Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Muhimu sifa hayo maumivu mengine mtajijua wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda haijawahi shinda ukweliUlisema Dar hadi Moro tunajenga kwa pesa za ndani, now source hii uliyoleta inasema kuna mkopo wa standard chartered unacover kuanzia Dar mpaka Makutopora.
Hizo pesa za ndani ni zipi sasa?
Kuna kitu serikali hii haitoi taarifa za kutosha kuhusu financing ya huu mradi maana naona inarukaruka katika kutafuta financiers
AiseeHuyu Mzee kiukweli anazingua. Mwaka wa tano huu anatufanyia tu dhihaka sisi Wafanyakazi, kisa anajenga miundombinu!
Halafu kumbe huko kwenye hiyo miundombinu yenyewe, hela za kujengea anakopa!! Sasa hela za kodi zaidi ya tirioni 1.4 za kila mwezi anazojisifia, huwa zinafanyia nini!!
Atasemani kwa ajili ya kulipia mishahara!! Ya wafanyakazi gani? maana hakuna ajira kwa wahitimu wa vyuo kwa sasa kama ilivyokua enzi za JK, hakuna nyongeza ya mishahara wala kupandishwa madaraja kwa wakati kama ilivyokua enzi za JK, hakuna annual incriment, alitumbua kikatili zaidi ya wafanyakazi aliowaita wenye vyeti feki na hewa zaidi ya elfu 19!
Hakika Mzee ana haki ya kuminya uhuru wa kujieleza. Maswali ni mengi huku majibu yakiwa hakuna. Bora ya JK.
Duh! Nina kazi ngumu ya kufuta haya makaburi! 🤔 Enzi hizo Taifa lina stress mpaka basi dhidi ya mwamba!Aisee