Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Wakati tunasema humu kuwa mama amekopa trilioni 20 ndani ya Mwaka na nusu ulikuwa wapi?Si juzi tu hapa tuliambiwa ni 71 Trillion
Hizi 20 zimekuja lini tena ba ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati tunasema humu kuwa mama amekopa trilioni 20 ndani ya Mwaka na nusu ulikuwa wapi?Si juzi tu hapa tuliambiwa ni 71 Trillion
Hizi 20 zimekuja lini tena ba ndugu
UsinichosheSielewi kampeni za ushoga zinahusiana vipi na nyie kukopa kwao na deni lenu la Taifa.
Fafanua zaidi.
Na kodi zetu zinakwenda wapiMnataka sgr,bwawa nyerere,ajira,kupanda madaraja,mishahara,huduma za afya, miundombinu nk halafu hamtaki kukopa,hela zitatoka wapi!?
Makusanyo 20tr,bajeti 41tr,unazungumzia Kodi gani!?Na kodi zetu zinakwenda wapi
Vipi na pesa za vieite na luxuries zote (including ufisadi) za viongozi nazo ziko kwenye hiyo bajeti au zimetolewaMakusanyo 20tr,bajeti 41tr,unazungumzia Kodi gani!?
Waziri wa Fedha kakiri kuwa deni ni 91 TrilTril 78?? Aliyeleta hii mada kichwani ni empty na wewe pia ni empty. Report za BOT zipo wazi kwa nn hamsomi?
Kwa faida yako soma hapo[emoji116]
View attachment 2442728
Una uelewa finyu,ngoja nikuache ukueukue,Ila zamani hili halikua na watu dizaini yakoVipi na pesa za vieite na luxuries zote (including ufisadi) za viongozi nazo ziko kwenye hiyo bajeti au zimetolewa
Teh!Una uelewa finyu,ngoja nikuache ukueukue,Ila zamani hili halikua na watu dizaini yako
au ni mikopo ya hifadhi ya jamiiiNafikiri zitakuwa ni zile hatifungani za serikali zinazouzwa kupitia BoT. Inakuwa ni sawa umeikopesha serikali na wao wanakupa riba baada ya muda fulani.
@i stand to be corrected
Kuna miradi inabidi imaliziwe, afe kipa afe beki na kwa kasi ya awamu iliyopita katika kukopa huku miradi mingi ikiwa haijaisha. Naamini hata ingeendelea bado mkopo ungeshoot tu kuja juu
Nafuu ambayo ingekuwepo ni moja tu, kudhibiti matumizi ya serikali kwenye kuajiri, posho, warsha na semina ambazo kwa kiasi flani zimerudi..
All in all ngoja nifunge bakuli langu maana hela ya kumlipa mtu aliyepona rungu la law school sina
Sio lugha stahiki hiyo inatukana jamii na kudharirisha !!Kwa deni hilo Tz nzima tujiandae kama umelegea legea na unakula chipsi kama wanaume wa Dar lazima uolewe maana hautakua na nguvu ya kujitetea
Walipsji ni mimi na wewe, swali la msingi pesa zote hizo zinaenda wapi?Sawa tuu ilimradi watalipa
Serikali ikusanye Kodi Til.22 kwa mwaka iache kuweka kwenye matumizi ya kawaida ndio ije kukopa.kwa matumizi ya kawaida uliwahi sikia wapi? By the Way kwa mwaka OC Ni Til.2 maximum.Walipsji ni mimi na wewe, swali la msingi pesa zote hizo zinaenda wapi?
Miradi ina tija na uchumi au ni matumizi ya kawaida ya serikali?
Sasa viongozi Wote wa Chadema wako Ulaya unadhani kuna kiwanda cha kutengeneza fedha
"Hadi nchi iuzwe" by Job NdugaiBado Deni himilivu ,tukope tu mpaka utabiri wa ndugai utimie.