Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Deni la Taifa lafika TZS trilioni 91.03

Kwa deni hilo Tz nzima tujiandae kama umelegea legea na unakula chipsi kama wanaume wa Dar lazima uolewe maana hautakua na nguvu ya kujitetea
 
Kwani waliowakopesha wamesema mnaweza kulipa kwa kuoelewa??
Kwa deni hilo Tz nzima tujiandae kama umelegea legea na unakula chipsi kama wanaume wa Dar lazima uolewe maana hautakua na nguvu ya kujitetea
 
we ni jinsia gani, mbona mmbea hivyo? Acha kujihangaisha na mambo yako juu sana ya uwezo wako. Waza namna utapata mlo wako wako we nyau
Duh. Kazi kweli kweli.

Mbona umepanic kama umetokwa na pepo?

Au nimepiga kwenye Sega la asali?

Endeleeni kukopa pesa za safari
 
Dr. Wa kiswahili atauza hii nchi, anakopa kila pembe ya dunia na bado anawaletea Mabehewa ya mtumba. #MamaYupoKazini
 
Tutumie Kile Kibwagizo Pendwa

Mama Anaupiga Mwingi Sana!!

Chama Cha Mambuzi
 
Back
Top Bottom