DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Tanzania haina deni kubwa sana, hiyo ni early warning tu. Deni la Tanzania liko chini ya 40% ya GDP, ambayo ni chini kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki. Angalia chart hii.
CountryDebt (%GDP)Population
Japan
234.182​
126860.301​
Greece
181.782​
10473.455​
Sudan
176.023​
0​
Venezuela
172.077​
28515.829​
Lebanon
160.567​
6855.713​
Italy
127.514​
60550.075​
Eritrea
127.338​
3497.117​
Barbados
127.313​
287.025​
Cape Verde
126.663​
549.935​
Portugal
117.544​
10226.187​
Mozambique
116.597​
30366.036​
United States
109.447​
329064.917​
Singapore
108.788​
5804.337​
Gambia
105.168​
2347.706​
Republic of the Congo
105.014​
5380.508​
Bahrain
102.01​
1641.172​
Belgium
99.075​
11539.328​
France
96.205​
65129.728​
Bhutan
96.051​
763.092​
Yemen
95.828​
29161.922​
Belize
95.526​
390.353​
Spain
95.118​
46736.776​
Jamaica
93.993​
2948.279​
Jordan
90.83​
10101.694​
Brazil
90.24​
211049.527​
Antigua and Barbuda
90.227​
97.118​
Cyprus
89.518​
1198.575​
Dominica
87.255​
71.808​
Egypt
87.077​
100388.073​
United Kingdom
85.924​
67530.172​
Canada
83.81​
37411.047​
Saint Vincent and the Grenadines
81.226​
110.589​
Ukraine
76.855​
43993.638​
Sri Lanka
75.186​
21323.733​
Saint Lucia
74.905​
182.79​
Tunisia
73.314​
11694.719​
Mauritania
73.169​
4525.696​
Maldives
72.824​
530.953​
Zimbabwe
72.638​
14645.468​
Croatia
72.576​
4130.304​
Sao Tome and Principe
72.158​
215.056​
Austria
71.966​
8955.102​
Angola
71.591​
31825.295​
Togo
70.573​
8082.366​
Slovenia
69.8​
2078.654​
Burundi
69.449​
11530.58​
Albania
68.501​
2880.917​
Zambia
68.041​
17861.03​
Suriname
67.729​
581.372​
Pakistan
67.444​
216565.318​
India
67.293​
1366417.754​
Laos
66.707​
7169.455​
Montenegro
66.504​
627.987​
Puerto Rico
66.024​
2933.408​
Ghana
65.9​
30417.856​
Hungary
65.869​
9684.679​
Uruguay
65.167​
3461.734​
Ireland
64.858​
4882.495​
Sierra Leone
63.992​
7813.215​
Morocco
62.444​
36471.769​
Nauru
61.689​
10.756​
Israel
61.383​
8519.377​
Finland
59.556​
5532.156​
Gabon
59.342​
2172.579​
Mauritius
59.11​
1269.668​
El Salvador
58.829​
6453.553​
Senegal
58.75​
16296.364​
Namibia
58.517​
2494.53​
Vietnam
58.13​
96462.106​
Malawi
57.586​
18628.747​
Saint Kitts and Nevis
57.547​
52.823​
Bahamas
56.952​
389.482​
Kenya
56.948​
52573.973​
Grenada
56.721​
112.003​
Ethiopia
56.7​
112078.73​
Azerbaijan
56.366​
10047.718​
Guyana
56.118​
782.766​
Costa Rica
55.918​
5047.561​
Germany
55.746​
83517.045​
South Africa
55.698​
58558.27​
Armenia
55.585​
2957.731​
Serbia
55.088​
8772.235​
Kyrgyzstan
55.079​
6415.85​
San Marino
54.606​
33.86​
China
54.442​
1433783.686​
Iraq
54.435​
39309.783​
Seychelles
53.679​
97.739​
Mexico
53.428​
127575.529​
Argentina
