Hata huko nako mwisho tutakwama kwa sababu ni walewaleUkiona mtu anaenda kuongea na the “London Club” (jumuiya ya mabenki) moja kwa moja jua upande wa pili (IMF/WD) kushakuwa kugumu.
Sio jambo jipya hata Dr Mpango sio muda mrefu alisema kuwa upande wa pili wamekuwa na masharti mengi wanatafuta wakopaji wengine.
Kujenga ni kubomoaHatujengi, tunabomoa. Mbona kila sehemu vilio tu na deni linaongezeka
lakini kwani hilo deni linapanda vip wakati miradi mingi tunaifanya kwa pesa zetu za makusanyo ya kodi +kubana matumizi still deni linapanda? how comes?Benki ya dunia imeitahadharisha serkal ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi mei mwaka huu.
Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika
Chanzo ,mwananchi
Halafu wanariba kubwa zaidi uzuri kwa wapenda kukopa irresponsibly wao hawapo sana concerned na mambo ya IMF au WB wenye wasi wasi ukitumia asilimia kubwa ya mapato kulipa deni utakosa hela za kutoa huduma muhimu za jamii na mwishowe IMF/WB wanaweza kukuhurumia kiasi cha deni.Hata huko nako mwisho tutakwama kwa sababu ni walewale
Benki ya dunia imeitahadharisha Serikali ya Tanzania juu ya ukubwa wa deni lake lililofikia trillion 47+ kwa rekodi mpaka mwezi Mei mwaka huu.
Imetaja japo deni bado ni himilivu lakini Tanzania lazima iwe makini maana linaelekea kutokuhimilika
Chanzo: wananMchi
Wachawi wa bariadi watailoga hii benki.
SGR, Stiglers Gorge na Fly Over zitajengwa na nini bila kukopa?
hadi kufikia October 2020 nchi hii itakuwa si mali yetu any longer!
Duh.Kujenga ni kubomoa
HatariHalafu wanariba kubwa zaidi uzuri kwa wapenda kukopa irresponsibly wao hawapo sana concerned na mambo ya IMF au WB wenye wasi wasi ukitumia asilimia kubwa ya mapato kulipa deni utakosa hela za kutoa huduma muhimu za jamii na mwishowe IMF/WB wanaweza kukuhurumia kiasi cha deni.
Kwa upande wa banks wanachojali ni cash flow tu ya wewe kuweza kulipa na hakuna msamaha they can restructure debt lakini awajali sana shida zako hela yao lazima irudi kwa namna yoyote ile.
Hakuna kuhamaMweee ...
Sema kweli nianze kuhama mie
Itakuwa tayari, tusubiri muda ufikeHawajadukua maongezi ya maboss wa WB kweli? Nasubiri press ya Musiba 😁😁😁😁😃😃😂😂😂😂
Itakuwa hizo zinakopwa na vyama vya upinzanilakini kwani hilo deni linapanda vip wakati miradi mingi tunaifanya kwa pesa zetu za makusanyo ya kodi +kubana matumizi still deni linapanda? how comes?
Dona Kantre sioWewe world bank tutakuteka sasa hivi ohoo we are a dona kantre pesa zipo
Wanaokukopesha wanakutahadharishaBado deni dogo sana hilo
Ova
Watakuwa wanatumiwa na Zito na MboweeHahaha hawa benki ya dunia nia yao siyo nzuri. Tunajenga miundombinu kwa pesa as ndani, hizo pesa wanadai tumekopa lini?! Ili tufanye nini?!
Waitwe wajieleze kwanini wasifukuzwe nchini?! Sisi tukope banku ya dunia?! Wanampiga vita rais,Kwa kuwa anajenga miundo mbinu kwa pesa yetu ya ndani, lazima watakuwa wanatumiwa na CHADEMA kuidhalilisha serikali ya ccm, hawataweza.