JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Tuna masihara mengi sana hii nchi.Tuko bize kupambana na marehemu ,nchi ya hovyo sana hiii
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna masihara mengi sana hii nchi.Tuko bize kupambana na marehemu ,nchi ya hovyo sana hiii
USSR
Hapo bado Bagamoyo na LNG.Mpaka anaondoka 2025 tutakiwa tumepiga mia.
Kwa deni hilo Tz nzima tujiandae kama umelegea legea na unakula chipsi kama wanaume wa Dar lazima uolewe maana hautakua na nguvu ya kujitetea
Mbaya zaidi pesa inaenda kuijenga Zanzibar tunaolipa ni baraNimeona hii habari huko tweeter. Mimeshika kichwa.. ndani ya mda mfupi sana awamu ya sita imekopa hadi imevunja record. Mama anaupiga mwingi.
Hizo kampen za ushoga wanazo fanya huzion siyo kama unapenda kitonga utaolewa tuKwani waliowakopesha wamesema mnaweza kulipa kwa kuoelewa??
Nchi inaongozwa na mafisadi papa kutoka chama cha mambuziSasa viongozi Wote wa Chadema wako Ulaya unadhani kuna kiwanda cha kutengeneza fedha
Duh. Kazi kweli kweli.we ni jinsia gani, mbona mmbea hivyo? Acha kujihangaisha na mambo yako juu sana ya uwezo wako. Waza namna utapata mlo wako wako we nyau
Bado tunakopesheka na deni bado linavumilikaMpaka anaondoka 2025 tutakiwa tumepiga mia.
Watauza hicho kibanda hapo Ufipa st Ofisini kwa J JBado tunakopesheka na deni bado linavumilika
Lawama zitaenda kwa Magu nakwambiaSi juzi tu hapa tuliambiwa ni 71 Trillion
Hizi 20 zimekuja lini tena ba ndugu
Nasemaje, tukope zifuke hata trillion 200Bado tunakopesheka na deni bado linavumilika