Watakuambia nchi bado inakopesheka hatuko kwenye red line, juzi kapewa heshima ya uchumi, hadi tunakuja kushtuka watakuwa wamashatuuza hadi sisi wenyewe achilia mbali madini na madeni.
Raia huuzwa kila tunapokopa! Raia ndo dhamana na sensa inawabeba zaidi
Swali : unataka kukopa trilion ngapi
Jibu : trilioni 20
Swali: za nini?
Jibu: kujenga mji wa siri kali mtumba Dodoma na soko la urojo na pweza Makunduchi na Mchambawima!
Swali : Dhamana ya mkopo wako unaweka dhahabu au raia?
Jibu : Sensa tumeyaingiza cha kike mabongo yakakaa home tukayahesabu tumeyapata yamefika majitu 60 milioni, haya ndo nayaweka dhamana, ila usiyaamshe!!
Swali : utarudishaje mkopo sasa huna umeme, huna viwanda na huna akili?
Jibu: we ndo huna akili kweli, hivi ukiyakamua tozo majitu milioni 60 mkopo haulipiki? Kweli?
Hitimisho: Nasema mnakopesheka!Haya shime shime wabongo wajinga ndio waliwao njooni mkope mhakikishe deni limefika tr 100 ila kumbuka iko siku mkishindwa kulipa tutaijia dhamana majitu hayo mlioweka rehani tutapeleka China kulima barabara najua we wajomba zako toka Qatar watakuijia!!
Katiba mpya ijayo imzuie kiongozi mkuu kukopa kabla ya kulipa madeni ya nyuma!
Wapi Ndughayii smart boy😎😃😂😁😚😉😀