Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hiyo bluu naona hapo umenena kweli, inabidi tuangalie hawa watu wanaotaka urais 2015, wanataka sifa tu na madaraka na kutukuzwa, au wana nia ya kweli ya kuiendeleza Tanzania. So far kati ya wanaotajwa sioni hata mmoja wao anaelekea huko
Mchambuzi, huyu ndiye tunategemea ajadili national debt, fiscal discipline n.k. Ndio maana nilikuambia kuna wakati nikisikiliza bunge huwa napata abrupt colic stomach upsetNguruvi3,
Ila pia napenda ku share na wewe kituko cha mbunge wa mtera ndugu lusinde akichangia hotuba ya ofisi ya waziri mkuu leo asubuhi, amejenga hoja kwamba:
"Thamani ya fedha yetu dhidi ya sarafu nyingine itapanda iwapo tu tutatoa picha za wanyama na kuweka picha ya nyerere na karume tu";It is as simple as that!Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Hawa ndio wachumi wanasiasa, na tofauti na wanasiasa wanasiasa wachumi kama mwigulu nchemba ni kama hakuna kwani wote ni useless kwa maendeleo ya wananchi walio wengi; huyu mwigulu angekuja humu na digrii yake ya uchumi daraja la kwanza ambayo ni kwa manufaa ya watanzania daraja ya kwanza, nadhani angetusaidia zaidi kutuelimisha wananchi nje ya daraja la kwanza, vinginevyo ni dhahiri hawezi thubutu kuja humu kujadili uchumi wetu kwa hoja;Mchambuzi, huyu ndiye tunategemea ajadili national debt, fiscal discipline n.k. Ndio maana nilikuambia kuna wakati nikisikiliza bunge huwa napata abrupt colic stomach upset
Ngoja tumpe cc Mwigulu Nchemba.Hawa ndio wachumi wanasiasa, na tofauti na wanasiasa wanasiasa wachumi kama mwigulu nchemba ni kama hakuna kwani wote ni useless kwa maendeleo ya wananchi walio wengi; huyu mwigulu angekuja humu na digrii yake ya uchumi daraja la kwanza ambayo ni kwa manufaa ya watanzania daraja ya kwanza, nadhani angetusaidia zaidi kutuelimisha wananchi nje ya daraja la kwanza, vinginevyo ni dhahiri hawezi thubutu kuja humu kujadili uchumi wetu kwa hoja;Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Majany,
Karibu sana kwenye mjadala na asante kwa swali zuri hapo juu; sina majibu ya kujitosheleza lakini nina imani nguruvi3 na wadau wengine watachangia mawazo yao; mimi nitasema tu machache kama ifuatavyo:
Mwalimu alikuwa ni mmoja wa wapinzani wakubwa wa ukoloni mamboleo kwa vitendo. Neo-colonialism is the geopolitical practice ambayo hutumia vitu kama mfumo wa ubepari,utandawazi na cultural imperialism kuthibiti nchi maskini kijeshi au kwa dirisha la liberal democracy ili kuweza influence policy decisions za nchi maskini kwa faida ya nchi tajiri, hasa kiuchumi na kibiashara - pia tazama dhana ya dependency theory kuelewa zaidi suala hili;
Mwalimu Nyerere throughout uongozi wake na hata alipostaafu alisimamia alichoamini na kujaribu kulinda taifa letu dhidi ya ukoloni mamboleo kwa nguvu zote lakini sote tunaelewa kwanini alishindwa licha ya political will on his part;
Mwalimu Nyerere, licha ya kuonekana kushindwa Tanzania na azimio la arusha hivyo kuachia ngazi, nchi nyingine za dunia ya tatu zaidi ya sitini ziligundua right from the outset kwamba vision ya mwalimu ilikuwa very rellevant kwao wote, ndio maana miaka miwili baada ya kun'gatuka, ikaundwa south south commission na kina dr. mahathir mohamed waziri mkuu wa zamani wa malaysia, dr. Boutros ghali katibu wa zamani wa UN etc ambao wakamwomba Nyerere sio tu awasaidie kuunda tume bali pia awe chairman wa commission na akakubali; Maeneo muhimu ambayo tume hii iliyafanyia kazi ni pamoja na madeni ya mataifa maskini na madhara yake, high interest rates katika mikopo, bei ndogo kwa mazao yetu soko la dunia, protectionism katika masoko yao etc;Ni kutokana na kazi ya tume hii ndio lobbying against debt ikazidi kushika kasi na hatimaye nchi tajiri gave in na kuja na kitu kinaitwa Highly Indebted Poor Countries (HIPC) initiaties in mid to late nineties;
Nadhani hoja ya mwalimu kwa mkapa sasa unaelewa msingi wake hasa kutokana na ukweli kwamba HIPC ilipelekea misamaha ya madeni chini ya rais mkapa;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums