DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

Musiba njoo huku benki ya dunia wamekuja!!!. Akina Kinana, Nape na Membe wanaitumia benki ya dunia kuichafua serikali tukufu ya rais wa wanyonge. Benki ya dunia iache mara moja tabia za kuichonganisha serikali na wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
Benki ya dunia wasitusumbue raisi wetu mpendwa kashatuambia hatukopi tuaendesha miradi yetu kwa pesa zetu za ndani
 
Tanzania haina deni kubwa sana, hiyo ni early warning tu. Deni la Tanzania liko chini ya 40% ya GDP, ambayo ni chini kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki. Angalia chart hii.
CountryDebt (%GDP)Population
Japan
234.182​
126860.301​
Greece
181.782​
10473.455​
Sudan
176.023​
0​
Venezuela
172.077​
28515.829​
Lebanon
160.567​
6855.713​
Italy
127.514​
60550.075​
Eritrea
127.338​
3497.117​
Barbados
127.313​
287.025​
Cape Verde
126.663​
549.935​
Portugal
117.544​
10226.187​
Mozambique
116.597​
30366.036​
United States
109.447​
329064.917​
Singapore
108.788​
5804.337​
Gambia
105.168​
2347.706​
Republic of the Congo
105.014​
5380.508​
Bahrain
102.01​
1641.172​
Belgium
99.075​
11539.328​
France
96.205​
65129.728​
Bhutan
96.051​
763.092​
Yemen
95.828​
29161.922​
Belize
95.526​
390.353​
Spain
95.118​
46736.776​
Jamaica
93.993​
2948.279​
Jordan
90.83​
10101.694​
Brazil
90.24​
211049.527​
Antigua and Barbuda
90.227​
97.118​
Cyprus
89.518​
1198.575​
Dominica
87.255​
71.808​
Egypt
87.077​
100388.073​
United Kingdom
85.924​
67530.172​
Canada
83.81​
37411.047​
Saint Vincent and the Grenadines
81.226​
110.589​
Ukraine
76.855​
43993.638​
Sri Lanka
75.186​
21323.733​
Saint Lucia
74.905​
182.79​
Tunisia
73.314​
11694.719​
Mauritania
73.169​
4525.696​
Maldives
72.824​
530.953​
Zimbabwe
72.638​
14645.468​
Croatia
72.576​
4130.304​
Sao Tome and Principe
72.158​
215.056​
Austria
71.966​
8955.102​
Angola
71.591​
31825.295​
Togo
70.573​
8082.366​
Slovenia
69.8​
2078.654​
Burundi
69.449​
11530.58​
Albania
68.501​
2880.917​
Zambia
68.041​
17861.03​
Suriname
67.729​
581.372​
Pakistan
67.444​
216565.318​
India
67.293​
1366417.754​
Laos
66.707​
7169.455​
Montenegro
66.504​
627.987​
Puerto Rico
66.024​
2933.408​
Ghana
65.9​
30417.856​
Hungary
65.869​
9684.679​
Uruguay
65.167​
3461.734​
Ireland
64.858​
4882.495​
Sierra Leone
63.992​
7813.215​
Morocco
62.444​
36471.769​
Nauru
61.689​
10.756​
Israel
61.383​
8519.377​
Finland
59.556​
5532.156​
Gabon
59.342​
2172.579​
Mauritius
59.11​
1269.668​
El Salvador
58.829​
6453.553​
Senegal
58.75​
16296.364​
Namibia
58.517​
2494.53​
Vietnam
58.13​
96462.106​
Malawi
57.586​
18628.747​
Saint Kitts and Nevis
57.547​
52.823​
Bahamas
56.952​
389.482​
Kenya
56.948​
52573.973​
Grenada
56.721​
112.003​
Ethiopia
56.7​
112078.73​
Azerbaijan
56.366​
10047.718​
Guyana
56.118​
782.766​
Costa Rica
55.918​
5047.561​
Germany
55.746​
83517.045​
South Africa
55.698​
58558.27​
Armenia
55.585​
2957.731​
Serbia
55.088​
8772.235​
Kyrgyzstan
55.079​
6415.85​
San Marino
54.606​
33.86​
China
54.442​
1433783.686​
Iraq
54.435​
39309.783​
Seychelles
53.679​
97.739​
Mexico
53.428​
127575.529​
Argentina
52.747​
44780.677​
Benin
52.643​
11801.151​
Malaysia
52.624​
31949.777​
Bolivia
52.315​
11513.1​
Qatar
51.957​
2832.067​
Vanuatu
51.699​
299.882​
Netherlands
50.905​
17097.13​
Ecuador
50.053​
17373.662​
Belarus
49.929​
9452.411​
Tajikistan
49.878​
9321.018​
Poland
49.799​
37887.768​
Iran
49.206​
82913.906​
South Sudan
48.576​
11062.113​
Equatorial Guinea
48.406​
1355.986​
Oman
48.34​
4974.986​
Colombia
48.17​
50339.443​
Niger
47.533​
23310.715​
Ivory Coast
46.873​
25716.544​
Fiji
46.861​
889.953​
Slovakia
46.556​
5457.013​
Samoa
46.249​
197.097​
Malta
45.94​
440.372​
Chad
45.389​
15946.876​
Guinea
44.686​
12771.246​
Trinidad and Tobago
44.673​
1394.973​
Uganda
44.505​
44269.594​
Central African Republic
44.374​
4745.185​
Georgia
44.091​
3996.765​
Honduras
44.081​
9746.117​
Rwanda
43.117​
12626.95​
Macedonia
42.217​
2083.459​
Moldova
41.994​
4043.263​
Lesotho
41.739​
2125.268​
Thailand
41.575​
69625.582​
Burkina Faso
41.341​
20321.378​
Switzerland
41.098​
8591.365​
Australia
41.048​
25203.198​
Swaziland
40.967​
1148.13​
Tanzania
40.717​
58005.463​
Liberia
39.118​
4937.374​
Romania
38.963​
19364.557​
Algeria
38.425​
43053.054​
Bosnia and Herzegovina
38.377​
3301​
South Korea
38.265​
51225.308​
Madagascar
38.022​
26969.307​
Dominican Republic
37.87​
10738.958​
Guinea-Bissau
37.59​
1920.922​
Panama
36.965​
4246.439​
Norway
36.655​
5378.857​
Mali
36.584​
19658.031​
Philippines
36.285​
108116.615​
Cambodia
36.186​
16486.542​
Denmark
35.06​
5771.876​
Iceland
34.881​
339.031​
Myanmar
34.872​
54045.42​
Nicaragua
34.577​
6545.502​
Sweden
34.446​
10036.379​
Haiti
34.27​
11263.077​
Cameroon
34.057​
25876.38​
Turkmenistan
33.616​
5942.089​
Bangladesh
33.357​
163046.161​
Kiribati
32.881​
117.606​
Kuwait
32.417​
4207.083​
Latvia
31.916​
1906.743​
Taiwan
31.826​
23773.876​
Tuvalu
31.486​
11.646​
Lithuania
31.409​
2759.627​
Czech Republic
31.293​
10689.209​
Papua New Guinea
30.67​
8776.109​
Indonesia
30.251​
270625.568​
Djibouti
29.328​
973.56​
Nepal
28.829​
28608.71​
Comoros
28.475​
850.886​
Peru
28.012​
32510.453​
Turkey
27.855​
83429.615​
Nigeria
27.373​
200963.599​
Paraguay
26.056​
7044.636​
Guatemala
24.644​
17581.472​
Chile
24.617​
18952.038​
Saudi Arabia
23.826​
34268.528​
Marshall Islands
23.25​
58.791​
Kazakhstan
23.142​
18551.427​
Bulgaria
22.855​
7000.119​
Luxembourg
22.797​
615.729​
New Zealand
22.689​
4783.063​
Uzbekistan
20.649​
32981.716​
Micronesia
20.548​
113.815​
Russia
19.482​
145872.256​
United Arab Emirates
19.347​
9770.529​
Solomon Islands
16.414​
669.823​
DR Congo
13.315​
86790.567​
Botswana
12.837​
2303.697​
Estonia
8.115​
1325.648​
Afghanistan
6.316​
38041.754​
Brunei
2.457​
433.285​
 
