Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #41
Hiyo ni mfano tu ya white elephant projects za nchi hiiHivi uwanja wa ndege Chato uligharimu shilingi bilioni ngapi maana ndiyo imekuwa kisingizio kutwa kucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mfano tu ya white elephant projects za nchi hiiHivi uwanja wa ndege Chato uligharimu shilingi bilioni ngapi maana ndiyo imekuwa kisingizio kutwa kucha
Ndugai ana point mkuu... kunahitajika mjadala wa kitaifa kuhusu hii mikopo, matumizi yake, riba n.kNdugai kahoji tozo za miamala ya simu tulisema zitatumika kujenga shule. Iweje tena shule zimekopewa pesa aya madeni yatakua mzigo kwa taifa ili.
Majibu aliyokuja pewa ni muunganiki wa sgr, bwawa la nyerere
Fake news... awamu ya 5 haikuwahi kukopa popote kwa ajili ya kuendeshea iwe shughuli za kiutawala au kimaendeleo maana fedha zilikuwepo tena fedha za ndani! Ghafla deni limefikaje 70 tr/-? Tunaomba majibu ya hili.
Mjadala sounds goodNdugai ana point mkuu... kunahitajika mjadala wa kitaifa kuhusu hii mikopo, matumizi yake, riba n.k
Yaani anayeponda hoja ya Ndugai hana akili.. Deni la taifa ni subject matter ya kila mtanzania
Awamu ta tano imekopa 11 trillion Kwa miAka 4... awamu ya 5 haikuwahi kukopa popote kwa ajili ya kuendeshea iwe shughuli za kiutawala au kimaendeleo maana fedha zilikuwepo tena fedha za ndani! Ghafla deni limefikaje 70 tr/-? Tunaomba majibu ya hili.
kama hujawahi basi bado mtoto...Sri Lanka,Zambia n.k hizo nchi tayari zimeshamegwa kipande na kupewa mdeni waoMi naomba tu unifafanulie ikiwa tutashindwa kabisa kulipa deni nini kitatokea, kuna kitu napanga kufanya. Sijawahi kusikia nchi yoyote imekabidhiwa kwa madalali ipigwe mnada toka nizaliwe
Swali sio kutumia fedha za mikopo kujenga hayo sijui madude dude.. mauwanja etc.
Swali ni je, unawekeza kwenye economic viable projects?
Mfano labda kujenga bwawa la kufua umeme na SGR are these really economic viable projects?..
Maana yake ikiwa dunia inaelekea kwenye global warming, ukitokea ukame na maji yakiwa kidogo, maana yake hilo bwawa la umeme ni mimba..
So utakuwa unalipa mkopo wa watu halafu bado unabaki na mashida ya umeme..
Kuhusu mikopo ni muhimu kuzingatia masharti ya mkopo kuepuka masharti magumu mfano kiwango kikubwa cha riba na muda mfupi wa kurudisha deni .
Kuhusu ela ya tozo za Kwenye matumizi ya simu na miamala tungeomba nayo itangazwe na kuonyeshwa inavyotumika kama ilivyofanyika ela ya WB .
Thanks mkuuMkuu swali zuri.. actually madhara ya kushindwa kulipa deni yatachofanya ni kwamba, nchi itakuwa down graded na wakopeshaji.
Na ukiwa downgraded maana yake huwezi kukopesheka tena.
Lakini impact kubwa huwa inakuwa ni trickle down effect ya kitachotokea baada ya kushindwa kulipa madeni.
1. Wawekezeji watakimbia maana macro fundamentals zita deteriorate.
2. Mfumuko wa bei
3. Pesa itashuka thamani kwa kasi..
4. Nchi inaweza kushindwa kumudu baadhi ya matumizi ya muhimu kabisa..
Yaani ikitokea, impact yake itakuwa ni mambo mengi magumu yatatuandama sana kwenye uchumi
.... yale majigambo tunajenga kwa fedha za ndani kumbe yalikuwa hadaa? Ifike mahali kuwe na sheria ya kudhibiti viongozi waongo waongo.Awamu ta tano imekopa 11 trillion Kwa miAka 4
Ndugai ana point mkuu... kunahitajika mjadala wa kitaifa kuhusu hii mikopo, matumizi yake, riba n.k
Yaani anayeponda hoja ya Ndugai hana akili.. Deni la taifa ni subject matter ya kila mtanzania
Miaka ya 80-90 world bank, IMF na mataifa ya magharibi walishinikiza nchi za kiafrika na nyingine masikini kukumbatia SAPs. Je, matokeo yalikuwaje? Wakati mwingine ushauri wa hao jamaa ni busara kukubalika with a pinch of salt. Mambo yakienda sivyo hutawaona tena. Tukumbuke Ugiriki ilipotikiswa kiuchumi kwa kuelemewa na mzigo wa madeni mjomba alijitokeza kwa jina na EU lakini kijasho kiliwatoka sana kwa mashaiti magumu waliyopewa. Mwenzako akinyolewa ...... malizia.Labda kama watu wanakuwa na wasiwasi wa je fedha tunayokopa inatumika kwa malengo tarajiwa na inatumika vizuri?
Kwenye uchumi we go with numbers not words ndio tofauti yake. Na hiyo setup ya world bank ndio inatumiwa na wachumi wote.
Unless tuseme hatuna uwezo wa kuli service hilo deni. Mbona marekani deni lao limeshavuka 100% na wanajiona wapo sawa tu kwasababu uwezo wa kuli service deni wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatakiwa kufanya decisions kwenye lower bound.Na vipi kama maji yasipo kauka?
Huu ukweli uliouongea hapa unaumiza sana.Mjadala sounds good
Lakini mjadala na nani? Sisi ambao tuko busy na chupa z soda? Simba na yanga? Mariam biriyani na misafara ya walevi wa arusha na moshi?
Don’t forget kwamba wanaojali serious stuff nchini hawazidi 6%
Hata bungeni na serikalini kuna watu wapo tu wanafukuzia pesa za kujenga
Yaani ndo ukweli mchungu wa watz, mambo yagusayo maisha yao directly they are always 'less concerned' ,hadi baadae yawaguse na inakuwa too late..... kaaazi kwelikweli.Huu ukweli uliouongea hapa unaumiza sana.