52.747​
44780.677​
Benin
52.643​
11801.151​
Malaysia
52.624​
31949.777​
Bolivia
52.315​
11513.1​
Qatar
51.957​
2832.067​
Vanuatu
51.699​
299.882​
Netherlands
50.905​
17097.13​
Ecuador
50.053​
17373.662​
Belarus
49.929​
9452.411​
Tajikistan
49.878​
9321.018​
Poland
49.799​
37887.768​
Iran
49.206​
82913.906​
South Sudan
48.576​
11062.113​
Equatorial Guinea
48.406​
1355.986​
Oman
48.34​
4974.986​
Colombia
48.17​
50339.443​
Niger
47.533​
23310.715​
Ivory Coast
46.873​
25716.544​
Fiji
46.861​
889.953​
Slovakia
46.556​
5457.013​
Samoa
46.249​
197.097​
Malta
45.94​
440.372​
Chad
45.389​
15946.876​
Guinea
44.686​
12771.246​
Trinidad and Tobago
44.673​
1394.973​
Uganda
44.505​
44269.594​
Central African Republic
44.374​
4745.185​
Georgia
44.091​
3996.765​
Honduras
44.081​
9746.117​
Rwanda
43.117​
12626.95​
Macedonia
42.217​
2083.459​
Moldova
41.994​
4043.263​
Lesotho
41.739​
2125.268​
Thailand
41.575​
69625.582​
Burkina Faso
41.341​
20321.378​
Switzerland
41.098​
8591.365​
Australia
41.048​
25203.198​
Swaziland
40.967​
1148.13​
Tanzania
40.717​
58005.463​
Liberia
39.118​
4937.374​
Romania
38.963​
19364.557​
Algeria
38.425​
43053.054​
Bosnia and Herzegovina
38.377​
3301​
South Korea
38.265​
51225.308​
Madagascar
38.022​
26969.307​
Dominican Republic
37.87​
10738.958​
Guinea-Bissau
37.59​
1920.922​
Panama
36.965​
4246.439​
Norway
36.655​
5378.857​
Mali
36.584​
19658.031​
Philippines
36.285​
108116.615​
Cambodia
36.186​
16486.542​
Denmark
35.06​
5771.876​
Iceland
34.881​
339.031​
Myanmar
34.872​
54045.42​
Nicaragua
34.577​
6545.502​
Sweden
34.446​
10036.379​
Haiti
34.27​
11263.077​
Cameroon
34.057​
25876.38​
Turkmenistan
33.616​
5942.089​
Bangladesh
33.357​
163046.161​
Kiribati
32.881​
117.606​
Kuwait
32.417​
4207.083​
Latvia
31.916​
1906.743​
Taiwan
31.826​
23773.876​
Tuvalu
31.486​
11.646​
Lithuania
31.409​
2759.627​
Czech Republic
31.293​
10689.209​
Papua New Guinea
30.67​
8776.109​
Indonesia
30.251​
270625.568​
Djibouti
29.328​
973.56​
Nepal
28.829​
28608.71​
Comoros
28.475​
850.886​
Peru
28.012​
32510.453​
Turkey
27.855​
83429.615​
Nigeria
27.373​
200963.599​
Paraguay
26.056​
7044.636​
Guatemala
24.644​
17581.472​
Chile
24.617​
18952.038​
Saudi Arabia
23.826​
34268.528​
Marshall Islands
23.25​
58.791​
Kazakhstan
23.142​
18551.427​
Bulgaria
22.855​
7000.119​
Luxembourg
22.797​
615.729​
New Zealand
22.689​
4783.063​
Uzbekistan
20.649​
32981.716​
Micronesia
20.548​
113.815​
Russia
19.482​
145872.256​
United Arab Emirates
19.347​
9770.529​
Solomon Islands
16.414​
669.823​
DR Congo
13.315​
86790.567​
Botswana
12.837​
2303.697​
Estonia
8.115​
1325.648​
Afghanistan
6.316​
38041.754​
Brunei
2.457​
433.285​
Kwanin waionye nch yetu wasiwaonye ao wengne hu ni wivu
 