Hawa Benki ya dunia watukome, nasema tena watukome kama wanatumika na JM! JF mnisamehe ni hofu tu ya madaraka sijui kwa taarifa kama hii anamtumbua nani!! Hivi anamamlaka ya kumtumbua Rais wa World Bank?
Teh!
 
Halafu wanariba kubwa zaidi uzuri kwa wapenda kukopa irresponsibly wao hawapo sana concerned na mambo ya IMF au WB wenye wasi wasi ukitumia asilimia kubwa ya mapato kulipa deni utakosa hela za kutoa huduma muhimu za jamii na mwishowe IMF/WB wanaweza kukuhurumia kiasi cha deni.

Kwa upande wa banks wanachojali ni cash flow tu ya wewe kuweza kulipa na hakuna msamaha they can restructure debt lakini awajali sana shida zako hela yao lazima irudi kwa namna yoyote ile.
Yap,bakumbuka kipindi cha uongozi wa Big Ben tuliwahi kusamehewa madeni yetu
 
Yule ajuza Slowslow ataibuka na hesabu zake za MAGAZIJUTO na kuhitimisha kua Chadema wakishirikina na benki ya mabeberu wanaleta chokochoko kukwamisha juhudu za mtukufu sana aliyetukuka Mzee Meko katika kuwaletea maendeleo wanyonge!
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
Sasa wanatutahadharisha kwani tunasaidiana kulipa,hii ndio tabu ya beberu akishashiba mende wenye protini.
 
Yap,bakumbuka kipindi cha uongozi wa Big Ben tuliwahi kusamehewa madeni yetu
Kwa upande wetu tunadhani ule msamaha ulikuwa hauna impact kwa wazungu wakati kiuhalisia baadhi ya nchi tajiri waliamua kusamehe chao na kuchangia juu hela kutoka mfukoni mwao kwenda IMF iwalipe mabank pia kusudi baadhi ya madeni kwenye nchi maskini yapunguzwe hadi kufikia kiwango watakachoweza ku manage kutokana na income zetu za wakati ule. Sisi tulikuwa sehemu ya wanufaikaji.

Ndio maana hawa watu wanapokuwa na masharti ya mikopo sio kwa sababu ya kutopenda maendeleo wanapima vigezo vyao, sasa serikari yetu ikiambiwa huko mnakoenda siko hatari kutokana na cash flow yenu wanalaumu IMF/WB ni mabeberu wasiotaka kuona tunapiga hatua.

Worst wanakimbilia kwenye soko la mikopo moja kwa moja isiyokuwa facilitated na IMF wala WB wakati huko sasa ndio kwenye mabeberu yenyewe utalipa tu kwa namna moja au nyingine hakuna msamaha.
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
Hawa mabeberu waongo sana hawa... Yatupasa kuwalaani kwa nguvu zote kwa kutubambikia deni kubwa kama hilo (alisikika mlevi mmoja akiongea pekeyake)
 
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.

Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika

Chanzo: Mwananchi
Mwanaharakati huru. Ndg, Musiba ajulishwe...kwa taarifa zaidi
 
Back
Top Bottom