Safari ni ndefu kutoka 10.8 mill hadi 1.5mill miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Boss, kama mimi vile. Mi nasubiria mwezi wa 9-10 itakua imebaki kama Laki 5 au Laki 3 nitaenda Bodi ofisi zao kuuliza salio official.Safari ni ndefu kutoka 10.8 mill hadi 1.5mill miaka zaidi ya saba sasa nalipia degree yangu ya miaka mitatu.
Hiyo ni kwenye slip yangu. Sijui Retention Fee waliyonayo kwao itakuwa kiasi gani?
Mama Samia akiondoa Retention Fee naenda kuwalipa 1.5 yao Cash tuagane moja kwa moja.
Mungu mkubwa.
Mimi ni Mnyonge tu wa jalalaniInaonekana wewe sio mnyonge mshahara wako ni mkubwa.
Hawa jamaa kama unaweza bora uagane nao mapema wanaleta nuksi kwenye slipBoss, kama mimi vile. Mi nasubiria mwezi wa 9-10 itakua imebaki kama Laki 5 au Laki 3 nitaenda Bodi ofisi zao kuuliza salio official.
Ubatili mkubwa kabisaTuwapeleke mahakamani, ile riba waliyoongeza ambayo haikuwepo kwenye mkataba ni ubatili.
Angekuwepo bwana yule angefurahi sana akisikia neno mnyonge au wanyonge.Mimi ni Mnyonge tu wa jalalani
Kesi ya nyani unampelekea ngedere? Hata yeye atakushangaa.Tuwapeleke mahakamani, ile riba waliyoongeza ambayo haikuwepo kwenye mkataba ni ubatili.
Kulipa deni lisilo isha ndiyo kupoteza muda na pesa.Kesi ya nyani unampelekea ngedere? Hata yeye atakushangaa.
kaa kimya ulipe deni lako tu, huko unakoenda utapoteza pesa na muda wako tu.
Kuwapa keshi ni uzembe mkubwa sana. Yaani nitafute milion cash niwape bodi? Hapana aisee.Hawa jamaa kama unaweza bora uagane nao mapema wanaleta nuksi kwenye slip
[emoji1787]kuwapa keshi ni uzembe mkubwa sana. yaani mitafute milion cash niwape bodi? hapana aisee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu Ni unyanyasaji wa kiuchumiHiyo ya kwenye salary slip na kwao ni tofauti, deni halisi wanalo wao, usisahau july mwaka mpya wa fedha linaongezeka.... haitakua 1.5 tena
HESLB ni kichefuchefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu Ni unyanyasaji wa kiuchumi