Table zake kwa nchi zote duniani ziko wapi. Mimi ninajua pa kupata GDP ratio, na most likely credit rating ambazo hutofautiana kutoka agency moja hadi nyingini. Credit rating agencies popular ni Moody's, S&P, Fitch na DBRS.
Hao hakina Moddy’s et al kufikia mahitimisho wote wanatumia data za hizo frameworks kuhitimisha na ndio maana kila nchi ina Dept Management Office (DMO) kwa sababu ya kutayarisha data zinazotakiwa as required with debt analysis frameworks.

Ndio maana GDP sio kigezo kikubwa sana kwenye kufanya risk assesment ya national debt sustainability.
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi

Its scary!

Kutokana na serial bad decision making of the Jiwe,uchumi utaendelea kushuka!

Possibility ya kupanda ni ngumu maana tuna decision maker asiekua capable wa ku-made right decision at any given instant!

Hii ni culmination ya one bad decision after another!

Kibaya zaidi hakuna mwenye akili ya kuweza kufanya right decision,ndio shida kubwa!

Tutalipa madeni mpaka vilembwe wetu!

We are in deep shit!
 
Vipi wadeni wake? Tumia akili kidogo,Marekani ina madeni lakini pia inazidai nchi nyingi..vipi nyie Tz mnaidai pesa nchi gani?

What is the meaning ya kusema 'tumia akili ...' Kulikuwa na ulazima wa wewe kutumia lugha hiyo uliyoitumia???!!! Una umri gani Ndugu...Kwenye mijadala huna haja ya kutumia lugha ya kejeli...Watu hutofautiana kimawazo...na huwezi kusema wale wanaotofautiana na wewe hawana akili na kwamba wewe eti ndiyo mwenye akili...hakuna kitu kama hicho...lugha yako ni ya majivuno, ubabe, dharau na kejeli, kiburi na udhalilishaji...ni lugha ya hovyo kabisa...Hata mtoto mdogo awe ni wako au siyo wako kutumia lugha ya aina hiyo ni udhalilishaji...FACT: Marekani ndilo taifa lenye deni kubwa duniani kuliko mataifa mengine yote...Linaweza kuwa ni deni la ndani...lakini issue hapa ni deni...Upende na usipende Marekani ndiyo yenye deni kubwa kuliko mataifa mengine duniani...inaweza kuwa inadaiwa na contractors wa vifaa vya jeshi na kadhalika...Kama ulikuwa hulijui hilo basi leo umefahamishwa ...Jifunze zaidi, elimu haina mwisho...na elimu siyo ugomvi....
 
Hawa mabeberu waongo sana hawa... Yatupasa kuwalaani kwa nguvu zote kwa kutubambikia deni kubwa kama hilo (alisikika mlevi mmoja akiongea pekeyake)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ah! kumbe nao wanajua deni bado ni HIMILIVU?
Waache kiherehere. Tunaingia uchumi wa kati - Tutalipa tu.
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
Utaambiwa umetumwa na mabeberu
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi

Wewe ndio Benki ya dunia au!!?, mbona sioni maelezo yoyote kutoka benki hiyo.
 
Tunaangalia tu wataalamu wanatuonya. Siku tukiambiwa hatukopesheki tusishangae
Naomba tufike huko kusikokopesheka labda vichwa vitajiupdate upya
 
Team Bariadi mkuje huku kuna sisimizi inaitwa Weldi Beng ( WB) muwaloge!
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
 
Tuliambiwa pesa zipo ndo maana hata ndege tulinunua kwa cash, mambo ya kukopa yametoka wapi tena?
 
Tuliambiwa pesa zipo ndo maana hata ndege tulinunua kwa cash, mambo ya kukopa yametoka wapi tena?
Hata mimi niliamini deni limeishapungua sana. Ila kila siku wanakuja watu wa nje wanatushinikiza na vipesa vyao vya kubeep.

Wao kama vipi wasepe na vihela wanavyotudai wadai kwa mkupuo mmoja.
 
Back
Top Bottom