Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Nasemaje, tukope zifuke hata trillion 200

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
#HABARI Waziri wa Fedha @mwigulunchemba1 ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia EDCF kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano.
20221211_053451.jpg
 
Na bado.

Na hivi majuzi tena tumeambiwa .

Akiba ya serikali ya fedha za kigeni imeshuka toka tumepata uhuru.

Umeme hatuna na maji hatuna.

Hapa nipo nachaji simu mgahawani.

Sijui leo ntalala giza kama jana??
Sisiemu hoyeeee....
 
tuendelee tu kupambana na marehemu na kulinda urahisi wa Mama na uwepo wa chama kwa gharama ya maisha ya Watanzania.
 
Nimeona hii habari huko tweeter. Mimeshika kichwa.. ndani ya mda mfupi sana awamu ya sita imekopa hadi imevunja record. Mama anaupiga mwingi.

View attachment 2441817
Nadhani kuangalia absolute number ya deni si kipimo sahihi cha kusema tutauzwa. Debt to gdp ratio ni 40% which means tunaweza kuongeza deni hadi zaidi ya trillioni 200 na bado tukawa na uwezo wa kulipa ndani ya mwaka mmoja.
Waendelee tu kukopa na kugawana.
deni bado ni stahimilivu
 
Kutokana na deni la Taifa kuwa Shilingi Trilioni 91.03. Kila M-Tanzania anadaiwa Shilingi Milioni 1 na laki 5 Haya Wa-Tanzania tuchange kila mmoja wetu ili tupate kulipa Deni la Taifa. Mwenye kuwa na Ng'ombe,Mbuzi,nyumba mashamba na Vitu vingine auze ili tupate kulipa deni la Taifa letu Serikali ya CCM imeshindwa kulipa hayo madeni kila mwezi Madeni yanazidi kuongezeka kazi kweli ipo. Serikali ya CCM inakopa kila kukicha na pesa hazijulikani zinakwenda wapi? Lohh Majangaa makubwa nchi yetu itauzwa mpaka na Wananchi wake watauzwa kwa wingi wa madeni tunayo kopa kila kukicha.
Usiogope sana Mchina mmoja wastani anadaiwa m12, Jirani zetu Kenya kwa wastani mtu mmoja anadaiwa milion 3.1 m USA mmoja anadaiwa m208 compare that with milion 1.5 za mtanzania. Vile vile kwa wastani mtz mmoja anazalisha m2+ kwa mwaka kwa io uwezo wa kulipa hio 1.5 bado upo.

Deni bado ni stahimilivu
 
Nataka kuamini hii habari, ila naichukua kwa shingo upande.

Simply for this reason.

Like seriously tuna vyuo vingi ambavyo ni nguzo muhimu ya kuwapa vijana upeo.

Na uwezi kujiita mtu ulielimika kama uwezi kutengeneza argument which applies credible referencing sources.

Otherwise it’s just nonsense

Sasa basi shida yangu kwenye hii mada unawezaje kusema kiwango cha deni la taifa bila ya kusema source ni taasisi inayofanya appraisal ya deni au kauli ya waziri wa fedha.

Yaani mtu anakwambia source ni Twitter, mtu wa aina hiyo kaishia darasa la ngapi, surely kwa elimu za dunia ya leo kuanzia secondary school kila unachoandika kinataka evidence based arguments.
 
Bora tuuzwe tu kuliko kutawaliwa na hawa weusi
Ukienda Bank kuomba Mkopo na ukaweka Nyumba yako rehani kwa kuwakabidhi hati ya nyumba, Bank wanakuacha uendelee kuishi kwenye hiyo nyumba,but technically hiyo nyumba ni kama umeshaiuza na unabaki kupambana kuinunua upya..ila waswahili wanatumia lugha laini wanaita kuikomboa...Mbaya zaidi Bank hawawezi kukupatia pesa inayolingana na thamani ya nyumba yako,wanashusha thamani halisi , lakini wenyewe wanakudai pesa zaidi ya waliyokupatia...yaani ni tricky sana.
 
Kweli wazuri hawafi. Trillioni 91?
Yule jamaa aliyepandisha mpaka kufikia 70tr, kwa mamiradi yake ya ajabu ndiyo wa kumlaumu, mamiradi mengi ni lazima kuyamalizia hakuna jinsi, Kwanini tusiuze hayo ma Boeing tuliyoyavundika tukamaliza miradi ya kimsingi na kimkakati, tukaja kuyanunua wakati mwingine pale kutakapokuwa na hitajiko la kweli, miradi ya sifa za kijinga ndio shida tunajimwambafayi kuliko uwezo kibaya hata organisation ya hayo mandege na lobbying ili ya operate kwa faida hatuna.
 
Hivi tumeshindwa kuchukua maamuzi magumu kwa ukopaji huu?
Tuelekee Bungeni
Kama wananchi tunahitaji maelezo
Kikundi cha watu au mtu mmoja anaamua hatma ya Tanganyika ?
Kwa tumelogwq

Mods tafadhalini msifute comments zetu… Sisi ndio walipa kodi tuna haki ya kuhoji……
Bunge lenyewe lipo sababu ya E1TZ
 
Nadhani kuangalia absolute number ya deni si kipimo sahihi cha kusema tutauzwa. Debt to gdp ratio ni 40% which means tunaweza kuongeza deni hadi zaidi ya trillioni 200 na bado tukawa na uwezo wa kulipa ndani ya mwaka mmoja.
Waendelee tu kukopa na kugawana.
deni bado ni stahimilivu
GDP ya Tz ni 67.8Bil usd ambayo ni sawa na Tril 159

Deni letu ni Tril 91

Ukigawa ni 56%
 
Usiogope sana Mchina mmoja wastani anadaiwa m12, Jirani zetu Kenya kwa wastani mtu mmoja anadaiwa milion 3.1 m USA mmoja anadaiwa m208 compare that with milion 1.5 za mtanzania. Vile vile kwa wastani mtz mmoja anazalisha m2+ kwa mwaka kwa io uwezo wa kulipa hio 1.5 bado upo.

Deni bado ni stahimilivu
Ila wewe jamaa
 
Sielewi kampeni za ushoga zinahusiana vipi na nyie kukopa kwao na deni lenu la Taifa.
Fafanua zaidi.
Hizo kampen za ushoga wanazo fanya huzion siyo kama unapenda kitonga utaolewa tu
 
Back
Top Bottom