Cities and human habitation have been along the mighty Nile for thousands of Centuries. Northern Kenya has seosonal or non existent rivers.

Mchezo wa dondi tushanyakua dhahabu je nyinyi?

Kijeshi pia tuko ranked juu yenu Kama kawaida so bisha na stats afu tuko Somalia nyie hampo kwa uoga.

Mchezo mnaitushinda ni wa mdomo tu. Nionyeshe Jambo moja mnalotushinda hata moja using statistics sio mdomo tafadhali. Povu ruksa.
Ahahhahhaahhaah aseee.
Hata Iran yupo ranked wa 11 among elite forces lakin kawazidi mabeberu kwa uwezo wa kivita.
China ranked no.3 lakini ana vinu vya ballistic ambavyo vingine vya siri US hajui na haviwez.
Uwezo wa kijeshi ni kwa action sio statistics tu.
India imekuwa ranked ya nne ila kijeshi inaburutwa na Pakistan ya 20 huko.
Kipimo cha jeshi ni uwezo wa kivita na ushindaji wa. Vita sio statistics tu za kipuuzi.
JWTZ kuna list moja ya most elite forces top 30 JWTZ Iliwekwa ya 25 na sikuona jeshi la taifa lingine la Africa isipokuwa JWTZ tu.
Na waliweka kipimo cha uwezo wa ushindaji vita.
Kdf mmeshinda mission ipi km sio kuiba mikate tu Westgate ??
 
Hatujilinganishi ila tunawakumbushia kila siku kwamba mpo ligi ya chini, tatizo mnapenda kujiweka muonekane kwenye level yetu.
Ipo siku mtapasuka mkiendelea kushindana na ndovu...
Ligi ya chini mngekua mnahangaika kuja kubanana huku hiii ndo mtakuja mtatufata mpaka chato mshajua huku ni nchi ya maziwa na asali kazi ni kwenu
 
Yani deni la nje la Tz limefika $21B. Na jamaa bado wanatuambia kila siku eti wanatumia hela zao za ndani!!!

Kenya nchi ya madeni external debt yake ni $24.9B , hii ni baada ya kujenga projects kubwa kubwa kama SGR, Upanuzi wa bandari... kwa mikopo ya nje , inakuaje deni letu la nje ni sawia na deni la nje la Tz ilhali Tz hua inajenga project zake kubwa kubwa na "hela za ndani"
Deni lenu ni $27bn....au mmpenunguza $3bn in months ?
Screenshot_20190727-124928.jpg
 
Ahahhahhaahhaah aseee.
Hata Iran yupo ranked wa 11 among elite forces lakin kawazidi mabeberu kwa uwezo wa kivita.
China ranked no.3 lakini ana vinu vya ballistic ambavyo vingine vya siri US hajui na haviwez.
Uwezo wa kijeshi ni kwa action sio statistics tu.
India imekuwa ranked ya nne ila kijeshi inaburutwa na Pakistan ya 20 huko.
Kipimo cha jeshi ni uwezo wa kivita na ushindaji wa. Vita sio statistics tu za kipuuzi.
JWTZ kuna list moja ya most elite forces top 30 JWTZ Iliwekwa ya 25 na sikuona jeshi la taifa lingine la Africa isipokuwa JWTZ tu.
Na waliweka kipimo cha uwezo wa ushindaji vita.
Kdf mmeshinda mission ipi km sio kuiba mikate tu Westgate ??
Ushatoka madrassa?
 
Yani deni la nje la Tz limefika $21B. Na jamaa bado wanatuambia kila siku eti wanatumia hela zao za ndani!!!

Kenya nchi ya madeni external debt yake ni $24.9B , hii ni baada ya kujenga projects kubwa kubwa kama SGR, Upanuzi wa bandari... kwa mikopo ya nje , inakuaje deni letu la nje ni sawia na deni la nje la Tz ilhali Tz hua inajenga project zake kubwa kubwa na "hela za ndani"

Kati ya hizo $21B deni la serikali ni $16B tu, mengine ni madeni ya nje ya watu/kampuni binafsi.
 
Kati ya hizo $21B deni la serikali ni $16B tu, mengine ni madeni ya nje ya watu/kampuni binafsi.
First, do you understand the meaning of external debts? Second, prove your statement ati only $16b are for govt.
 
First, do you understand the meaning of external debts? Second, prove your statement ati only $16b are for govt.

Angalia ukurasa wa 7 wa document hiyo ya BOT.

4.1 External Debt

External debt stock, comprising public and private sector debt, amounted to USD 21,600.8 million at the end of May 2019, having increased by USD 12.9 million and USD 1,074.5 million from April 2019 and May 2018, respectively (Table 4.1). The increase was mainly on account of new disbursements. Out of the external debt stock, about 75.6 percent was central government’s debt.

 
Tuna Chato International Airport hata kama haikuwahi kuwa kwenye mpango wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano we don’t care
Sure we don't care but ebu tukae tufikilie baada ya kufikia katika level ya kutokuvumilika what's goner happen next...?

But I do appreciate your comment on that topic...!
 
Musiba njoo huku benki ya dunia wamekuja!!!. Akina Kinana, Nape na Membe wanaitumia benki ya dunia kuichafua serikali tukufu ya rais wa wanyonge. Benki ya dunia iache mara moja tabia za kuichonganisha serikali na wananchi.
Tanesco kuzima umeme kupitisha mzigo wa magendo au ndo ile uzuri bila akili zitakazo umia sehemu za siri 😷😷😷
 
Tuna Chato International Airport hata kama haikuwahi kuwa kwenye mpango wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano we don’t care

Kila kitu kikijengwa kwenye miji mikuuu inaleta Misongamano wacha wajenge Chato nao waenjoy!
 
Kati ya hizo $21B deni la serikali ni $16B tu, mengine ni madeni ya nje ya watu/kampuni binafsi.
Hata huku pia ni hali hio, 72% ya deni la nje ndo la serekali, 28% ni madeni binafsi
 
Npo Mimi kama mimi sioni mwingine je ilo deni likiwa alivumiliki litanidhuri chochote...? Maana sina nachochangia wala nachokosa nipo sahihi katika ili jamani naomba nisaidie mawazo yenu...?
 
Jiwe watam Gaddaffi, wazungu hawatakagi mtu mwenye kiherehere cha maendeleo kwa nyani weusi.
 
Back
Top Bottom