Deni la ujenzi wa reli ya SGR ni kitanzi kitakachotunyonga tusipokuwa makini

Anajua hilo ziko watalibeba warithi wake, serikali zinazokuja zitaishia kulipa madeni na mishahara, alafu wakolomije watakua wanalalamika "enzi za magufuli maendeleo yalikua yanaonekana, sasa hivi hakuna kitu ...."
 
Anajua hilo ziko watalibeba warithi wake, serikali zinazokuja zitaishia kulipa madeni na mishahara, alafu wakolomije watakua wanalalamika "enzi za magufuli maendeleo yalikua yanaonekana, sasa hivi hakuna kitu ...."
Dah, umenifikirisha sana
This man is all about himself
Anajali ujiko wake binafsi wa muda mfupi at the expense ya mustakbali mpana zaidi wa Taifa.
Na hili ndo tatizo la kudhani maendeleo ni vitu.
Sasa tutakuwa na li SGR lakini deni kubwa balaa
 
Ni mwendawazimu tu anayeweza kuwanyima watoto wake chakula kwa kisingizio Cha kujenga nyumba
 
Dah, umenifikirisha sana
This man is all about himself
Anajali ujiko wake binafsi wa muda mfupi at the expense ya mustakbali mpana zaidi wa Taifa.
Na hili ndo tatizo la kudhani maendeleo ni vitu.
Sasa tutakuwa na li SGR lakini deni kubwa balaa
Hivi hao wanaotamani kumpa madaraka ya urais tena hawaoni haya? Au mtu akishateuliwa kwenye nafasi fulani akili zinaruka?
 
unachukulia kutumwa na mabeberu kama defence mechanism yako
acha kulisha wAtu matango pori wewe
 
Kama ni kweli hii ni hatri sana. Ukope trillioni 2.6 halafu uje ulipe trillioni 13?.
 
Dawa ni kuwatoa mapepo tu.
Nadhani mkopaji hajui hii calculation au kafanya makusudi

Mimi naamini JIWE hayajui haya maesabu ya compound interest kwani yeye ni zaidi kwenye kuchanganya madawa; bahati mbaya sana Watu wake wa kumshauri kama Philip Mpango ndio hao opportunist ambao wanaogopa kumwambia ukweli ambao hataki kuusikia!!! Mkopo wa kujenga hiyo reli ni mzigo mzito sana kwa Taifa!!! Time will tell.
 

Soma za ukweli alafu zilete tuone wote, huenda kweli huyu ni muongo lete zako.
 
Exim ni benki ya China na si Uturuki, Uturuki haina uwezo wa kutoa mkopo wa pesa hiyo kwa Tanzania na yenyewe ina hali mbaya sana ya uchumi, fatilia hilo ujue.

Kipande cha dar es salaam-morogoro kinajengwa kwa pesa za ndani. Hilo ni kweli.

Kipande cha pili cha morogoro-makutupora ndio kinajengwa kwa pesa ya mkopo ya Exim.

Tahadhari: usimwamini sana Zitto Kabwe
 

Ukitaka kujua uzito wa hili deni, assume wewe una deni la bodi ya mikopo la elimu ya Juu, halafu ukae miaka 10 bila kulipa kisha nenda ukaangilie utakuwa unadaiwa shilingi ngapi baada ya hiyo miaka 10

Sasa mfano huo ni kwako wewe mwenye deni la vimilioni vichache, sasa what about mkopowa Matrilion mkopaji atalipa shilingi ngapi?

Njia nzuri ya kujenga hii miundo mbinu. inayohitaji riba kubwa ni kupitia mfumo wa PPP tu basi, nje ya hapo ni kuidumbukiza nchi katika kitanzi kikali cha deni, Tutakuja kujuta sana aisee!
 
Huenda walitaka wafanye walichofanya Kenya, waijenga na kuishikilia reli kwa miaka hiyo mpaka tukianza lipa deni lao. Mchina hajawahi kuwa na deal zuri hivyo, cover la kitabu lake linakuwa linavutia kiichomo ni kitanzi.
 

Tatizo mnayoelezwa kwenye majukwaa ya siasa siyo hali halisi.
Wenzako wanaposema "kwa pesa zetu" wanakuwa wanamaanisha eti kwa kuwa mkopo tutaulipa basi hizo ni pesa zetu ati!

Hebu tazama hii uone jinsi tulivyoomba mkopo kwa Waturuki!



Kwa taarifa zaidi juu ya namna tulivyokopa kwa waturuki soma hapa:

Turkey wins bid to finance, build $1.9b second phase of Tanzania railway | The East African
 
Tumechoka na mambo ya zito.
 
You got it wrong,waulize Yap
 

Hujaelewa kitu nilichoandika hapo juu. Mkopo ni kwa second phase na hapo wamesema. Kumbuka second phase ndio hiyo yenye 400km kutoka morogoro mpaka makutupora. Kipande cha kwanza ni hela za ndani dar-moro, jumla 300km
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…